Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
LIKUD ni mlalamishi sana.Anaweza akaanza kujilalamikia hata nafsi yake.🤣🤣🤣Haujamuona mtoto wa @LIKUID maana alikuwa anamtafuta Sana .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LIKUD ni mlalamishi sana.Anaweza akaanza kujilalamikia hata nafsi yake.🤣🤣🤣Haujamuona mtoto wa @LIKUID maana alikuwa anamtafuta Sana .
Mbona balozi wa Milembe aliwezana nayo?Have a trial big girl!😂😂😂Mie sio spesho oda bro
Mbona tunawaona kwenye mechi ,Arai wao nk yaani wale ndio warefu? Wana tofauti ipi na wengine?Senegal, Mauritani na baadhi ya jamii za Guinea na Burkinabe...
Uelewe,siyo wote ni warefu ila wengi wao.Mbona tunawaona kwenye mechi ,Arai wao nk yaani wale ndio warefu? Wana tofauti ipi na wengine?
Na huo ndio uongo,hao wengi wako wapi? Si tungeyaona hata kwenye Timu Yao wakiwa wengi na wafupi au average Wakiwa wachache.Uelewe,siyo wote ni warefu ila wengi wao.
Wewe wakili fake wa CCM ni mbishi sana.Nimekutolea na mfano wa yule aliyepindua nchi aliposimama na Paul Kagame lakini wapi!Wewe ni mdumavu huelewi na unasahau haraka.Nisamehe kwa kukutania.🤣🤣🤣🤣🙏Na huo ndio uongo,hao wengi wako wapi? Si tungeyaona hata kwenye Timu Yao wakiwa wengi na wafupi au average Wakiwa wachache.
Jaribu tu. Ikishindikana mpasie yule dada yako, Madam.Mie sio spesho oda bro
Mbona tunawaona kwenye mechi ,Arai wao nk yaani wale ndio warefu? Wana tofauti ipi na wengine?
Dada Jokate 😹😹Jaribu tu. Ikishindikana mpasie yule dada yako, Madam.
Sasa huo si urefu tuu wa jamii nyingi?Unaowaona kwenye mechi unadhani ni wafupi wale?
Mathalini golikipa wa Mauritania ana urefu wa 1.96m, average height ya timu ya Senegal ni 6+ ft
Na cha ajabu ameanza kwa kuitaja Ghana kama mfano wake mkuu.Anakana kazi ya mikono yake hapahapa.Ndugu yetu mbishi huyo hakyanane!Natamani nimbadilishe na debe la komoni tu ili aondoe ghasia.Unaowaona kwenye mechi unadhani ni wafupi wale?
Mathalini golikipa wa Mauritania ana urefu wa 1.96m, average height ya timu ya Senegal ni 6+ ft
Cha ajabu unaweza kukuta ana kibanga ampiga mkoloni/kibamia.huo Mjulubeng ni vipi sasaa😂😂😂
Sasa huo si urefu tuu wa jamii nyingi?
una utani na wapare 😂Lishe mbovu sana
Wafupi Sana watz
🤣🤣Wabongo wengi vilaza, mnashindwa kutofautisha mgonjwa na asie mgonjwa? Ukimtizama huyo ni mrefu wa asili misuli na umbo limejengeka vyema km mimi shortiii au wewe, huyo wa Ghana ukimtizama tu unamuona ni mgonjwa ni km yule binti wa umiseta ililetwa pic yake nikacomment huyu ni mgonjwa vilaza wakanishutumu kinoma,
Ukuaji wa kimo tunaufurahia ikiwa mtoto yupo balehe akizidi umri huo na bado anakua juwa kuna tatizo tena kubwa sana,
Mwamba umepuyanga. Huyo wa Marekan ni Hashim aliyewahi kucheza ligi ya NBA jamaa yake na Jokate kamwe hawezi kufikia hatua ya kuigiza. Huyu msela anayeonekana hapo ni mtu tofauti na Hashim japo wana ufanano kwa mbaaaali.Huyu jamaa alienda USA muda Fulani akapiga Sana PESA na kucheza katika timu za vikapu .
Ila naona anakosa Mentor wazuri wa kumshauri ili atumie urefu wake kujipatia kipato .
Wajanja wanamtumia tu