Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Naachana rasmi na Instagram na app zote zinazokula data.
Nagonja kwa hamu sana siku G1 Iwe buku 7
Nagonja kwa hamu sana siku G1 Iwe buku 7
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguzini matumizi ya internet yasiyo ya lazima, Mimi natumia JF, Whatsapp, Flash Score, Sportsbet app na Twiter,
Sasa komaa na Tiktok, insta na Youtube unyonywe damu
Airtel nao wameshusha unapa 985 mb kwa 2000Huu ni uhuni wakuu, Tigo GB moja ilikuwa 1500. Wakaleta mb 900. Juzi zikawa 750. Leo kwa 1500 unapata Mb650. Kwa hesabu za uwiano, hiyo mb 650 ilitakiwa kuuzwa Tsh 975. Kuna Tsh 525 nzima tumeongezewa. yaani Bei imeongezeka kwa asilimia 53 ndani ya muda mfupi tu!.
Huu ni uhuni, ni bidhaa gani zinaongezeka bei kwa kasi kiasi hicho? Sasa wakuu, nini kudeal na uhuni huu wa mitandao ya simu. Maana wanamega kidogo, watu wanapiga kelele. Wakitulia wanamega tena. Mchezo ni huohuo mpaka mabando yatakuwa hayanunuliki tena.
Wanafanya wateja wao mazuzu, na wameungana wameunda kama cartel hivi, hakuna mtandao wa kukimbilia.
NINI KIFANYIKE?
Hata voda imepandaTigo ni mali ya mzalendo wa Taifa gas, anayedai wawekezaji uchwara ni mzigo kwa Watanzania, nia abaki bila ya ushindani akifyonza na kula keki ya taifa kiulaini,Kenya walimshtukia huku anatamba yeye ndie the Don, hao wengine ni wapambe tu ingawa ndio waliomfanya afike hapo wao wamegeuka wapiga makofi.
Kwa huyu Don hata TCRA haitafanya chochote, tutawasikia akina Nepi wakiunga mkono uhuni huu, kwani wao nao ni wapiga makofi wa bwana mkubwa huyo, kuna kazi sana huko mbeleni kwani huyu bwana ni mtaka faida kiulaini na akiingia kwenye sector fulani nyie wengine inabaidi muwe watazamaji ,sote tunakumbuka tenda za migodini...