Huu sasa ni ushenzi: Balozi wa Urusi nchini Poland amwagiwa kimiminika cha rangi nyekundu

Huu sasa ni ushenzi: Balozi wa Urusi nchini Poland amwagiwa kimiminika cha rangi nyekundu

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Hii imevuka mipaka!! Balozi wa Urusi nchini Poland alimwagiwa kimiminika cha rangi nyekundu wakati akiwa katika harakati za kuadhimisha ushindi wa Jeshi la Urusi dhidi ya majeshi ya kinazi ya Hitler.

Alimwagiwa na waandamanaji wa kike wanaopinga vita nchini ukraine. Hili tukio lilitukia jana tarehe 9/5/2022 huko Poland.

1652143336101.png
 
Uko si Afrika hata useme akina Mloto waingilie kati.
Wazungu wanadai kustarabika lakini matendo yao ni ya kinyama sana! Ndio maana wanahalalisha hata uchafu wa ndoa za jisia moja. Kwa kawaida Balozi anapaswa kuwa mtu wa kuheshimiwa sana!! Hebu fikiria kama balozi wa Uingereza angefanyiwa hivyo kwa sababu yoyote ile!
 
Wazungu husuani wanawake ni wajinga sana. They are very arrogant and knows how to play gender card in all aspects.

They can be so disrespectful and in polite just because they are women. Mimi huu ujinga siupendi kabisa.

Waume zao hawana jeuri tena ya kuhoji au kupinga mitazamo yao kisa, wanaogopa kuonekana kutokuheshimu wanawake.
 
Hii imevuka mipaka!! Balozi wa Urusi nchini Poland alimwagiwa kimiminika cha rangi nyekundu wakati akiwa katika harakati za kuadhimisha ushindi wa Jeshi la Urusi dhidi ya majeshi ya kinazi ya Hitler. Alimwagiwa na waandamanaji wa kike wanaopinga vita nchini ukraine. Hili tukio lilitukia jana tarehe 9/5/2014 huko Poland.

View attachment 2219141
Eeeh kumbe ndo kwanza tupo mwaka 2014. Kweli naona Pro Russia wa Vingunguti mmeamua kurudisha tarehe nyuma mjipoze na Ushindi wa Crimea
 
Wazungu wanadai kustarabika lakini matendo yao ni ya kinyama sana! Ndio maana wanahalalisha hata uchafu wa ndoa za jisia moja. Kwa kawaida Balozi anapaswa kuwa mtu wa kuheshimiwa sana!! Hebu fikiria kama balozi wa Uingereza angefanyiwa hivyo kwa sababu yoyote ile!
kustaarabika ni kuwa na uhuru binafsi , mambo ya chumbani ya mwenzio yanakuhusu vp? nyiny ndo wale wakurungwa wa chabo hahaaa
 
Wazungu husuani wanawake ni wajinga sana. They are very arrogant and knows how to play gender card in all aspects.

They can be so disrespectful and in polite just because they are women. Mimi huu ujinga siupendi kabisa.

Waume zao hawana jeuri tena ya kuhoji au kupinga mitazamo yao kisa, wanaogopa kuonekana kutokuheshimu wanawake.
umeshindwa kuitoa sisiemu licha ya kuibiwa kura halaf unaita wanaojitambua kuwa ni wajinga ? anza kuipigania nchi yako kuthibitisha ww sio mjinga , wenzio wanatuma ujumbe kuwa uwepo wa huyo balozi nchini Poland hauna maana kama Urusi bado anaua watu huko Ukraine
 
Eeeh kumbe ndo kwanza tupo mwaka 2014.....kweli naona Pro Russia wa Vingunguti mmeamua kurudisha tarehe nyuma mjipoze na Ushindi wa Crimea
hahahahaaaaa ulimi hauna pazia ohh soryy ulimi hauana mfupaa
 
Dhambi ya kutubagua sasa inawatafuna na nasema itawatafuna sana!!
Mnajibagua wenyew , muslims vs others , Tribalism , urbanism (who is urbanised more) , richism (who is more rich ) , poorism(who is more poor ) , political differences , and regionalism
 
Eeeh kumbe ndo kwanza tupo mwaka 2014.....kweli naona Pro Russia wa Vingunguti mmeamua kurudisha tarehe nyuma mjipoze na Ushindi wa Crimea
Hiyo ilikuwa ni typing error na tayari ilisharekebishwa!! ni jana tarehe 9/05/2022
 
Wazungu wanadai kustarabika lakini matendo yao ni ya kinyama sana! Ndio maana wanahalalisha hata uchafu wa ndoa za jisia moja. Kwa kawaida Balozi anapaswa kuwa mtu wa kuheshimiwa sana!! Hebu fikiria kama balozi wa Uingereza angefanyiwa hivyo kwa sababu yoyote ile!

Binafis naweza sema tu watu wa bara la ulaya na asia ya arubun huko ni watu ambao sijui wanaonaga Mungu hayupo sijui wanajichukuliaga vip mana matendo yao ukiyachunguza ni hovyo ashukuliwe MUNGU WA MBINGUNI KUIKINGA AFRICA NA HAYA MAJITU mana kama yangetaka kutumaliza yanaweza vizur kabisa ila kwakua MUNGU anasimama katikati yetu ndio neema yetu na wokovu wetu ulipo.asante
 
umeshindwa kuitoa sisiemu licha ya kuibiwa kura halaf unaita wanaojitambua kuwa ni wajinga ? anza kuipigania nchi yako kuthibitisha ww sio mjinga , wenzio wanatuma ujumbe kuwa uwepo wa huyo balozi nchini Poland hauna maana kama Urusi bado anaua watu huko Ukraine

Kenge wewe. Hii hoja inahusiana vipi na CCM? Mimi Mbona msimamo wangu unaeleweka.

MaCCM nayajua kama majinga zaidi ya hawa
 
Binafis naweza sema tu watu wa bara la ulaya na asia ya arubun huko ni watu ambao sijui wanaonaga Mungu hayupo sijui wanajichukuliaga vip mana matendo yao ukiyachunguza ni hovyo ashukuliwe MUNGU WA MBINGUNI KUIKINGA AFRICA NA HAYA MAJITU mana kama yangetaka kutumaliza yanaweza vizur kabisa ila kwakua MUNGU anasimama katikati yetu ndio neema yetu na wokovu wetu ulipo.asante
Unafahamu ata uyo Mungu unayejivunia walikuletea hao hao watu wa ulaya[wazungu] na watu wa Asia[ waarabu] kupitia mateso makali ya ukoloni na utumwa[emoji848].Think before you write[emoji16]
 
Back
Top Bottom