Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Huu ni uhuni wakuu, Tigo GB moja ilikuwa 1500. Wakaleta mb 900. Juzi zikawa 750. Leo kwa 1500 unapata Mb650. Kwa hesabu za uwiano, hiyo mb 650 ilitakiwa kuuzwa Tsh 975. Kuna Tsh 525 nzima tumeongezewa. yaani Bei imeongezeka kwa asilimia 53 ndani ya muda mfupi tu!.
Huu ni uhuni, ni bidhaa gani zinaongezeka bei kwa kasi kiasi hicho? Sasa wakuu, nini kudeal na uhuni huu wa mitandao ya simu. Maana wanamega kidogo, watu wanapiga kelele. Wakitulia wanamega tena. Mchezo ni huohuo mpaka mabando yatakuwa hayanunuliki tena.
Wanafanya wateja wao mazuzu, na wameungana wameunda kama cartel hivi, hakuna mtandao wa kukimbilia.
NINI KIFANYIKE?
Huu ni uhuni, ni bidhaa gani zinaongezeka bei kwa kasi kiasi hicho? Sasa wakuu, nini kudeal na uhuni huu wa mitandao ya simu. Maana wanamega kidogo, watu wanapiga kelele. Wakitulia wanamega tena. Mchezo ni huohuo mpaka mabando yatakuwa hayanunuliki tena.
Wanafanya wateja wao mazuzu, na wameungana wameunda kama cartel hivi, hakuna mtandao wa kukimbilia.
NINI KIFANYIKE?