Huu si ushahidi kuwa CCM ni chama dola? Je, kuna mangapi yanafanyika juma ya pazia zaidi ya hili?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
By John Pambalu kupitia twitter(kamnukuu kwenye clip iliyoko katika akaunti yake ya twiitter).

"Mimi nilikua Mkuu wa kikosi Cha Jeshi ,wakati hairuhusiwu afisa wa jeshi kushiriki kwenye mambo ya kisiasa lakini Mimi nilishiriki, biliwapa Lita 200 za Mafuta CCM Mwaka 2007" Kanari Ngemera Lubinga.
 
CCM hawana uhalali wa kuongoza nchi
 
CCM wamenyimwa maarifa na kujazwa kiburi na matokeo yake baadhi yao wanaropoka tu
 
Ccm ni kama Taleban tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…