Captain mopao
Senior Member
- Feb 25, 2021
- 133
- 384
- Thread starter
- #61
Kaka uwezo wa kuwa save labda kodi ata ya mwez mmojaUmechukua hatua gani mkuu walau kuwasaidia s unajua tupo uchum wa kat msaidie mkuu ili twende sawa na uchumi huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka uwezo wa kuwa save labda kodi ata ya mwez mmojaUmechukua hatua gani mkuu walau kuwasaidia s unajua tupo uchum wa kat msaidie mkuu ili twende sawa na uchumi huu.
Sasa mimi mbona nategemewa mpka hapaNa wewe unaanza lini kujitegemea au unasubiri kurithi ?
Sawa bnMuhimu wamelipa/walipe kodi. Hayo mambo mengine ni ya kwao! Hayakuhusu.
IlaWatu wanaoishi hivyo nchi hii ni wengiii mnooo. Kumbe hujaona mengi, siku moja pita hata Kariakoo saa 8 usiku ujionee, watu wanalala kwenye mabox ya kukodi pembeni kwenye maduka ya watu kwa gharama ya Tsh 400.
Pita pita Dar usiku ujionee watu wanaolala barabarani.
Nchi hii ni ina hohe hahe wa kiwango cha kutishaaaa.
Ila hao wanaokimbilia dar ni km manajitakia maisha magum ukiachana na waliozaliwa hapo,Watu wanaoishi hivyo nchi hii ni wengiii mnooo. Kumbe hujaona mengi, siku moja pita hata Kariakoo saa 8 usiku ujionee, watu wanalala kwenye mabox ya kukodi pembeni kwenye maduka ya watu kwa gharama ya Tsh 400.
Pita pita Dar usiku ujionee watu wanaolala barabarani.
Nchi hii ni ina hohe hahe wa kiwango cha kutishaaaa.
Hiyo familia imepitia mikononi mwako ili uweze kuwasaidia kwa kadiri ya uwezo wako na sio kuja huku mitandaoni na kuwakashifu na kuwakejeli.Habari za mchana ndugu zangu,
Kuna dada mmoja alikuja home kutafuta chumba cha kupanga tukamuonesha chumba kimoja akakisafisha kesho yake akaja na mumewe kumuonesha.
Mume akadai chumba hajakipenda wakaondoka baada ya week akarudi tena, kile chumba kikawa kimepata mteja tukamuonesha chumba kingine.
Akasafisha akahamia jioni, jambo lililonifikirisha ni umaskini alionao huyu mama. Imagine ana watoto wanne hana kitanda wala gogoro yani yeye pamoja na mumewe na watoto wanalalia mkeka hata stuli moja tu hamna, ni nguo na vyombo vya ndani tu.
Najiuliza mumewe alikua na jeuri gani ya kukataa chumba kile wakati yeye hana kitu ndani.
Dunia ina maajabu hii, mume mlevi wa kutupwa dah poleni kina mama.
🤣🤣🤣alaf sasa jana mume kaja kalewa kasahau mlango wa chumba chake kaenda kugonga chumba cha mwingine ukawa ugomvi balaaa mke anaulizwa anaeogonga mlango nani anamhis mkewe ana mcheat kumbe mzee kasahau mlangoKwani hujui wenye kelele wengi ni wale ambao hawana lolote la kuchangia? Wapo wapo tu?
aiseee[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Huyo jamaa ni mlevi si kwa kupenda... Hali yake kiuchumi anashindwa hata kuivumilia hivyo anajipiga ganzi
Kweli kabisaHiyo familia imepitia mikononi mwako ili uweze kuwasaidia kwa kadiri ya uwezo wako na sio kuja huku mitandaoni na kuwakashifu na kuwakejeli.
Umechukua hatua gani mkuu walau kuwasaidia s unajua tupo uchum wa kat msaidie mkuu ili twende sawa na uchumi huu.
kuna maccm kibao yamefurahi magufuli kufa ila yanajifanya kuhuzunika mtandaoniAwamu ya Nne:
Breakfast Chai Vitumbua au Mandazi
Lunch Ugali au Wali kwa Nyama au Samaki
Dinner Wali wa Maji na Chai au kitoweo cha kawaida
Awamu ya Tano
Breakfast Chai ya Rangi tena bila Sukari au Sukari kwa mbaaali
Lunch Ugali kwa matembele au majani yasiyoeleweka
Dinner Maji ya kunywa au Chai tu
Halafu watu wanajiliizaa mpaka tunawashangaa
india nasikia maskini kinomaHajui hata Ulaya kuna hao homeless, tena kule kuna majira ya baridi Kali na watu wanalala nje
Nenda India huko ndio utashangaa zaidi
Hiyo familia imepitia mikononi mwako ili uweze kuwasaidia kwa kadiri ya uwezo wako na sio kuja huku mitandaoni na kuwakashifu na kuwakejeli.
Sawa dada nitajitahid ku jikuna mkono utakapofikia ila mbona sijawakshifHiyo familia imepitia mikononi mwako ili uweze kuwasaidia kwa kadiri ya uwezo wako na sio kuja huku mitandaoni na kuwakashifu na kuwakejeli.
Sasa wengine ndio Kama hao... Wanakuja kutujazia nyuzi humu za kejeli. Badala ya kutoa msaada hata kidogo kwa kadiri ya alivyojaliwa. Watu tunajisahau Sana. Tunafikiri hivi tulivyonavyo Ni kwa ujanja na akili zetu .... Ni Kudra za Mwenyezi Mungu. Maisha huwa yanageuka wakati mwingine huwezi kuamini.Kweli kabisa
Binadamu mkamilifu ni yule anayesikia maumivu ya mwenzake na kuyafanyia kazi
Ni kashfa kwa Mwanamume mwenzio ... Tena unaona Fahari kumchambua kweli kweli. Acheni hizo MamboSawa dada nitajitahid ku jikuna mkono utakapofikia ila mbona sijawakshif
kuna gharama yake pia.unaweza ukamasaidia mtu akakugeuka ukajuta kumsaidiaKweli kabisa
Binadamu mkamilifu ni yule anayesikia maumivu ya mwenzake na kuyafanyia kazi
Kuna watu wana dharau utadhani wao wana maisha mazuri sana, aliyempa yeye ni Mungu na aliemnyima mwingine ni MunguSasa wengine ndio Kama hao... Wanakuja kutujazia nyuzi humu za kejeli. Badala ya kutoa msaada hata kidogo kwa kadiri ya alivyojaliwa. Watu tunajisahau Sana. Tunafikiri hivi tulivyonavyo Ni kwa ujanja na akili zetu .... Ni Kudra za Mwenyezi Mungu. Maisha huwa yanageuka wakati mwingine huwezi kuamuni.
Tenda Wema ... Malipo Ni Hapa Hapa Duniani.
Hii nimeiona kuanzia posta mpaka k koo dah iliniuma sn ule mferej wa pe k koo kuelekea karume ndo choo yaan usiku kuna mengWatu wanaoishi hivyo nchi hii ni wengiii mnooo. Kumbe hujaona mengi, siku moja pita hata Kariakoo saa 8 usiku ujionee, watu wanalala kwenye mabox ya kukodi pembeni kwenye maduka ya watu kwa gharama ya Tsh 400.
Pita pita Dar usiku ujionee watu wanaolala barabarani.
Nchi hii ni ina hohe hahe wa kiwango cha kutishaaaa.
umeongea pointSasa wengine ndio Kama hao... Wanakuja kutujazia nyuzi humu za kejeli. Badala ya kutoa msaada hata kidogo kwa kadiri ya alivyojaliwa. Watu tunajisahau Sana. Tunafikiri hivi tulivyonavyo Ni kwa ujanja na akili zetu .... Ni Kudra za Mwenyezi Mungu. Maisha huwa yanageuka wakati mwingine huwezi kuamini.
Tenda Wema ... Malipo Ni Hapa Hapa Duniani.