Huu umaskini ni wa kutisha

Huu umaskini ni wa kutisha

Watu wanaoishi hivyo nchi hii ni wengiii mnooo. Kumbe hujaona mengi, siku moja pita hata Kariakoo saa 8 usiku ujionee, watu wanalala kwenye mabox ya kukodi pembeni kwenye maduka ya watu kwa gharama ya Tsh 400.

Pita pita Dar usiku ujionee watu wanaolala barabarani.

Nchi hii ni ina hohe hahe wa kiwango cha kutishaaaa.
Ila
Watu wanaoishi hivyo nchi hii ni wengiii mnooo. Kumbe hujaona mengi, siku moja pita hata Kariakoo saa 8 usiku ujionee, watu wanalala kwenye mabox ya kukodi pembeni kwenye maduka ya watu kwa gharama ya Tsh 400.

Pita pita Dar usiku ujionee watu wanaolala barabarani.

Nchi hii ni ina hohe hahe wa kiwango cha kutishaaaa.
Ila hao wanaokimbilia dar ni km manajitakia maisha magum ukiachana na waliozaliwa hapo,
 
Habari za mchana ndugu zangu,

Kuna dada mmoja alikuja home kutafuta chumba cha kupanga tukamuonesha chumba kimoja akakisafisha kesho yake akaja na mumewe kumuonesha.

Mume akadai chumba hajakipenda wakaondoka baada ya week akarudi tena, kile chumba kikawa kimepata mteja tukamuonesha chumba kingine.

Akasafisha akahamia jioni, jambo lililonifikirisha ni umaskini alionao huyu mama. Imagine ana watoto wanne hana kitanda wala gogoro yani yeye pamoja na mumewe na watoto wanalalia mkeka hata stuli moja tu hamna, ni nguo na vyombo vya ndani tu.

Najiuliza mumewe alikua na jeuri gani ya kukataa chumba kile wakati yeye hana kitu ndani.

Dunia ina maajabu hii, mume mlevi wa kutupwa dah poleni kina mama.
Hiyo familia imepitia mikononi mwako ili uweze kuwasaidia kwa kadiri ya uwezo wako na sio kuja huku mitandaoni na kuwakashifu na kuwakejeli.
 
Kwani hujui wenye kelele wengi ni wale ambao hawana lolote la kuchangia? Wapo wapo tu?
🤣🤣🤣alaf sasa jana mume kaja kalewa kasahau mlango wa chumba chake kaenda kugonga chumba cha mwingine ukawa ugomvi balaaa mke anaulizwa anaeogonga mlango nani anamhis mkewe ana mcheat kumbe mzee kasahau mlango
 
Hiyo familia imepitia mikononi mwako ili uweze kuwasaidia kwa kadiri ya uwezo wako na sio kuja huku mitandaoni na kuwakashifu na kuwakejeli.
Kweli kabisa
Binadamu mkamilifu ni yule anayesikia maumivu ya mwenzake na kuyafanyia kazi
 
Umechukua hatua gani mkuu walau kuwasaidia s unajua tupo uchum wa kat msaidie mkuu ili twende sawa na uchumi huu.

Awasamehe kodi kwa angalizo kuwa fedha za kodi wanunue angalau kitanda cha watoto, wao waendelee kulalia mkeka!!
 
Awamu ya Nne:

Breakfast Chai Vitumbua au Mandazi

Lunch Ugali au Wali kwa Nyama au Samaki

Dinner Wali wa Maji na Chai au kitoweo cha kawaida

Awamu ya Tano

Breakfast
Chai ya Rangi tena bila Sukari au Sukari kwa mbaaali

Lunch Ugali kwa matembele au majani yasiyoeleweka

Dinner Maji ya kunywa au Chai tu

Halafu watu wanajiliizaa mpaka tunawashangaa
kuna maccm kibao yamefurahi magufuli kufa ila yanajifanya kuhuzunika mtandaoni
 
Hiyo familia imepitia mikononi mwako ili uweze kuwasaidia kwa kadiri ya uwezo wako na sio kuja huku mitandaoni na kuwakashifu na kuwakejeli.

Hiyo familia imepitia mikononi mwako ili uweze kuwasaidia kwa kadiri ya uwezo wako na sio kuja huku mitandaoni na kuwakashifu na kuwakejeli.
Sawa dada nitajitahid ku jikuna mkono utakapofikia ila mbona sijawakshif
 
Kweli kabisa
Binadamu mkamilifu ni yule anayesikia maumivu ya mwenzake na kuyafanyia kazi
Sasa wengine ndio Kama hao... Wanakuja kutujazia nyuzi humu za kejeli. Badala ya kutoa msaada hata kidogo kwa kadiri ya alivyojaliwa. Watu tunajisahau Sana. Tunafikiri hivi tulivyonavyo Ni kwa ujanja na akili zetu .... Ni Kudra za Mwenyezi Mungu. Maisha huwa yanageuka wakati mwingine huwezi kuamini.

Tenda Wema ... Malipo Ni Hapa Hapa Duniani.
 
MUNGU awasaidie watoke kwenye hali hiyo ngumu ya kimaisha...
 
Sasa wengine ndio Kama hao... Wanakuja kutujazia nyuzi humu za kejeli. Badala ya kutoa msaada hata kidogo kwa kadiri ya alivyojaliwa. Watu tunajisahau Sana. Tunafikiri hivi tulivyonavyo Ni kwa ujanja na akili zetu .... Ni Kudra za Mwenyezi Mungu. Maisha huwa yanageuka wakati mwingine huwezi kuamuni.

Tenda Wema ... Malipo Ni Hapa Hapa Duniani.
Kuna watu wana dharau utadhani wao wana maisha mazuri sana, aliyempa yeye ni Mungu na aliemnyima mwingine ni Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanaoishi hivyo nchi hii ni wengiii mnooo. Kumbe hujaona mengi, siku moja pita hata Kariakoo saa 8 usiku ujionee, watu wanalala kwenye mabox ya kukodi pembeni kwenye maduka ya watu kwa gharama ya Tsh 400.

Pita pita Dar usiku ujionee watu wanaolala barabarani.

Nchi hii ni ina hohe hahe wa kiwango cha kutishaaaa.
Hii nimeiona kuanzia posta mpaka k koo dah iliniuma sn ule mferej wa pe k koo kuelekea karume ndo choo yaan usiku kuna meng
 
Sasa wengine ndio Kama hao... Wanakuja kutujazia nyuzi humu za kejeli. Badala ya kutoa msaada hata kidogo kwa kadiri ya alivyojaliwa. Watu tunajisahau Sana. Tunafikiri hivi tulivyonavyo Ni kwa ujanja na akili zetu .... Ni Kudra za Mwenyezi Mungu. Maisha huwa yanageuka wakati mwingine huwezi kuamini.

Tenda Wema ... Malipo Ni Hapa Hapa Duniani.
umeongea point
 
Back
Top Bottom