Chapati Tatu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2024
- 338
- 740
Pesa tupeleke wap sasaSure
Amechelewa sana kutupa huu ujumbeAjengewe mnara
ZitupePesa tupeleke wap sasa
Sheria za nchi haziruhusuZitupe
Mashangazi katika ubora wao.Kama ndo hivyo, hela tunatakiwa tumpe nani??? Hapo ameniacha njia panda.
View attachment 3079158
Huu ni ushindi mkubwa sanaMashangazi katika ubora wao.
Naona kwa mbali timu kataa ndoa ikicheeeeka!!