Huu uhuru anaopewa Bilionea Elon Musk na Rais Trump unatokana na nini? Mbona ni kama vile Musk ndiyo Rais wa Marekani?

Huu uhuru anaopewa Bilionea Elon Musk na Rais Trump unatokana na nini? Mbona ni kama vile Musk ndiyo Rais wa Marekani?

Maaumuzi mengi tena yenye Unyeti anatoa Elon Musk huku Rais Trump akionekana Kukubaliana nayo hata kama Wachambuzi Nguli wa Siasa za Dunia wanasema ni Hatari kwa Ustawi wa Marekani. Kuna Clip naiona sasa Elon Mask yuko Ikulu na Mwanae na anafanya Vituko vya kila aina huku Mwanae nae akiifanya hiyo Ofisi ya Ikulu ya Marekani kama ni Kibarazani kwao ambako anaweza kufanya kila Kitu.

In short Elon Musk ni mwenye Kiburi, Jeuri na Dharau kiasi kwamba hata ukiangalia tu Body Languages za Watumishi wa Ikulu (Wazee wa Protokali) walioko hapo Ikulu zinaonyesha kuwa hawapendi ila hawana cha kufanya. Jamaa (Elon Musk) mara ambebe Mwanae Kichwani mwake huku akiwa anaongea mbele ya Rais Trump ambaye nae anaonekana kama vile Kashikwa pabaya na Musk.
Trump ana mabwana wawili,Putin na Elon musk, hapindui kwao! Putin ndio kila kitu kwa Trump
 
Hicho kitoto kinavyoyajambia mazulia ya ikulu kama kipo kwao vile...daah pesa ndo kila kitu.
 
Maaumuzi mengi tena yenye Unyeti anatoa Elon Musk huku Rais Trump akionekana Kukubaliana nayo hata kama Wachambuzi Nguli wa Siasa za Dunia wanasema ni Hatari kwa Ustawi wa Marekani. Kuna Clip naiona sasa Elon Mask yuko Ikulu na Mwanae na anafanya Vituko vya kila aina huku Mwanae nae akiifanya hiyo Ofisi ya Ikulu ya Marekani kama ni Kibarazani kwao ambako anaweza kufanya kila Kitu.

In short Elon Musk ni mwenye Kiburi, Jeuri na Dharau kiasi kwamba hata ukiangalia tu Body Languages za Watumishi wa Ikulu (Wazee wa Protokali) walioko hapo Ikulu zinaonyesha kuwa hawapendi ila hawana cha kufanya. Jamaa (Elon Musk) mara ambebe Mwanae Kichwani mwake huku akiwa anaongea mbele ya Rais Trump ambaye nae anaonekana kama vile Kashikwa pabaya na Musk.
Kwani Hukumuona Rais Trump naye alimbeba Mwanae Kichwani 😀😀
 
Sorry, nimesharekebisha, Elon Musk alikuwa ni major contributor wa campaign za Trump
But Mbona Kuna Kitengo Kimeanzishwa na Marekanj ambacho anakisimamia Musk kuna mfanya yeye Kuwa Karibu na Ikulu..

Hebu tuache MAGA ifanye kazi tunapooona Marekani ikiendelea Lazima Tusikie Milio Nchi zingine..

DOGE on peak
 
But Mbona Kuna Kitengo Kimeanzishwa na Marekanj ambacho anakisimamia Musk kuna mfanya yeye Kuwa Karibu na Ikulu..

Hebu tuache MAGA ifanye kazi tunapooona Marekani ikiendelea Lazima Tusikie Milio Nchi zingine..

DOGE on peak
Yaah, ni boss wa DOGE, ndyo siasa za marekani, Elon ni tax payer mkubwa, so ana influence kubwa, huwezi mweka pembeni, the richest person on Planet😆
 
N
Itakuwa kuna jambo nyuma ya mlango. Inaweza ikawa ni gharama aliyotumia Musk kuwezesha Trump kushinda.

Nafasi aliyopewa sio kwa bahati mbaya, ni kwa makubaliano maalum ya awali baina ya Musk na Trump, kwa jicho la kawaida inawezekana ikaonekana kama Musk ni mteule wa Trump lakini kiuhalisia inaweza ikawa ni kinyume chake.

Hata bongo wapo kina Musk wengi nyuma ya pazia ni vile tu hawajitokezi hadharani, ila wana influence ya kutosha katika maamuzi ya kila siku.

View attachment 3235465
Nadhani Ni Vyema Tuishie Hapa
 
Dogo X Amepazoea White House Kuliko Ghetto Kwake
 
N

Nadhani Ni Vyema Tuishie Hapa
Hapana. Sio Trump alipoanzisha DOGE na Kumuweka Elon kama Ndo Kiomgozi wake alikuwa na maana Yake kuwa Anajua Jinsi ya Kuminimize Matumizi ya Serkali na Mianya ya Rushwa anaijua Vizuri.

Na Si Vinginevyo
 
Atampanda sana kichwani Donald,maana alimsupport hela nyingi kwenye kampeni yake kuingia ikulu , ingekuwa Africa wangesema rushwa au takrima shenzi sana hawa.......
 
Shida watu wanajudge video ile ya juzi kule oval office kimwonekano tu na sio kwa kusikiliza majibu alokua anatoa Elon.
 
Back
Top Bottom