Huu ulinzi wa VIP protection wa Freeman Mbowe unafikirisha walinzi walikuwa pale ambapo Mbowe hakuwepo?

Huu ulinzi wa VIP protection wa Freeman Mbowe unafikirisha walinzi walikuwa pale ambapo Mbowe hakuwepo?

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Kwa maelezo ya Wanachadema wote - Mwamba wao Mh. Mbowe aliona na kurizika kwamba maisha yake yalikuwa hatarini hivyo kujenga mahitaji ya kuwa na VIP PROTECTION tena ya makomandoo.
VIP PROTECTOR huwa hawawi mbali na watu wanaowapa VIP PROTECTION. Kwa maelezo ya shahidi Luteni wa JWTZ Urio na mashahidi wengine wakati VIP PROTECTORS wanakamatwa VIP Mh. Mbowe alikuwa mbali nao ila walikuwa karibu sana na mtafutwa SABAYA

Kibatala: Mhe Jaji Nauliza Swali la Mwisho halafu nitatoa hoja

Kibatala: Ulisema Bwire Alikwambia Wapo katika Utekelezaji Wa Mpango

Shahidi: Siyo Mpango, alisema Samahani Bro tumeshakengeuka, Tumeshawishiwa na Freeman Mbowe, Na Vijana Wapo Kilimanjaro Katika Utejelezaji
 
Kwa maelezo ya Wanachadema wote - Mwamba wao Mh. Mbowe aliona na kurizika kwamba maisha yake yalikuwa hatarini hivyo kujenga mahitaji ya kuwa na VIP PROTECTION tena ya makomandoo.
VIP PROTECTOR huwa hawawi mbali na watu wanaowapa VIP PROTECTION. Kwa maelezo ya shahidi Luteni wa JWTZ Urio na mashahidi wengine wakati VIP PROTECTORS wanakamatwa VIP Mh. Mbowe alikuwa mbali nao ila walikuwa karibu sana na mtafutwa SABAYA

Kibatala: Mhe Jaji Nauliza Swali la Mwisho halafu nitatoa hoja

Kibatala: Ulisema Bwire Alikwambia Wapo katika Utekelezaji Wa Mpango

Shahidi: Siyo Mpango, alisema Samahani Bro tumeshakengeuka, Tumeshawishiwa na Freeman Mbowe, Na Vijana Wapo Kilimanjaro Katika Utejelezaji
Kwani tayari walishakuwa waajiriwa? Yaani watu wafike tu na kupewa mikataba ya ajira pasipo kuzungumza kwa kina?

Hakuna sheria yoyote inayosema mtu atahukumiwa kwa mens rea pekee bali mens rea plus actus reus.

Au mtu anaweza kuhukumiwa kwa only actus reus bila mens rea. Hakuna case law yoyote iliyowahi kutokea mshtakiwa akawa convicted only kwa mens rea.

Kama ipo niwekee hapa. So kwenye hii case ni kupoteza muda tu hakuna kosa wala shitaka la maana dhidi ya kina Mbowe ni kwakuwa tu mahakama ni lazima isikilize ushahidi hata kama ni pumba ili ifanye maamuzi ya haki.
 
Weka sheria yoyote ambayo inakataza mtu yeyote mashuhuri kukatazwa kuwa na walinzi binafsi ama sheria inayokataza askari mstaafu ama aliyeachishwa kazi kufanya kazi za ulinzi wa mtu binafsi.

Hakuna sheria kama hiyo ndo maana unaona mawakili wa serikali hawaja cite sheria yoyote inayokataza hayo ya VIP protection.

Umebaki wewe tu unabwabwaja hapa. Na kama wewe utasema ni mwanasheria basi ndo nyie mnaosababisha kada ya sheria ionekane ya kifala kumbe ni kada muhimu sana kote duniani yenye kuheshimika.
 
Kwani tayari walishakuwa waajiriwa? Yaani watu wafike tu na kupewa mikataba ya ajira pasipo kuzungumza kwa kina?

Hakuna sheria yoyote inayosema mtu atahukumiwa kwa mens rea pekee bali mens rea plus actus reus.

Au mtu anaweza kuhukumiwa kwa only actus reus bila mens rea. Hakuna case law yoyote iliyowahi kutokea mshtakiwa akawa convicted only kwa mens rea.

Kama ipo niwekee hapa. So kwenye hii case ni kupoteza muda tu hakuna kosa wala shitaka la maana dhidi ya kina Mbowe ni kwakuwa tu mahakama ni lazima isikilize ushahidi hata kama ni pumba ili ifanye maamuzi ya haki.
Mkuu soma sheria ya kuzuia na kupambana na ugaidi ya Tanzania ya 2002.
 
Weka sheria yoyote ambayo inakataza mtu yeyote mashuhuri kukatazwa kuwa na walinzi binafsi ama sheria inayokataza askari mstaafu ama aliyeachishwa kazi kufanya kazi za ulinzi wa mtu binafsi.

Hakuna sheria kama hiyo ndo maana unaona mawakili wa serikali hawaja cite sheria yoyote inayokataza hayo ya VIP protection.

Umebaki wewe tu unabwabwaja hapa. Na kama wewe utasema ni mwanasheria basi ndo nyie mnaosababisha kada ya sheria ionekane ya kifala kumbe ni kada muhimu sana kote duniani yenye kuheshimika.
Mkuu nakubalina na wewe hakuna sheria inayokatza mtu kulindwa hata bila kujali huo umaarufu. Hoja yangu hapa ni kuwa kwanini walinzi hao hawakuwa na Mbowe.
 
Weka sheria yoyote ambayo inakataza mtu yeyote mashuhuri kukatazwa kuwa na walinzi binafsi ama sheria inayokataza askari mstaafu ama aliyeachishwa kazi kufanya kazi za ulinzi wa mtu binafsi.

Hakuna sheria kama hiyo ndo maana unaona mawakili wa serikali hawaja cite sheria yoyote inayokataza hayo ya VIP protection.

Umebaki wewe tu unabwabwaja hapa. Na kama wewe utasema ni mwanasheria basi ndo nyie mnaosababisha kada ya sheria ionekane ya kifala kumbe ni kada muhimu sana kote duniani yenye kuheshimika.
Hajasema ulichosema
 
Kwa maelezo ya Wanachadema wote - Mwamba wao Mh. Mbowe aliona na kurizika kwamba maisha yake yalikuwa hatarini hivyo kujenga mahitaji ya kuwa na VIP PROTECTION tena ya makomandoo.
VIP PROTECTOR huwa hawawi mbali na watu wanaowapa VIP PROTECTION. Kwa maelezo ya shahidi Luteni wa JWTZ Urio na mashahidi wengine wakati VIP PROTECTORS wanakamatwa VIP Mh. Mbowe alikuwa mbali nao ila walikuwa karibu sana na mtafutwa SABAYA

Kibatala: Mhe Jaji Nauliza Swali la Mwisho halafu nitatoa hoja

Kibatala: Ulisema Bwire Alikwambia Wapo katika Utekelezaji Wa Mpango

Shahidi: Siyo Mpango, alisema Samahani Bro tumeshakengeuka, Tumeshawishiwa na Freeman Mbowe, Na Vijana Wapo Kilimanjaro Katika Utejelezaji
Kwa hiyo unataka kusemaje?
 
Kwa maelezo ya Wanachadema wote - Mwamba wao Mh. Mbowe aliona na kurizika kwamba maisha yake yalikuwa hatarini hivyo kujenga mahitaji ya kuwa na VIP PROTECTION tena ya makomandoo.
VIP PROTECTOR huwa hawawi mbali na watu wanaowapa VIP PROTECTION. Kwa maelezo ya shahidi Luteni wa JWTZ Urio na mashahidi wengine wakati VIP PROTECTORS wanakamatwa VIP Mh. Mbowe alikuwa mbali nao ila walikuwa karibu sana na mtafutwa SABAYA

Kibatala: Mhe Jaji Nauliza Swali la Mwisho halafu nitatoa hoja

Kibatala: Ulisema Bwire Alikwambia Wapo katika Utekelezaji Wa Mpango

Shahidi: Siyo Mpango, alisema Samahani Bro tumeshakengeuka, Tumeshawishiwa na Freeman Mbowe, Na Vijana Wapo Kilimanjaro Katika Utejelezaji
Wewe Sabaya umemtolea wapi?!!!...Shahidi Muhimu hamjui wala hakuwahi kusema kuhusu Sabaya
 
Kwa maelezo ya Wanachadema wote - Mwamba wao Mh. Mbowe aliona na kurizika kwamba maisha yake yalikuwa hatarini hivyo kujenga mahitaji ya kuwa na VIP PROTECTION tena ya makomandoo.
VIP PROTECTOR huwa hawawi mbali na watu wanaowapa VIP PROTECTION. Kwa maelezo ya shahidi Luteni wa JWTZ Urio na mashahidi wengine wakati VIP PROTECTORS wanakamatwa VIP Mh. Mbowe alikuwa mbali nao ila walikuwa karibu sana na mtafutwa SABAYA

Kibatala: Mhe Jaji Nauliza Swali la Mwisho halafu nitatoa hoja

Kibatala: Ulisema Bwire Alikwambia Wapo katika Utekelezaji Wa Mpango

Shahidi: Siyo Mpango, alisema Samahani Bro tumeshakengeuka, Tumeshawishiwa na Freeman Mbowe, Na Vijana Wapo Kilimanjaro Katika Utejelezaji

Huna akili, Kwani watu huanza Kazi kabla ya mkataba?
 
Mkuu nakubalina na wewe hakuna sheria inayokatza mtu kulindwa hata bila kujali huo umaarufu. Hoja yangu hapa ni kuwa kwanini walinzi hao hawakuwa na Mbowe.
Ulinzi ni lazma uwe zero distance? Hta Mama Samia akitaka kwenda Kijijini kwake watajazwa askari hta week in advance. Sasa utalalamika pia kisa hawapo karibu na SSH?
 
Weka sheria yoyote ambayo inakataza mtu yeyote mashuhuri kukatazwa kuwa na walinzi binafsi ama sheria inayokataza askari mstaafu ama aliyeachishwa kazi kufanya kazi za ulinzi wa mtu binafsi.

Hakuna sheria kama hiyo ndo maana unaona mawakili wa serikali hawaja cite sheria yoyote inayokataza hayo ya VIP protection.

Umebaki wewe tu unabwabwaja hapa. Na kama wewe utasema ni mwanasheria basi ndo nyie mnaosababisha kada ya sheria ionekane ya kifala kumbe ni kada muhimu sana kote duniani yenye kuheshimika.
Hakuna kada ya hovyo kama ya wanasheria kwani ili uwe mwanasheria mzuri lazima uwe IMMORAL na uwe kipenzi cha wahalifu kam mh. Mbowe
 
Ulinzi ni lazma uwe zero distance? Hta Mama Samia akitaka kwenda Kijijini kwake watajazwa askari hta week in advance. Sasa utalalamika pia kisa hawapo karibu na SSH?
Mkuu hatuongelei walinzi tunaongelea VIP PROTECTION- umeelewa. Wewe ulishamuona yule jamaa nyuma y JPM anatoka- hata wakati tnamuuga JMP alikuwa naye.
 
Back
Top Bottom