Probably yesYawezekana Labda Gridi Ya Taifa Imepata Hitilafu
Nina mashaka hao jamaa wa kukata wanakula mlungula kutoka kwa wenye vijiwe/viwanda.Now tanesco si wakijiskia wanaamua tu kuupiga umeme chini.
Wameurudisha walipoona nafaidi sana wakaukata tenaUmeme ulikuwepo leo, mida hii ya saa tisa tanesco wamepita nao. Vp eneo uliopo umeme upo?