ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,765
- 3,277
Ni kawaida tu mbona hata enzi zile vibatari viliishiwa mafuta tukalala giza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kawaida tu mbona hata enzi zile vibatari viliishiwa mafuta tukalala giza
ni mateso bila chukiYaani watu wa dar mnatia huruma kinoma😀😀
Bila feni au ac hakuna mizagamuano
Tanzania ya viwanda hii
View attachment 2893059
Aisee poleni sanani mateso bila chuki
ukilala mateso ukikesha mateso ilo joto lake ni moto wa jehanam ata babu njunju anakosa kula mzagamuo kiutulivu
Barua umeiona unauliza swali hilo hilo.....hatukuelewi tujibu nini sasaUlipo umeme upo?
Maana naona mikoa kadhaa wanasema umeme hakuna.
Njombe, Mara, Tanga, Arusha, Mwanza na Dar hakuna umeme.
Tanzania ya viwanda hii
View attachment 2893059
duuh! kwa hali kama hiyo ya tegeta to kigamboni alafu hakuna show za moto huyo demu atakuwa amenuna mbayaaMwaka huu hauishi nahama, haiwezekani mie nishindwe kuto mba kisa umeme.
Hawa tanesco akili zao sijui vipi, usikute mtu katuma nauli ya uber demu anatoka tegeta nyuki kuja kigamboni.. Halafu wao wanakata umeme.. Huku ni kufelishana 😂
Sasa demu akinuna, mtoa nauli je atakuwa kwenye hali gani 😂🤣🤣duuh! kwa hali kama hiyo ya tegeta to kigamboni alafu hakuna show za moto huyo demu atakuwa amenuna mbayaa