Kwan mim ntakuweka ndan kimagumash enhee?[emoji23][emoji23]si unafahamu kuwa huwezi kuwa na mtu kwenye mahusiano kwa kumuonea huruma eeee..ehee.
Ni kweli tupo wengi na nyie mpo wachache hilo liko wazi,lkni ni lazima apatikane kati ya hao wachache mmojawapo akaniweka ndan kihalali.naamini
Kwan mim ntakuweka ndan kimagumash enhee?
Muhurumie mwenzio wee dada[emoji23][emoji23]si unafahamu kuwa huwezi kuwa na mtu kwenye mahusiano kwa kumuonea huruma eeee..ehee.
Ni kweli tupo wengi na nyie mpo wachache hilo liko wazi,lkni ni lazima apatikane kati ya hao wachache mmojawapo akaniweka ndan kihalali.naamini
Huo ni msaada cz kwenye population list wew mwenyewe umeona mlivyo weng so by any means kuja kwako inakuwa kama msaada japokuwa hutak kurecognise na ku appriciateLol sijui umewaza nini...
Kama unakumbuka ulisema unataka kunisaidia..hapo ndipo tulipoanzia,cjui unakumbuka!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unataka unisaidie tutani eee
Muhurumie mwenzio wee dada
Bahat kama hizo ni nadra sana
Ikizingatia mpo billion 2 dunian
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wenye sifa za kuoa hatufiki hata billion 1
Umeona sasa watu wameelewa maneno yangu embu do the needful[emoji23][emoji23][emoji23]Bonny njoo huku umepata mtetezi
Huo ni msaada cz kwenye population list wew mwenyewe umeona mlivyo weng so by any means kuja kwako inakuwa kama msaada japokuwa hutak kurecognise na ku appriciate
Sawa sio tatzo piaHaya acha nikubaliane na wew kuwa mnatoa msaada.
Lkin mimi sihitaji msaada fulu stop
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Akija Mtu Anataka Kukubandua Unaanza Ohh Sijui Siko Tayari Kuwa Na Uhusiano Mara,We Dont Click,Mara Fyoko Mara Fyeke.
[emoji35]Usimsahau Daby kwenye fursa kama hizi huyo babu hana meno tena.
[emoji4]Huyo simjui mimi.....
Labda kama unamjua unikumbushe
[emoji85][emoji85][emoji125] [emoji125][emoji35]
Hebu njoo uchukue mwamvuli huoni mvua hiyo?[emoji35][emoji85][emoji85][emoji125] [emoji125]
shem darling ukiwa na hasira mimi nipo[emoji35]
hata sielewi kwanini nipo single hadi mida hii...
huku nakoelekea ni kwenye album sasa....
mitaa gani kuna ma single boy,nianze kutoka toka nje labda wataniona....
ni cinemas au restaurants???
ni beach au kwenye events???
fancy places au maofisini???
uwanjani au clubs???
supermarkets au vituoni??
misikitini au kanisani???
Nakuja nikukumbatie tuloe wote.Hebu njoo uchukue mwamvuli huoni mvua hiyo?[emoji35]
[emoji1] [emoji1]shem darling ukiwa na hasira mimi nipo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] njoo tu afu tugonge show mvuaniNakuja nikukumbatie tuloe wote.