Huu sasa ni ushenzi: Balozi wa Urusi nchini Poland amwagiwa kimiminika cha rangi nyekundu

upo vzr kwenye utetezi ila ukweli unaujua , sizani kama kuna kitu hukijui hapo ila unahisi tupo kweny debate ya lugha , ila nyiny ni wabinafs na ndo chanzo cha migawanyiko kokote pale duniani maana ni wabinafs
 
upo vzr kwenye utetezi ila ukweli unaujua , sizani kama kuna kitu hukijui hapo ila unahisi tupo kweny debate ya lugha , ila nyiny ni wabinafs na ndo chanzo cha migawanyiko kokote pale duniani maana ni wabinafs
Siyo Debate Mkuu!! ila tunaelimishana na nimeishi na Waislam sana!! .siyo sehemu moja wala mbili ni nyingi tu jijini humo!....Binafsi siyo Muislamu kabisaaa!! na wala sijawahi ingia msikitini, ila sasa

kwa sehemu kubwa wamekuwa ni majirani, Rafiki zangu, hata kuna ndg zangu ni waislamu pia ....... tangia niko Mkoani huko tulishirikiana nao kwenye X-mass!!...Idd el fitri mwana ni kujirusha tu! ila pilau wanalijulia sana daaa!

mpaka Jijini Bongo!, sie maulidi tunaenda tu! ,,.....Debate km Yesu si Mungu tumegonga nao sana tu kirafiki!!..na mwisho wa siku tunakuwa kitu kimoja yaani wanakuwa km watani zetu wa jadi na kufikia muafaka. mara chache mnoo kusikia tofauti km hii yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…