Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 866
- 625
Huseni hana makuu Sidhani kama alijiandaa sana katika hilo inawezekana ameweka kwenye mzani na kaona kakake Amani kachukua form ni mapambano ya kifamilia ambayo haiwezi kuwa na Tina sana kwa Taifa LA Z'bar.Kama wanna Sifa sioni shida na hussen Katia Nia na sio kawa rais. Mbarawa kuchukua au kakatwa kuchukua fomu?