Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Unakuwa umepanda meli ya vibwengo.Ukioa Mzungu Mwanamke uko katika Big Shit
Nalog off Z
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuwa umepanda meli ya vibwengo.Ukioa Mzungu Mwanamke uko katika Big Shit
Kwani huo mkundu kuna mtu anakulazimisha upanue? Si ni ww na raha zako au shida zako?Wazungu wanadai kustarabika lakini matendo yao ni ya kinyama sana! Ndio maana wanahalalisha hata uchafu wa ndoa za jisia moja. Kwa kawaida Balozi anapaswa kuwa mtu wa kuheshimiwa sana!! Hebu fikiria kama balozi wa Uingereza angefanyiwa hivyo kwa sababu yoyote ile!
Unafahamu ata uyo Mungu unayejivunia walikuletea hao hao watu wa ulaya[wazungu] na watu wa Asia[ waarabu] kupitia mateso makali ya ukoloni na utumwa[emoji848].Think before you write[emoji16]
Kama hujui wazungu wanafanya sana hiv, hao waingereza unaowasema makamu wa waziri mkuu(John prescot) miaka iliyopita alishawahi kupigwa na yai hadharani na ashawahi pia kumwagiwa maji yote hii watu kuonyesha kuchukizwa na mambo flani.Na huyu jamaa cheo chake ni sawa na makamu wa rais,sema wao wana waziri mkuu sababu wana Malkia,lakin ni mwendesha nchi msaidizi na watu wakampopoa mayai.Wazungu wanadai kustarabika lakini matendo yao ni ya kinyama sana! Ndio maana wanahalalisha hata uchafu wa ndoa za jisia moja. Kwa kawaida Balozi anapaswa kuwa mtu wa kuheshimiwa sana!! Hebu fikiria kama balozi wa Uingereza angefanyiwa hivyo kwa sababu yoyote ile!
Sasa mbona unasema hawamjui Mungu kwa io unadhani na wao wanaamini walijiumba?Unahisi nilijiumba??
Mzee wa kipigo cha mbwa mwitu alishastaafu anakula mafao yake saa hii.Uko si Afrika hata useme akina Mloto waingilie kati.
hahaaa thijathema ccm bali sisiemuKenge wewe. Hii hoja inahusiana vipi na CCM? Mimi Mbona msimamo wangu unaeleweka.
MaCCM nayajua kama majinga zaidi ya hawa
hahaaa we jamaaaUnakuwa umepanda meli ya vibwengo.
Nalog off Z
Kwetu sisi wenyewe kwa wenyewe??? elewa kuwa huo wetu siyo ubaguzi.....ni suuna!....unatabaruku...... au umelewa matango pori!...hiyo hatuzingatii Rangi ya mtu zeruzeru, mweusi tii km jiwe sawa, mweupe pee km jakaya, wema jokate ni sawa tu,Mnajibagua wenyew , muslims vs others , Tribalism , urbanism (who is urbanised more) , richism (who is more rich ) , poorism(who is more poor ) , political differences , and regionalism
Kaka umeandika kisiasa , maisha halisi ya mtaani ni tofauti kabisa , enzi nkiwa chuoni waislamu walipenda kujitenga sana hata mkiwasogelea walikuekea mazingira huisi unachafua atmosphere yao , hata huku mtaani ofisi zenye asili ya uislamu kuajiri mkristu ni changamoto (nadra sana ) , pia hata kwenye kuoana waislamu mnapeana chuki kupinga kuto oana na makafir (nimekutana nayo hii situation , ila pesa ikasolve ujinga huo ) , WAISLAMU kwa zama hizi mnaenezeana chuki sana nimepanda magari ya umma nkakuta mawaidha ya chuki dhidi ya ukristu kwenye hilo gari nlimwambia konda (live) ukiendelea gari itasimama kituoni maana unachafua imani za watu , huu ni usafir wa umma sio gari la shughuli za msikiti , HAPO sijagusia ukabila na classes zinazotokana na elimu na pesa ( zipo kwa wenzetu ila kwetu imekuwa most common ndio maana graduates wetu wameishia kushika remote tu sababu hawataki kujifunza kutoka kwa wasio na vyeti )Kwetu sisi wenyewe kwa wenyewe??? elewa kuwa huo wetu siyo ubaguzi.....ni suuna!....unatabaruku...... au umelewa matango pori!...hiyo hatuzingatii Rangi ya mtu zeruzeru, mweusi tii km jiwe sawa, mweupe pee km jakaya, wema jokate ni sawa tu,
bali tunazingatia usalama tu!! lkn usharika upo pelepale!! ukifiwa/olewa ukiwa hukooo!! uswahilini Mazogoroni. mtu wa msasani, Mbezi beach nk atakuja kushiriki, hata wewe nenda ukitaka Mbezii lkn tu, usiibe!!
Mara ngapi Moslems wanasherehekea X-mass??... Kariakoo pale wakristo wanafuturu kila siku jioni wkt wa mfungo! na wanakaribishana??.
ukimtembelea Mkristo akakuchinjia mbuzi anaitwa jirani Muislamu kupiga ''Allah! wakbar'' anaelekeza mnyama kibra kisu kinapita chwaaa!...km haitoshi oa mmakonde, mchaga, mnyakyusa mkurya Rukhsa, nenda tu na wewe kajenge kipunguni ni sawa tu!
Lkn Mzungu ni marufuku kujichanganya na mweusi popote mpaka leo!....Polisi mzungu, uzunguni ni rahisi kumuwasha risasi Mweusi kuliko mweupe!! lkn hapa Bongo ni tofauti Muhindi anaogopa Polisi mweusi!!.....anakamatwa km wengine walivyo!
wanajaribu kuzibaziba lkn wapi!!.....chuma na udongo vimeshindwa kushikamana! mpaka kesho usibishe tu!
ujumbe umefikaHii imevuka mipaka!! Balozi wa Urusi nchini Poland alimwagiwa kimiminika cha rangi nyekundu wakati akiwa katika harakati za kuadhimisha ushindi wa Jeshi la Urusi dhidi ya majeshi ya kinazi ya Hitler.
Alimwagiwa na waandamanaji wa kike wanaopinga vita nchini ukraine. Hili tukio lilitukia jana tarehe 9/5/2022 huko Poland.
View attachment 2219141
hahaaa thijathema ccm bali sisiemu
Russia inavyopiga mabomu na kuua watu si ushenzi, ila balozi wake akimwagiwa rangi ndiyo ushenzi?Hii imevuka mipaka!! Balozi wa Urusi nchini Poland alimwagiwa kimiminika cha rangi nyekundu wakati akiwa katika harakati za kuadhimisha ushindi wa Jeshi la Urusi dhidi ya majeshi ya kinazi ya Hitler.
Alimwagiwa na waandamanaji wa kike wanaopinga vita nchini ukraine. Hili tukio lilitukia jana tarehe 9/5/2022 huko Poland.
View attachment 2219141
Kuna wakati bora ufiche ujinga wako.Wazungu wanadai kustarabika lakini matendo yao ni ya kinyama sana! Ndio maana wanahalalisha hata uchafu wa ndoa za jisia moja. Kwa kawaida Balozi anapaswa kuwa mtu wa kuheshimiwa sana!! Hebu fikiria kama balozi wa Uingereza angefanyiwa hivyo kwa sababu yoyote ile!
Wajinga sana hao,huku kwetu kila siku tunatolea mifano eti wao wamestaarabika sanaWazungu wanadai kustarabika lakini matendo yao ni ya kinyama sana! Ndio maana wanahalalisha hata uchafu wa ndoa za jisia moja. Kwa kawaida Balozi anapaswa kuwa mtu wa kuheshimiwa sana!! Hebu fikiria kama balozi wa Uingereza angefanyiwa hivyo kwa sababu yoyote ile!
Huwezi kukwepa siasa kwa kuwa siasa ni Maisha yetu ya kila siku!! lkn pia ndo ukweli wenyewe!!Kaka umeandika kisiasa
Wote humu tumesoma tena sana!! mie nimesoma shule zoote za sirikali Waislamu walikuwa wakifunga ni neema kwet wakristo!! tulikuwa tunagonga ftari usiku wa manane km hatuna akili nzuri!! biala kubaguliwa japo walipika wao!! kusema eti unabaguliwa hizo ni tabia zako mbaya!! hata mie, au ndugu, rafiki, au mkristo mwenzako ukimuonyesha tabia mbaya atakubagua tu!enzi nkiwa chuoni waislamu walipenda kujitenga sana hata mkiwasogelea walikuekea mazingira huisi unachafua atmosphere yao ,
Si kweli labda kama hujui Kaz!i nakupa mfano halisi AL JUMAA Hosp. pale kariakoo imeajili wakristo wengi kuliko Waislamu!! Comfort Dispensary Palee mtaa wa siku kuu Imeajili Wakristo wooote na wkt wa siku kuu Mke wa Boss ana mwaga pilau kwa wafanya kazi km hana akili nzuri. usishahu na futari zakila siku jioni!! hao nimewaishi Live!hata huku mtaani ofisi zenye asili ya uislamu kuajiri mkristu ni changamoto (nadra sana )
Kama unatabia mbaya, familia ya kivivu, hasira za hovyo, ukoo wa kichawi/ulevi kupindukia baba mama wote na hujui majukumu yako kwa familia weee! hilo ni kwa kila mtu!! siyo waislamu tu!hata kwenye kuoana waislamu mnapeana chuki kupinga kuto oana na makafir
Haya madaraja yako kotekote!!hasa kwa wale wanao jiona dhaifu kifadha! wanawaogopa wenye nguvu kiuwezo.....Km nilivo eleza hapo awali huwezi kukubali binti yako aungane na familia /jamaa lisilo na pesa au Elimuuu!! yaani eti jinga jinga tu/teja....HAPO sijagusia ukabila na classes zinazotokana na elimu na pesa
Graduate wooote hawafanani wengine waliibia tu!...pia siyo lazima ujifunze ili mradi tu! unajifunza! ...Hekima adabu na heshima kwa wote ndo itakufanya ujifunze, huwezi kujifunza kwa mtu anae kusimanga kwa u- graduate wako na ukamvumilia!!ndio maana graduates wetu wameishia kushika remote tu sababu hawataki kujifunza kutoka kwa wasio na vyeti )
hahaaaKenge wewe