Hivi hilo unaloliongea unalijua vzr kweli?Chama cha wanyonge kina wenyewe, watoto wa apeche alolo mtaishia kuweka majukwaa na kuwapigia makofi watoto wa wapigiwa kura.
Usultan mnafanya nyinyi wapinzani, toka 1995 Hadi leo mgombea ni Maalim Seif.Kweli Karne hii mnateua mgombea ambaye baba yake aliwahi kuwa rais ,hivi hakuna wagombea wengine, Karume baba take alikuwa rais , Hussein Mwinyi baba yake alikuwa rais ,hivi hakuna wengine wa kuwa marais mpaka watoto wa maraisi wajirudie ? Huu si Usultani ?Chama kikongwe kwa maamuzi haya ni aibu.
Kweli Karne hii mnateua mgombea ambaye baba yake aliwahi kuwa rais ,hivi hakuna wagombea wengine, Karume baba take alikuwa rais , Hussein Mwinyi baba yake alikuwa rais ,hivi hakuna wengine wa kuwa marais mpaka watoto wa maraisi wajirudie ? Huu si Usultani ?Chama kikongwe kwa maamuzi haya ni aibu.
Wagombea wenu si ni wakina Kipi Warioba, Hussein Mwinyi, Madaraka Nyerere nkHivi hilo unaloliongea unalijua vzr kweli?
Kamuulize Faru john
Usultan mnafanya nyinyi wapinzani, toka 1995 Hadi leo mgombea ni Maalim Seif.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Bendera fuata upepo jikite kwenye mada baba yako hajabalehe amekuzaaje?Anahaki zake yeye kama yeye
amepigiwa kura na Wajumbe
kuwa mtoto wa Rais mstaaf hakumuondolei Haki zake kama Mzanzibar
kama unachuki binafsi Ndio hivyo sasa Kamchague wa Upinzani Maalimu
kila mwaka yeye
Alikuwa mgombea Huja balehe
leo unakaribia kupata mjukuu bado mgombea
Hivi hakuna watu wengine wanaoweza kuwa marais ,mpaka wawe watoto wa Marais wastaafu Muwe mnaelewa hoja .Sidhani kama Kura 129 na hiyo 78% aliyoipata imekuja kwa bahati mbaya. Wana CCM wanajua mengi Kutushinda hivyo tuheshimu Walichokiamua.
Sidhani kama Kura 129 na hiyo 78% aliyoipata imekuja kwa bahati mbaya. Wana CCM wanajua mengi Kutushinda hivyo tuheshimu Walichokiamua.
Kwahiyo aliyempitisha ni Magufuri sio Halmashauri Kuu?Si mlisema Magufuli hatompitisha Mwinyi kwa sababu hammudu? Pole sana, CCM hakuna ushemeji wala ujomba
Hivi hakuna watu wengine wanaoweza kuwa marais ,mpaka wawe watoto wa Marais wastaafu Muwe mnaelewa hoja .
Naona mzee Mwinyi kalipwa fadhila za kukubali kuwa hakuna rais aliyefanya vizuri toka Nyerere mpaka sasa ,maoni jicho la tatu.Chama cha wanyonge kina wenyewe, watoto wa apeche alolo mtaishia kuweka majukwaa na kuwapigia makofi watoto wa wapigiwa kura.
Mimi sikushangaa, kwani ccm wanasema wanautamaduni wao, na ndio huo, Wapo WENYECHAMA na WANACHAMA. Mzee ruksa hadi anaomba Magufuri atawale milele hivi hamkulijua hilo, AISIFUYE MVUA IMEMNYESHEAKwahiyo aliyempitisha ni Magufuri sio Halmashauri Kuu?
Hivi hakuna watu wengine wanaoweza kuwa marais ,mpaka wawe watoto wa Marais wastaafu Muwe mnaelewa hoja .
Naona mzee Msinyi kalipwa fadhila za kukubali kuwa hakuna rais aluyefanya vizuri toka Nyerere mpaka sasa ,maoni jicho la tatuChama cha wanyonge kina wenyewe, watoto wa apeche alolo mtaishia kuweka majukwaa na kuwapigia makofi watoto wa wapigiwa kura.
We Pimbi usifikili tunaandika tusivyovijua ,ccm inamilikiwa na koo ishirini na saba tu ,muwe mnasoma historia sio kukurupuka .Anahaki zake yeye kama yeye
amepigiwa kura na Wajumbe
kuwa mtoto wa Rais mstaaf hakumuondolei Haki zake kama Mzanzibar
kama unachuki binafsi Ndio hivyo sasa Kamchague wa Upinzani Maalimu
kila mwaka yeye
Alikuwa mgombea Huja balehe
leo unakaribia kupata mjukuu bado mgombea
hatuwezi kuheshimu maamuzi mauchafuSidhani kama Kura 129 na hiyo 78% aliyoipata imekuja kwa bahati mbaya. Wana CCM wanajua mengi Kutushinda hivyo tuheshimu Walichokiamua.
Naona mzee Msinyi kalipwa fadhila za kukubali kuwa hakuna rais aluyefanya vizuri toka Nyerere mpaka sasa ,maoni jicho la tatuChama cha wanyonge kina wenyewe, watoto wa apeche alolo mtaishia kuweka majukwaa na kuwapigia makofi watoto wa wapigiwa kura.
We Pimbi usifikili tunaandika tusivyovijua ,ccm inamilikiwa na kio ishirini na saba tu ,muwe mnasoma historiaAnahaki zake yeye kama yeye
amepigiwa kura na Wajumbe
kuwa mtoto wa Rais mstaaf hakumuondolei Haki zake kama Mzanzibar
kama unachuki binafsi Ndio hivyo sasa Kamchague wa Upinzani Maalimu
kila mwaka yeye
Alikuwa mgombea Huja balehe
leo unakaribia kupata mjukuu bado mgombea
Mmezoea ndio mzee ,hata kuumiza kichwa kureason hamna , premature green imbecile.Na ni wapi katika Katiba ya Tanzania au hata ile ya CCM imesema kuwa ukiwa Mtoto wa Rais basi hupaswi nawe kuwa Rais? Hebu acha kuwa Juha.