Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kuna uzi uliwahi ku-trend sana humu jukwaani wa yule Mzee aliyewakataa watoto huko sijui Manyara na yule Mama akamhakikishia kuwa hatakaa awaone tena, saa hizi ndio alikuja kuanzisha uzi humu wa kuwatafuta....sijui ule uzi unaitwaje, dogo angeusoma akapata funzo