Huseni hana makuu Sidhani kama alijiandaa sana katika hilo inawezekana ameweka kwenye mzani na kaona kakake Amani kachukua form ni mapambano ya kifamilia ambayo haiwezi kuwa na Tina sana kwa Taifa LA Z'bar.Kama wanna Sifa sioni shida na hussen Katia Nia na sio kawa rais. Mbarawa kuchukua au kakatwa kuchukua fomu?
Wacha tuu znz itawaliwe kifalme Kama uarabuni. HAKUNA namna nyingine
Unadhani watoto wa machief enzi zile hawakuwa na sifa? Kinachofanyika sasa ni gelesha tu ya kukaribisha na wengine kuchukua fomu ili kuhalisha tabia zile zile za utawala wa kichiefKama wanna Sifa sioni shida na hussen Katia Nia na sio kawa rais. Mbarawa kuchukua au kakatwa kuchukua fomu?
Naona huko Zanzibar mnaleta mambo ya ki-chifu.
Hii yote ni himaya ya ccm ndugu watanzania tuwe macho na machifu hawa tuwakatae.
- Abeid Amani Karume-rais wa kwanza Zanzibar
- Aman Abeid Karume- rais mstaafu Zanzibar
- Ali Hassan Mwinyi -rais mstaafu Zanzibar na Tanzania
- Hussein Mwinyi -mgombea urais 2020
- Ali Karume -mgombea urais 2020
Ukoo wake au jamaa zake hawajawahi kuwa Rais wa ZNZ.Na baba yake na Seif alikua na Cheo gani hapo Zanzibar?
TuwakataeNaona huko Zanzibar mnaleta mambo ya ki-chifu.
Hii yote ni himaya ya ccm ndugu watanzania tuwe macho na machifu hawa tuwakatae.
- Abeid Amani Karume-rais wa kwanza Zanzibar
- Aman Abeid Karume- rais mstaafu Zanzibar
- Ali Hassan Mwinyi -rais mstaafu Zanzibar na Tanzania
- Hussein Mwinyi -mgombea urais 2020
- Ali Karume -mgombea urais 2020
Hivi unahangaika nini? Hemu fanya mambo yako unabishana na mjinga ukishakuwa ccm wana mtambo wa kulegeza nati za kwenye ubongo. Waangalie Polepole,Bashiru,Kabudi wote wamelegezwa nati zimekuwa kama Lusinde,Bashite,Msukuma na MlingaNa baba yake na Seif alikua na Cheo gani hapo Zanzibar?
Kweli Karne hii mnateua mgombea ambaye baba yake aliwahi kuwa rais ,hivi hakuna wagombea wengine, Karume baba take alikuwa rais , Hussein Mwinyi baba yake alikuwa rais ,hivi hakuna wengine wa kuwa marais mpaka watoto wa maraisi wajirudie ? Huu si Usultani ?Chama kikongwe kwa maamuzi haya ni aibu.
Anahaki zake yeye kama yeye
amepigiwa kura na Wajumbe
kuwa mtoto wa Rais mstaaf hakumuondolei Haki zake kama Mzanzibar
kama unachuki binafsi Ndio hivyo sasa Kamchague wa Upinzani Maalimu
kila mwaka yeye
Alikuwa mgombea Huja balehe
leo unakaribia mjukuu bado mgombea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] majibu majarabu kabisaAnahaki zake yeye kama yeye
amepigiwa kura na Wajumbe
kuwa mtoto wa Rais mstaaf hakumuondolei Haki zake kama Mzanzibar
kama unachuki binafsi Ndio hivyo sasa Kamchague wa Upinzani Maalimu
kila mwaka yeye
Alikuwa mgombea Huja balehe
leo unakaribia mjukuu bado mgombea