Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Naxhkur mkuu , nimekuelewa vyemaAngalia sana maamuzi yako mkuu.
Maelezo kujichanganya kwa wanawake ni kawaida sana. Hata yeye haelewi vizuri hayo mambo especially akiwa prime.
Kama kaka yako NAKUONYA BE VERY CAREFUL NA AAMUZI YAKO. Usione sifa saa hizi kujifanya kidume kukataa mimba, huwa kuna concequencies kibao mkuu kwenye kukataa mimba
Lea tu hiyo mimba mtoto alizaliwa itajulikana tu kama ni wako au laSababu simuamini, kun Uzi utafute upo humu ," kipimo ch upt kinaonyesha baada y muda gani" utanielew mkuu
Nashkur mkuu kwa ushaur wakoLea tu hiyo mimba mtoto alizaliwa itajulikana tu kama ni wako au la
Au vp .! Kama haunihusu je..?Kuwa makini sana usijifanye mjanja wa kukataa mimba.
Mkuu nipe ushaurMzee kilambalamba wakat unalamba lamba hukujua yatakayotokea ama? We lea tu anaweza kua rais ajaye huyo.
Nenda kampime DNA,sio sawa kukataa damu iliyo yako.Habarini wana jamvi.natumai mu wazima kabisa.
Siku za nyuma kidogo nilileta Uzi humu kuhusu kutoelewa ujauzito alioupata mpenzi wangu .Na hii ni kutokubaliana na maelezo yake ambayo yanakinzana na ukweli kidizaini flani .
Kiukweli naona nabambikiwa bao la mwanaume mwenzangu kabisah. Sasa maamuzi niliyochukua ni kukataa rasmi kujihusisha na huo ujauzito wake japo messages zake za kunilaani zimezidi.
Ila naamini hazitonifika hapa (shingoni), sitonyoosha mikono juu, sitorudi nyuma.
Kwko dear ex
Wako mtiifu uliyetaka kum bambikia mtoto.
NB: Shida siyo hali ngumu, shida ni kulea bao la mwenzio.