Huu sasa ni wizi. Toka GB 1 kwa 1500 hadi 650 mb!

Naachana rasmi na Instagram na app zote zinazokula data.

Nagonja kwa hamu sana siku G1 Iwe buku 7
 
Mimi nikiweka mb za wiki natumia kwa siku moja tu wakati matumizi yangu makubwa ni kuperuzi jamii forum tu.

Hili suala linatakiwa kukemewa na watu wote mana huu ni wizi wa wazi.
 
Kuna watu wanashinda Instagram na YouTube sasa huwa najiuliza wanaunga bando kiasi gani mana Mimi nikijaribu hata kusearch YouTube tu bando linaisha.
Punguzini matumizi ya internet yasiyo ya lazima, Mimi natumia JF, Whatsapp, Flash Score, Sportsbet app na Twiter,

Sasa komaa na Tiktok, insta na Youtube unyonywe damu
 
Ukiwa na mgahawa wako, kila siku ukipandisha bei watu wanajaa, ukipandisha tena wanajaa, ni lini utaacha kupandisha?

Inaonekana tunatumia zaidi social media kwa burudani na tupo tayari kuigharamia sana. Siku mauzo yakishuka ghafla utaona mambo yatakavyobadilika kwa muda huo.
 
Airtel nao wameshusha unapa 985 mb kwa 2000
 
Hata voda imepanda
 
Bado tuendelee kumsimanga Baba jesca au tubaki tunaimba tutamkumbuka. Hii nchi saiv ipo mikononi mwa walamba asali wachache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…