Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Leo tarehe(kakosea tarehe ya leo, sasa sijui uliscreenshot lini) ila hapo kwenye tarehe 21- 22 anamaanisha tarehe 21 hadi 22 Sept.
Wizara yenyewe inajisema "WENYE ULEMAVU" sijui kwanini mpoteze muda kuumiza vichwa vyenu?Tarehe 21 mwezi wa 22? Leo tarehe 21?View attachment 3147311
21 mpka tarehe 22 sasa amekosea nini hapo?Tarehe 21 mwezi wa 22? Leo tarehe 21?View attachment 3147311
Vipi kuhusu tarehe 21-11-2024Dah sio kwa ubaya na ashakum si matusi ila we jamaa ni kiazi, sasa hapo alipokosea wapi mbona inaeleweka kabisa
Kuanzia tarehe 21 mpaka 22 septemba