Huu sasa ni uharamia: Kumbe bomba la gesi Nord 1 lilifumuliwa, kipande cha mita 40 kikatoka!

Huu sasa ni uharamia: Kumbe bomba la gesi Nord 1 lilifumuliwa, kipande cha mita 40 kikatoka!

Eti Ulaya na Marekani wameamua kuishi bila gas ya Russia,akili za wapi hizi?Si wangeweka sanctions kwenye hiyo gas?Hiyo ni hujuma ya US,amewazunguka EU Ili awauzie Kwa Bei mara 4 zaidi!Na viongozi wa EU kama mizombie tu,wameshikwa akili na US!Wananchi wao kila siku wanaandamana kupinga vikwazo dhidi ya Russia lakini Yenyewe yamebunda tu!
Sawa nakubali,Sasa nyie warusi wa buza mnaumia nini? Si Badala yake mfurahi kwa kuwa adui yenu ulaya hambaye anawawekea vikwazo kila uchao Sasa ataanza kuuziwa ges mara nne ya bei ya awali??
Badala yake mnaonekana kuumia, Kwa nini? Adui yako si ni vema kumwombea njaa?

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Sawa nakubali,Sasa nyie warusi wa buza mnaumia nini? Si Badala yake mfurahi kwa kuwa adui yenu ulaya hambaye anawawekea vikwazo kila uchao Sasa ataanza kuuziwa ges mara nne ya bei ya awali??
Badala yake mnaonekana kuumia, Kwa nini? Adui yako si ni vema kumwombea njaa?

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Si ndio tunawacheka EU walivyo wajinga,hawasikilizi hata wananchi wao!😃
Au maandamano hamuyaoni nchi za EU?Serikali ngapi zimeanguka kisa vikwazo alivyowekewa Urusi?
Muda utaongea!
 
Back
Top Bottom