Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi ipo autopilotunakuta mtu bonge wa mjumba wa kitajiri naye analia umeme. pumbafu weka solar la kitajiri uachane na umeme la kosakosa la tanesco tuhangaike nao akina sisi ushuzi kajamba nani
kuna tajiri moja mkurya wakt tunaenda kumrekebishia swinming pool ebwana eeh kafunga solar ya mil 15 hana habar na tanesco.
kwaiyo kademu inabidi kajichekeshe huku komwe lake linatiririsha jasho asije akakosa nauli ya kurudia tegeta. Tanesco nyoko sana 😂Sasa demu akinuna, mtoa nauli je atakuwa kwenye hali gani 😂🤣🤣
mbon Arusha mjin upo .. wao hua wanapew umeme upi?Ulipo umeme upo?
Maana naona mikoa kadhaa wanasema umeme hakuna.
Njombe, Mara, Tanga, Arusha, Mwanza na Dar hakuna umeme.
Tanzania ya viwanda hii
View attachment 2893059
mwez au mwakaTanzania ikipigwa tukio kama Ukraine uhakika hapatakuwa na umeme kwa mwezi au zaidi
Nianzishie uzi kama ile kapo..😜😂😂😂😂 nakupenda zaidi
Ni nchi nzima mkuu. Hapa nilipo mji mzima hakuna Umeme.Ulipo umeme upo?
Maana naona mikoa kadhaa wanasema umeme hakuna.
Njombe, Mara, Tanga, Arusha, Mwanza na Dar hakuna umeme.
Tanzania ya viwanda hii
View attachment 2893059
Poleni sana mnaotumia grid ya Taifa 😆😆Ulipo umeme upo?
Maana naona mikoa kadhaa wanasema umeme hakuna.
Njombe, Mara, Tanga, Arusha, Mwanza na Dar hakuna umeme.
Tanzania ya viwanda hii
View attachment 2893059
Nilisha mgawa intaneshno uti yule...😜Next time atakuvizia na plaizi aiondoe kabisa mashine...
Huku niliko Pwani wilaya ya Kibaha wamekata muda mfupi uliopita!
halafu kweli mashenzi yatafaya namna hiyoHii nchi ipo autopilot
Wananchi wengi wakiweka solar watakuja na tozo ya kumiliki solar.
Ni kama kuchimba kisima. Unakilipia kodi