Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Huyo anataka kutaga...kila saa wanaanzisha threadNioneeshe shabiki wa MWIKO NYUMA FC asie na UKABWILI au MWENYE AKILI TIMAMU nikuoneshe MBUZI ANAETAGA MAYAI.
Bado hamjasema,na mtasema tuuHuyo anataka kutaga...kila saa wanaanzisha thread
.Mwaka 1993 wakati Simba ilipoingia fainali ya kombe la Mashudu Abiola kiongozi na mfadhili wa Simba wa wakati ule ndugu Azim Dewji aliwahadaa wanasimba kwa kutoa zawadi ya gari/daladala za Chai Maharage kwa kila mchezaji wa Simba endapo ingechukua ubingwa huku akijua kuwa hawana huo uwezo wa kubeba ubingwa,leo hii tena kutoka familia ile ile ya Dewji wamewahadaa wanasimba kuwa endapo watamtoa Mwarabu kwao atawapa 1bl huku akijua wazi hana timu yenye uwezo ya kumtoa Mwarabu.
Hata ukioneshwa huyo mbuzi utamtoa wapi.Nioneeshe shabiki wa MWIKO NYUMA FC asie na UKABWILI au MWENYE AKILI TIMAMU nikuoneshe MBUZI ANAETAGA MAYAI.
AiseeeeNioneeshe shabiki wa MWIKO NYUMA FC asie na UKABWILI au MWENYE AKILI TIMAMU nikuoneshe MBUZI ANAETAGA MAYAI.
MwakaroboMmegeuka. Mlisema watapigwa tano. Simba katolewa kwa goli la ugenini ila mnaongea kana kwamba kafungwa tano bila.
kamati yenu ya ufundi imeishia kwenye droo toka ngao ya hisani,,,,.....droo nyingine ni sumu sio za yopeMmegeuka. Mlisema watapigwa tano. Simba katolewa kwa goli la ugenini ila mnaongea kana kwamba kafungwa tano bila.
kwani kati ya mimi na wewe nani alieanza kumtusi mwenzie?Huwezi kujenga hoja ya msingi zaidi ya kutukana.
Hoja hujibiwa kwa hoja na si matusi.
Rejea hoja yangu ya kwanza kabisa.kwani kati ya mimi na wewe nani alieanza kumtusi mwenzie?
sio hoja sema nukuu yako ya kwanza ambayo umenitusi.Rejea hoja yangu ya kwanza kabisa.
Naona hukuelewa
Sasa mbona huajaonyesha hadaa, uongo au utapeli wenyewe uliofanyika?Leo hii tena kutoka familia ile ile ya Dewji wamewahadaa wanasimba kuwa endapo watamtoa Mwarabu kwao atawapa 1bl huku akijua wazi hana timu yenye uwezo ya kumtoa Mwarabu.
sio hoja sema nukuu yako ya kwanza ambayo umenitusi.
Hata ukioneshwa huyo mbuzi utamtoa wapi.
Wewe weka mdhamana fukuyungu lako uone kama watu hawalibatui
Mashabiki wa simba wengi ni watumia vileders maana hawezekani mtu mwenye akili timamu akacomment hiviNioneeshe shabiki wa MWIKO NYUMA FC asie na UKABWILI au MWENYE AKILI TIMAMU nikuoneshe MBUZI ANAETAGA MAYAI.