OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
wana kauli mbiu yao -kila mtoto anakuja na bahati yakeKama Kuanguka sawa ila kawaida ya waTz mtu hana mbele wala nyuma kwamaana hajawai hata kusimama anazaa watoto kibao nyumba ya kupanga
Hajui hata Ulaya kuna hao homeless, tena kule kuna majira ya baridi Kali na watu wanalala njeWatu wanaoishi hivyo nchi hii ni wengiii mnooo. Kumbe hujaona mengi, siku moja pita hata Kariakoo saa 8 usiku ujionee, watu wanalala kwenye mabox ya kukodi pembeni kwenye maduka ya watu kwa gharama ya Tsh 400...
Hivi lini utaondokana na mawazo mgando!Ujio wa Magufuli kwenye uongozi wa Tanzania umeleta umasikini wa kutisha halafu Watu wanaoneshwa Madaraja.
N.a. ndio haohao juzi na jana walikuwa wanalia ilhali wananjaa.
India kuna masikini wa kutisha wala hapa sijasema dunia nzima ni hapa.Hajui hata Ulaya kuna hao homeless, tena kule kuna majira ya baridi Kali na watu wanalala nje
Nenda India huko ndio utashangaa zaidi
Inapokuja Simba Sports Club tuko pamoja, huku kwingine sijawai kukuelewa.Hawa ndio watanzania wanyonge. ptuuuu
Unachosema ni sahihi, mi nimeiona kea macho yanguWatu wanaoishi hivyo nchi hii ni wengiii mnooo. Kumbe hujaona mengi, siku moja pita hata Kariakoo saa 8 usiku ujionee, watu wanalala kwenye mabox ya kukodi pembeni kwenye maduka ya watu kwa gharama ya Tsh 400.
Pita pita Dar usiku ujionee watu wanaolala barabarani.
Nchi hii ni ina hohe hahe wa kiwango cha kutishaaaa.
Kabda kwa wafanyakazi.Awamu ya Nne:
Breakfast Chai Vitumbua au Mandazi
Lunch Ugali au Wali kwa Nyama au Samaki
Dinner Wali wa Maji na Chai au kitoweo cha kawaida
Awamu ya Tano
Breakfast Chai ya Rangi tena bila Sukari au Sukari kwa mbaaali
Lunch Ugali kwa matembele au majani yasiyoeleweka
Dinner Maji ya kunywa au Chai tu
Halafu watu wanajiliizaa mpaka tunawashangaa
Ujio wa Magufuli kwenye uongozi wa Tanzania umeleta umasikini wa kutisha halafu Watu wanaoneshwa Madaraja.
N.a. ndio haohao juzi na jana walikuwa wanalia ilhali wananjaa.
kila mtoto anakujaana sahani yake.wana kauli mbiu yao -kila mtoto anakuja na bahati yake
Kumbe wale wanaolala nje ya maduka k/koo huwa wanalipia aisee??Watu wanaoishi hivyo nchi hii ni wengiii mnooo. Kumbe hujaona mengi, siku moja pita hata Kariakoo saa 8 usiku ujionee, watu wanalala kwenye mabox ya kukodi pembeni kwenye maduka ya watu kwa gharama ya Tsh 400.
Pita pita Dar usiku ujionee watu wanaolala barabarani.
Nchi hii ni ina hohe hahe wa kiwango cha kutishaaaa.
Huwezi kulala bure kwenye corridor za duka la mtu aisee.Kumbe wale wanaolala nje ya maduka k/koo huwa wanalipia aisee??
Nilikua sijui hili nilidhani wanajiegesha bure
ππππππHapa sinyanyuki niueni.
Me mwenyewe najiuliza lakini wagogo ni desturi yao kuzaa watoto wengiAlizaaje watoto wote hao wakati anajua hayupo stable kiuchumi.
Nimeumia..afu watu dizain hiyo wanavyopenda sasa dudu...wanaishi tu dodoma mjini hapa
Kama unaish dodoma naweza kukuelekeza ukafikisha msaada wako ila km upo mbali mtihanNitamsaidiajee ? (Msaada upo tayari) PM
Wanaish dodoma mjini apaNimeumia..afu watu dizain hiyo wanavyopenda sasa dudu...wanaishi wap?
Na wewe unaanza lini kujitegemea au unasubiri kurithi ?Habari za mchana ndugu zangu,
Kuna dada mmoja alikuja home kutafuta chumba cha kupanga tukamuonesha chumba kimoja akakisafisha kesho yake akaja na mumewe kumuonesha.
Mume akadai chumba hajakipenda wakaondoka baada ya week akarudi tena, kile chumba kikawa kimepata mteja tukamuonesha chumba kingine.
Akasafisha akahamia jioni, jambo lililonifikirisha ni umaskini alionao huyu mama. Imagine ana watoto wanne hana kitanda wala gogoro yani yeye pamoja na mumewe na watoto wanalalia mkeka hata stuli moja tu hamna, ni nguo na vyombo vya ndani tu.
Najiuliza mumewe alikua na jeuri gani ya kukataa chumba kile wakati yeye hana kitu ndani.
Dunia ina maajabu hii, mume mlevi wa kutupwa dah poleni kina mama.