The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Watanzania wengi ni mbegu mbaya, ni wadogo wadogo sana ndio maana huyo jamaa anaonekana mkubwa sana.
Kule Marekani wamejaa, wamejaa nba, wamejaa wwe, wamejaa kwenye body building nk.
Shida yetu ni lishe, lishe mbovu ambayo haina virutubisho vyote.
Marekani watu warefu wengi tu wamepigika. Sio kila mtu katoboa.
Watanzania wengi ni mbegu mbaya, ni wadogo wadogo sana ndio maana huyo jamaa anaonekana mkubwa sana.
Kule Marekani wamejaa, wamejaa nba, wamejaa wwe, wamejaa kwenye body building nk.
Shida yetu ni lishe, lishe mbovu ambayo haina virutubisho vyote.
NB;Nilikuwa naangalia campaign ya UVCCM kupitia Wasafi media,vijana wenyewe ni vimtu vifupifupi tupu vinacheza miso misondo huku vimepiga kata k.Hopelesses kabisa!Huyo yupo sawa kabisa.West Africa hayo ndiyo maumbo yao.Tanzania watu wengi ni wadumavu.Lishe mbovu.Umewahi kujiuliza kwa nini LISHE imekuwa agenda hadi ngazi ya Taifa.Na wengi wenye udumavu mpo bampa kwa bampa na CCM.Walemavu na wadumavu ninyi.π€£π€£π€£π€£π
Kuwa na kipaji na kutoboa ni mambo mawili tofauti.
Huyo jamaa , angekuwa marekani angekuwa tajiri mkubwa Sana kupitia urefu wake .
NB;Nilikuwa naangalia campaign ya UVCCM kupitia Wasafi media,vijana wenyewe ni vimtu vifupifupi tupu vinacheza miso misondo huku vimepiga kata k.Hopelesses kabisa!
π€£π€£π€£π€£ Umeshaangalia anavyotembea? ili tujue which is which, hujafikiria je ni overfeeding? pia mimea iliyoko karibu na ukuta huwa ina urefu wa ziada kukimbilia mwanga juu.Huyo yupo sawa kabisa.West Africa hayo ndiyo maumbo yao.Tanzania watu wengi ni wadumavu.Lishe mbovu.Umewahi kujiuliza kwa nini LISHE imekuwa agenda hadi ngazi ya Taifa.Na wengi wenye udumavu mpo bampa kwa bampa na CCM.Walemavu na wadumavu ninyi.π€£π€£π€£π€£π
Huyo jamaa , angekuwa marekani angekuwa tajiri mkubwa Sana kupitia urefu wake .
Kipindi yupo marekani jamaa alikuwa yupo vizuri Sana kiuchumi na alicheza mpira wa kikapu marekani.
c kwel kabisaMavyakula ya hybrid sasa yanarudia milini mwa wajukuu zetu.
Kama unamudu mfate tu. Kitu ipo standby. Ni wewe na mayowe yako.Viatu na nguo ni oda maalumu, na sisi je??aah au basi......
Umeanza kukaba hadi watoto?Shauri yako.Ni generation Z hao.Huyo pia inabidi alipe kodi na urefu wake.
Sio West Africa,watu warefu wapo South SudanHuyo yupo sawa kabisa.West Africa hayo ndiyo maumbo yao.Tanzania watu wengi ni wadumavu.Lishe mbovu.Umewahi kujiuliza kwa nini LISHE imekuwa agenda hadi ngazi ya Taifa.Na wengi wenye udumavu mpo bampa kwa bampa na CCM.Walemavu na wadumavu ninyi.π€£π€£π€£π€£π
Anatembea kibabe na mapozi.Siyo kimtu kinatembea utadhani kinakwepa mishale au kinaogopa kusombwa na upepo.π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Umeshaangalia anavyotembea? ili tujue which is which, hujafikiria je ni overfeeding? pia mimea iliyoko karibu na ukuta huwa ina urefu wa ziada kukimbilia mwanga juu.
Hata west wapo.Umewaona wale waliopindua nchi?Kuna mmoja alimtembelea Paul Kagame wakasimama pamoja.Kagame akaonekana ni kamtu kadumavu.Noma sana.πππππSio West Africa,watu warefu wapo South Sudan
Sio West Africa,watu warefu wapo South Sudan
Mie sio spesho oda broKama unamudu mfate tu. Kitu ipo standby. Ni wewe na mayowe yako.