Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Tanzania hakuna mtu atakutetea ukionewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani wampige tu bila kosa lolote wamekuwa vichaa? Lazima Kuna kitu kafanya sio Bure au ndio wale mapandikizi ya Simba yanayojivika uyanga yanakwenda kuichafua klabu kwa kuongea ujinga, kama ni ivyo acha apate stahili yakeJamani Tanzania ni nchi ya amani, na pia katika upande wa michezo tunaamini katika fair play na uhuru wa kutoa maoni bila kufanyiwa ukatili.
Kuna video inasambaa kwa kasi kubwa mitandaoni ikimuonesha shabiki wa Yanga akijaribu kutoa maoni yake na kuwafariji mashabiki kua ni hali ya mchezo wa mpira wa miguu ukifungwa unakubali unajipanga.
Lakini katika hali usiyo ya kawaida walitokea wanaosemekana ni MAKOMANDOO wa Yanga na kuanza kumpiga shabiki huyo makofi na ngumi na mateke, na kijana wa watu japo alikua anakimbia kujihami lakini bado walikua wanamkimbiza huku wakiendelea kumshambulia.
Jambo hili ni baya sana na linachafua mpira wa miguu. Uongozi wa yanga ukishirikiana na mamlaka za kisalama pamoja na Bodi ya Ligi ziwachukulie hatua kali sana WAHUNI hao wanaojiita makomandoo wa yanga.
Wanafanya mambo ya kipuuzi sana
Sio shabiki wa yanga uyo anaonekana alisetiwa na makolo unaona na microphone ya makolo inawekwa ovyo kabisa, acha wamkande ndio wale mapandikizi yanawekwa yaongelee yanga vibaya
Hakuna mtu mwenye haki ya kumpiga mwingine kwa mujibu wa Sheria za nchi hii. Ndiyo maana kupigana hadharani ni kosa na kumpiga mtu mwingine ni kosa pia kisheria.Yani wampige tu bila kosa lolote wamekuwa vichaa?
Umeongea kishujaa kumbe mrembo tu hata panya unaogopa😂😂😂Hapo nimeelewa, huyo shabiki wa kina domo kaya. Makomandoo walikuwa wanamvutia tu kasi. Nachokipendea Yanga, wee jichanganye ukae upande wetu. Halafu ushangilie dunduka, tutapasiana kama kitenesi huo mwili wako.
wewe timu gani kwanza tuanzie hapoAah kupigana siyo sawa, alikua anatoa maoni yake kwa timu yake
Proudly Yanga fan😀😀 acha ituuewewe timu gani kwanza tuanzie hapo
Wewe timu gani Kenzy?wewe timu gani kwanza tuanzie hapo
Hebu nitokee kule umezoea kutiwa vidole eeh. Achana namimi eti mtu asiyejulikana hapo tu hina akili kujiita hivyo. Kafie mbele na umeshaingia kwenye 🚮Kuna siku utatiwa vidole watu waangalie tu kwa kisingizio cha kichokoraa kama hiki. Mpira ni mchezo wa furaha na uvumilivu.huyo dogo kuna baya gani kazungumza hapo? Na kama lingekuwepo why apigwe asijibiwe kwa maneno?huo ni udhaifu na tabia hizi za kushadadia violence wewe unajita jina la kike utafanywa kama ambavyo alifanywa yule binti na wanajeshi watu wasikutetee. Muwe mnapata elimu hata kwa level ndogo tu kuwafundisha ustaarabu
Umezoea kubakwa shetanibwa mguu mmoja wewe. Hebu nitokeeni huko. Nimeshaandika na la kunifanya hamna. Nakutupia kwenye 🚮Sio kutiwa vidole..atabakwa live na hakuna mtu atamsaidia, mtu njiani huyu anapita anaangalia tu huku akitembea, mwingine anachat kabisa
Sasa mbona unapaniki? You shouldnt. Haya mambo hayataki hasira. Ukifungwa ni sehemu ya mchezo siyo unatoa povu sehemu zako zote za wazi zinatoa povu. Hujui mpira unapapatika tu. Kuna siku utafanywa kama walichofanya wanajeshi tutakuwa tunakuangalia tu sababu you dont use your brain at all.Hebu nitokee kule umezoea kutiwa vidole eeh. Achana namimi eti mtu asiyejulikana hapo tu hina akili kujiita hivyo. Kafie mbele na umeshaingia kwenye 🚮
Made in Africa!!
nilikua nakuheshimu....Hapo nimeelewa, huyo shabiki wa kina domo kaya. Makomandoo walikuwa wanamvutia tu kasi. Nachokipendea Yanga, wee jichanganye ukae upande wetu. Halafu ushangilie dunduka, tutapasiana kama kitenesi huo mwili wako.
Ukiangalia logo ya yanga...hao makomandoo wapo!!!Nimeona hizo clips, wazo la ghafla likanijia.
Nikasema kama Yanga wana mabondia wa aina hii kwanini wanatumia njia ndefu kutafuta kombe??
Kwanini wasiwatume hawa vibopa wakalichukue kimabavu tu kuliko kuwachosha kina Mpumelelo wawatu?
Kwasababu mimi nahakika kabisa kwa nilichokiona kwa wale majamaa watatu wakiliamsha pale CAF ni zaidi ya Expendable. Lazima kombe waachie.
Mabaunsa njaa tu yaleHivi hizo timu huwa zina commando kabisa? 😳