Huu ulinzi wa VIP protection wa Freeman Mbowe unafikirisha walinzi walikuwa pale ambapo Mbowe hakuwepo?

Hivi ulifanya graduation ulipohitimu shule ya msingi huko kijijini kwenu?
 
good reasoning......
kuna kesi hapa ndio maana upande wa Jamuhuri wameng'ang'ana.
 
Mkuu nakubalina na wewe hakuna sheria inayokatza mtu kulindwa hata bila kujali huo umaarufu. Hoja yangu hapa ni kuwa kwanini walinzi hao hawakuwa na Mbowe.
Unajua mikataba yao ya kazi ilikuwaje?
 
Wakati wanakamatwa, Mbowe alikuwa wapi na Sabaya alikuwa wapi?
 
Mkuu nakubalina na wewe hakuna sheria inayokatza mtu kulindwa hata bila kujali huo umaarufu. Hoja yangu hapa ni kuwa kwanini walinzi hao hawakuwa na Mbowe.
Ukitaka kupata mtiririko ulio nyooka, ungechukua mahojiano yote toka pale Kibatala alipokuwa anajenga msingi wa swali lake.

Kwenye sheria hawadokoi hoja moja na kuisimamia kidete kama unavyotaka iwe hapa.
 
Unajua mikataba yao ya kazi ilikuwaje?
Mkataba wa VIP PROTECTION unao muweka VIP PROTECTOR mbali na VIP ni batili.

Meseji nyingine: Hao wawili kwa kuanzia siyo mbaya hawawezi kutelekezwa, watakuwa na Mimi, fulltime, wamekwambia wanataka nini?.

Shahidi: Hii ilitoka kwa Freeman Aikael Mbowe kuja kwangu.
 
Labda kwa mujibu wa mleta mada anataka tuamini kuwa ugaidi ni strict liability. Kuna mambo yanachekesha humu jamvini mpaka mtu unabaki wazi. Tena ni topic ya mwanzo kabsa kwenye criminal law hata kwa level ya certificate (WAENDE WAKASOME)
 
Na hiki kipengele huwezi kukiona kwenye taarifa yoyote toka Chadema blog au Martin Masese kutoka Mahakamani.
 
We kibwengo mimi nina walinzi body contact na wengine hutangulia ninapotembelea mahali saa 2 kabla
 
Dada tulia punguza mhemko
 
Hakuna kada ya hovyo kama ya wanasheria kwani ili uwe mwanasheria mzuri lazima uwe IMMORAL na uwe kipenzi cha wahalifu kam mh. Mbowe
Umeamua kuitukana kada ya sheria kama ni kipenzi cha uhalifu....una matatizo wewe.
 
Mkuu nakubalina na wewe hakuna sheria inayokatza mtu kulindwa hata bila kujali huo umaarufu. Hoja yangu hapa ni kuwa kwanini walinzi hao hawakuwa na Mbowe.
Ni kwasababu walikuwa bado hawajapewa mikataba ya kuanza kazi
 
Mbona ata Diamond ana body guard mabaunsa.

Kipindi hicho Mvowe kavunjwa mguu na Tundi kashauwawa.
 
Na hiki kipengele huwezi kukiona kwenye taarifa yoyote toka Chadema blog au Martin Masese kutoka Mahakamani.
Haya ni maneno yaliyo tungwa na Urio kazi ni kuithibitishia mahakama kama kweli hiyo kazi ilibadilika, na huyo aliyemwambia Urio naye pia athibitishe la sivyo zitakuwa story za kuambiwa ambazo hazina nafasi katika hukumu.
 
Shangaa- maana mkuu hii ya kusema watanzania wote tumeshajua .....HAPANA imepitiliza . Na maskini kumbe hata hunifahamu

Hakuna mahali niliposema watanzania, tuliza ufahamu wako siku nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…