Huu sasa sio urefu bali ulemavu. Akafanyiwe Oparesheni

Huu sasa sio urefu bali ulemavu. Akafanyiwe Oparesheni

Watanzania wengi ni mbegu mbaya, ni wadogo wadogo sana ndio maana huyo jamaa anaonekana mkubwa sana.

Kule Marekani wamejaa, wamejaa nba, wamejaa wwe, wamejaa kwenye body building nk.

Shida yetu ni lishe, lishe mbovu ambayo haina virutubisho vyote.
 
Watanzania wengi ni mbegu mbaya, ni wadogo wadogo sana ndio maana huyo jamaa anaonekana mkubwa sana.

Kule Marekani wamejaa, wamejaa nba, wamejaa wwe, wamejaa kwenye body building nk.

Shida yetu ni lishe, lishe mbovu ambayo haina virutubisho vyote.

Unafananisha kiwanja na Tanganyika? Utakua na matatizo wewe.
 
Watanzania wengi ni mbegu mbaya, ni wadogo wadogo sana ndio maana huyo jamaa anaonekana mkubwa sana.

Kule Marekani wamejaa, wamejaa nba, wamejaa wwe, wamejaa kwenye body building nk.

Shida yetu ni lishe, lishe mbovu ambayo haina virutubisho vyote.

Lishe mbovu sana

Wafupi Sana watz
 
Huyo yupo sawa kabisa.West Africa hayo ndiyo maumbo yao.Tanzania watu wengi ni wadumavu.Lishe mbovu.Umewahi kujiuliza kwa nini LISHE imekuwa agenda hadi ngazi ya Taifa.Na wengi wenye udumavu mpo bampa kwa bampa na CCM.Walemavu na wadumavu ninyi.🤣🤣🤣🤣🙏
NB;Nilikuwa naangalia campaign ya UVCCM kupitia Wasafi media,vijana wenyewe ni vimtu vifupifupi tupu vinacheza miso misondo huku vimepiga kata k.Hopelesses kabisa!
 
Huyo yupo sawa kabisa.West Africa hayo ndiyo maumbo yao.Tanzania watu wengi ni wadumavu.Lishe mbovu.Umewahi kujiuliza kwa nini LISHE imekuwa agenda hadi ngazi ya Taifa.Na wengi wenye udumavu mpo bampa kwa bampa na CCM.Walemavu na wadumavu ninyi.🤣🤣🤣🤣🙏
🤣🤣🤣🤣 Umeshaangalia anavyotembea? ili tujue which is which, hujafikiria je ni overfeeding? pia mimea iliyoko karibu na ukuta huwa ina urefu wa ziada kukimbilia mwanga juu.
 
Huyo yupo sawa kabisa.West Africa hayo ndiyo maumbo yao.Tanzania watu wengi ni wadumavu.Lishe mbovu.Umewahi kujiuliza kwa nini LISHE imekuwa agenda hadi ngazi ya Taifa.Na wengi wenye udumavu mpo bampa kwa bampa na CCM.Walemavu na wadumavu ninyi.🤣🤣🤣🤣🙏
Sio West Africa,watu warefu wapo South Sudan
 
🤣🤣🤣🤣 Umeshaangalia anavyotembea? ili tujue which is which, hujafikiria je ni overfeeding? pia mimea iliyoko karibu na ukuta huwa ina urefu wa ziada kukimbilia mwanga juu.
Anatembea kibabe na mapozi.Siyo kimtu kinatembea utadhani kinakwepa mishale au kinaogopa kusombwa na upepo.🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom