Huu uongo na utapeli wa familia ya Dewji itaisha lini kwa Wanasimba?

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Mwaka 1993 wakati Simba ilipoingia fainali ya kombe la Mashudu Abiola kiongozi na mfadhili wa Simba wa wakati ule ndugu Azim Dewji aliwahadaa wanasimba kwa kutoa zawadi ya gari/daladala za Chai Maharage kwa kila mchezaji wa Simba endapo ingechukua ubingwa huku akijua kuwa hawana huo uwezo wa kubeba ubingwa.

Leo hii tena kutoka familia ile ile ya Dewji wamewahadaa wanasimba kuwa endapo watamtoa Mwarabu kwao atawapa 1bl huku akijua wazi hana timu yenye uwezo ya kumtoa Mwarabu.
 
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…