Huu sio uungwana, Makomandoo wa Yanga wamshushia kichapo kikali shabiki wa Yanga

Huu sio uungwana, Makomandoo wa Yanga wamshushia kichapo kikali shabiki wa Yanga

Dah, ndo mana Nembo ya Utopolo Ina picha ya Mabondia , nilikuwa sielewi wale Mabondia wamefata Nini Kwenye klabu ya Soka....!

Kumbeeeee Yanga Ina mabaunsa Siku Yanga ikifungwa hata ukicheka Mabaunsa wanakuwa Wanandondi!!
Kibano kitakuhusu.

Pole sana Shabiki aliyepigwa.!
🤣🤣🤣🤣
 
Hapo nimeelewa, huyo shabiki wa kina domo kaya. Makomandoo walikuwa wanamvutia tu kasi. Nachokipendea Yanga, wee jichanganye ukae upande wetu. Halafu ushangilie dunduka, tutapasiana kama kitenesi huo mwili wako.
 
Hapo nimeelewa, huyo shabiki wa kina domo kaya. Makomandoo walikuwa wanamvutia tu kasi. Nachokipendea Yanga, wee jichanganye ukae upande wetu. Halafu ushangilie dunduka, tutapasiana kama kitenesi huo mwili wako.
Kuna siku utatiwa vidole watu waangalie tu kwa kisingizio cha kichokoraa kama hiki. Mpira ni mchezo wa furaha na uvumilivu.huyo dogo kuna baya gani kazungumza hapo? Na kama lingekuwepo why apigwe asijibiwe kwa maneno?huo ni udhaifu na tabia hizi za kushadadia violence wewe unajita jina la kike utafanywa kama ambavyo alifanywa yule binti na wanajeshi watu wasikutetee. Muwe mnapata elimu hata kwa level ndogo tu kuwafundisha ustaarabu
 
Jamani tanzania ni nchi ya amani, na pia katika upande wa michezo tunaamini katika fair play na uhuru wa kutoa maoni bila kufanyiwa ukatili.

Kuna video inasambaa kwa kasi kubwa mitandaoni ikimuonesha shabiki wa Yanga akijaribu kutoa maoni yake na kuwafariji mashabiki kua ni hali ya mchezo wa mpira wa miguu ukifungwa unakubali unajipanga.

Lakini katika hali usiyo ya kawaida walitokea wanaosemekana ni MAKOMANDOO wa Yanga na kuanza kumpiga shabiki huyo makofi na ngumi na mateke, na kijana wa watu japo alikua anakimbia kujihami lakini bado walikua wanamkimbiza huku wakiendelea kumshambulia.

Jambo hili ni baya sana na linachafua mpira wa miguu. Uongozi wa yanga ukishirikiana na mamlaka za kisalama pamoja na Bodi ya Ligi ziwachukulie hatua kali sana WAHUNI hao wanaojiita makomandoo wa yanga.
Yanga ni vibaka mpaka walimuibia simu mchezaji wao badala ya kumlinda!
 
Kuna siku utatiwa vidole watu waangalie tu kwa kisingizio cha kichokoraa kama hiki. Mpira ni mchezo wa furaha na uvumilivu.huyo dogo kuna baya gani kazungumza hapo? Na kama lingekuwepo why apigwe asijibiwe kwa maneno?huo ni udhaifu na tabia hizi za kushadadia violence wewe unajita jina la kike utafanywa kama ambavyo alifanywa yule binti na wanajeshi watu wasikutetee. Muwe mnapata elimu hata kwa level ndogo tu kuwafundisha ustaarabu
Sio kutiwa vidole..atabakwa live na hakuna mtu atamsaidia, mtu njiani huyu anapita anaangalia tu huku akitembea, mwingine anachat kabisa
 
Hapo nimeelewa, huyo shabiki wa kina domo kaya. Makomandoo walikuwa wanamvutia tu kasi. Nachokipendea Yanga, wee jichanganye ukae upande wetu. Halafu ushangilie dunduka, tutapasiana kama kitenesi huo mwili wako.
Jaribu pia ukae upande wa Mnyama halafu ushabikie Uto uone kama huo Mwiko Nyuma utabaki.
 
Jamani Tanzania ni nchi ya amani, na pia katika upande wa michezo tunaamini katika fair play na uhuru wa kutoa maoni bila kufanyiwa ukatili.

Kuna video inasambaa kwa kasi kubwa mitandaoni ikimuonesha shabiki wa Yanga akijaribu kutoa maoni yake na kuwafariji mashabiki kua ni hali ya mchezo wa mpira wa miguu ukifungwa unakubali unajipanga.

Lakini katika hali usiyo ya kawaida walitokea wanaosemekana ni MAKOMANDOO wa Yanga na kuanza kumpiga shabiki huyo makofi na ngumi na mateke, na kijana wa watu japo alikua anakimbia kujihami lakini bado walikua wanamkimbiza huku wakiendelea kumshambulia.

Jambo hili ni baya sana na linachafua mpira wa miguu. Uongozi wa yanga ukishirikiana na mamlaka za kisalama pamoja na Bodi ya Ligi ziwachukulie hatua kali sana WAHUNI hao wanaojiita makomandoo wa yanga.
Hiyo timu ni ya wahuni tu.Wakishinda wanafanya ngono hadharani,wakishindwa wanapigana
 
Jamani Tanzania ni nchi ya amani, na pia katika upande wa michezo tunaamini katika fair play na uhuru wa kutoa maoni bila kufanyiwa ukatili.

Kuna video inasambaa kwa kasi kubwa mitandaoni ikimuonesha shabiki wa Yanga akijaribu kutoa maoni yake na kuwafariji mashabiki kua ni hali ya mchezo wa mpira wa miguu ukifungwa unakubali unajipanga.

Lakini katika hali usiyo ya kawaida walitokea wanaosemekana ni MAKOMANDOO wa Yanga na kuanza kumpiga shabiki huyo makofi na ngumi na mateke, na kijana wa watu japo alikua anakimbia kujihami lakini bado walikua wanamkimbiza huku wakiendelea kumshambulia.

Jambo hili ni baya sana na linachafua mpira wa miguu. Uongozi wa yanga ukishirikiana na mamlaka za kisalama pamoja na Bodi ya Ligi ziwachukulie hatua kali sana WAHUNI hao wanaojiita makomandoo wa yanga.
Yanga wahuni tu. Mashabiki wengi wa yanga masela
 
Jamani Tanzania ni nchi ya amani, na pia katika upande wa michezo tunaamini katika fair play na uhuru wa kutoa maoni bila kufanyiwa ukatili.

Kuna video inasambaa kwa kasi kubwa mitandaoni ikimuonesha shabiki wa Yanga akijaribu kutoa maoni yake na kuwafariji mashabiki kua ni hali ya mchezo wa mpira wa miguu ukifungwa unakubali unajipanga.

Lakini katika hali usiyo ya kawaida walitokea wanaosemekana ni MAKOMANDOO wa Yanga na kuanza kumpiga shabiki huyo makofi na ngumi na mateke, na kijana wa watu japo alikua anakimbia kujihami lakini bado walikua wanamkimbiza huku wakiendelea kumshambulia.

Jambo hili ni baya sana na linachafua mpira wa miguu. Uongozi wa yanga ukishirikiana na mamlaka za kisalama pamoja na Bodi ya Ligi ziwachukulie hatua kali sana WAHUNI hao wanaojiita makomandoo wa yanga.
Walicho mfanya dogo ni sawa na walicho mfanya Ally Kamwe tofauti ni Kamwe kubebwa na dogo kupigwa
 
Jamani Tanzania ni nchi ya amani, na pia katika upande wa michezo tunaamini katika fair play na uhuru wa kutoa maoni bila kufanyiwa ukatili.

Kuna video inasambaa kwa kasi kubwa mitandaoni ikimuonesha shabiki wa Yanga akijaribu kutoa maoni yake na kuwafariji mashabiki kua ni hali ya mchezo wa mpira wa miguu ukifungwa unakubali unajipanga.

Lakini katika hali usiyo ya kawaida walitokea wanaosemekana ni MAKOMANDOO wa Yanga na kuanza kumpiga shabiki huyo makofi na ngumi na mateke, na kijana wa watu japo alikua anakimbia kujihami lakini bado walikua wanamkimbiza huku wakiendelea kumshambulia.

Jambo hili ni baya sana na linachafua mpira wa miguu. Uongozi wa yanga ukishirikiana na mamlaka za kisalama pamoja na Bodi ya Ligi ziwachukulie hatua kali sana WAHUNI hao wanaojiita makomandoo wa yanga.
Two things are infinite in this world: the universe and human stupidity;
 
Back
Top Bottom