Huu sasa ni ushenzi: Balozi wa Urusi nchini Poland amwagiwa kimiminika cha rangi nyekundu

Huu sasa ni ushenzi: Balozi wa Urusi nchini Poland amwagiwa kimiminika cha rangi nyekundu

Huwezi kukwepa siasa kwa kuwa siasa ni Maisha yetu ya kila siku!! lkn pia ndo ukweli wenyewe!!

Wote humu tumesoma tena sana!! mie nimesoma shule zoote za sirikali Waislamu walikuwa wakifunga ni neema kwet wakristo!! tulikuwa tunagonga ftari usiku wa manane km hatuna akili nzuri!! biala kubaguliwa japo walipika wao!! kusema eti unabaguliwa hizo ni tabia zako mbaya!! hata mie, au ndugu, rafiki, au mkristo mwenzako ukimuonyesha tabia mbaya atakubagua tu!

Si kweli labda kama hujui Kaz!i nakupa mfano halisi AL JUMAA Hosp. pale kariakoo imeajili wakristo wengi kuliko Waislamu!! Comfort Dispensary Palee mtaa wa siku kuu Imeajili Wakristo wooote na wkt wa siku kuu Mke wa Boss ana mwaga pilau kwa wafanya kazi km hana akili nzuri. usishahu na futari zakila siku jioni!! hao nimewaishi Live!

Kama unatabia mbaya, familia ya kivivu, hasira za hovyo, ukoo wa kichawi/ulevi kupindukia baba mama wote na hujui majukumu yako kwa familia weee! hilo ni kwa kila mtu!! siyo waislamu tu!

siwezi ruhusu binti yangu aolewe na mchawi,Mwizi,kilaza au mlevi! hii si udini, ni hulka ya binadamu wote Duniani bila kujali Dini zao!! kifupi hakuna anae penda kitu kibaya! ukiwa na wazazi wana tabia nzuri tu mtaani,

me/ke lazima utagombewa km mpira wa kona! tena utaliliwa tu! na mupenzi me/ke anaweza badili Dini ajili yako wapo wengi wa ivi!...inaonyesha wewe kati ya wazazi wako au wewe mwenyewe! au wote mna tabia mbovu!

jichunguzeni huenda hao wenzako wanafamilia wamekuficha! watu usiwaone ivo wanakwendaga mbali sana kiuchunguzi!! km hujui jua leo!.......km mwanagu una nyota inawaka!! hutakaa bongo kihasara hata Ulaya utasafirishwa tuu!

Haya madaraja yako kotekote!!hasa kwa wale wanao jiona dhaifu kifadha! wanawaogopa wenye nguvu kiuwezo.....Km nilivo eleza hapo awali huwezi kukubali binti yako aungane na familia /jamaa lisilo na pesa au Elimuuu!! yaani eti jinga jinga tu/teja....

hili ni kiubinadamu zaidi na wala si Dini. usipolijua hili utazunguka sana kwa sababu unajua unaleta tatizo/mzigo kwenye familia yako watoto watakao zaliwa watasoma vipi bila pesaaa? wakiugua!! kwa nini binti yangu akaishi kwenye shida?? tafuta pesa uwe na amani!

Kwani hujaona mama mtu mzima mkwe anampenda kijana mtaani tu!! tena anamuomba aoe binti yake achague kwake?? km hujapata hii bahati basi jua unatabia mbaya ndo maana unalia hovyo......

Graduate wooote hawafanani wengine waliibia tu!...pia siyo lazima ujifunze ili mradi tu! unajifunza! ...Hekima adabu na heshima kwa wote ndo itakufanya ujifunze, huwezi kujifunza kwa mtu anae kusimanga kwa u- graduate wako na ukamvumilia!!

pili kwani hiyo graduate inakaa usoni?? nikiajiliwa na ambaye hakusoma atanijuaje kuwa niko huko far?? tatizo lako kihererhere!
Graduates Nina vyeti vingi nampa kinacho lingana na Elimu yake huyo anaeniajili!! lengo nipate kazi tu!

kwa mfano hapa napo andika hujui km mie ni graduate au non Graduate!!! huyu anaweza kujifunza popote pale hapa Duniani! akawa salama!
upo vzr kwenye utetezi ila ukweli unaujua , sizani kama kuna kitu hukijui hapo ila unahisi tupo kweny debate ya lugha , ila nyiny ni wabinafs na ndo chanzo cha migawanyiko kokote pale duniani maana ni wabinafs
 
upo vzr kwenye utetezi ila ukweli unaujua , sizani kama kuna kitu hukijui hapo ila unahisi tupo kweny debate ya lugha , ila nyiny ni wabinafs na ndo chanzo cha migawanyiko kokote pale duniani maana ni wabinafs
Siyo Debate Mkuu!! ila tunaelimishana na nimeishi na Waislam sana!! .siyo sehemu moja wala mbili ni nyingi tu jijini humo!....Binafsi siyo Muislamu kabisaaa!! na wala sijawahi ingia msikitini, ila sasa

kwa sehemu kubwa wamekuwa ni majirani, Rafiki zangu, hata kuna ndg zangu ni waislamu pia ....... tangia niko Mkoani huko tulishirikiana nao kwenye X-mass!!...Idd el fitri mwana ni kujirusha tu! ila pilau wanalijulia sana daaa!

mpaka Jijini Bongo!, sie maulidi tunaenda tu! ,,.....Debate km Yesu si Mungu tumegonga nao sana tu kirafiki!!..na mwisho wa siku tunakuwa kitu kimoja yaani wanakuwa km watani zetu wa jadi na kufikia muafaka. mara chache mnoo kusikia tofauti km hii yako!
 
Back
Top Bottom