Huu upepo wanaJF wa kurudisha watoto kayumba kutoka EM wala sio maamuzi binafsi ni basi tu ukata umekuwa mkali

Huu upepo wanaJF wa kurudisha watoto kayumba kutoka EM wala sio maamuzi binafsi ni basi tu ukata umekuwa mkali

Financial Analyst

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2017
Posts
1,849
Reaction score
3,506
Ndugu we sema hali yako ni ngumu kwa sasa.

Acha mambo ya kupigisha watu stori kwa kutunisha misuri ya typing fingers kuwa wanaosomesha em na international schools eti wana poteza muda.

Hata sisi tunapigika na "njaa-nuary" hii ila hauwezi kuta tunageuza wali kuwa ugali humu.

Sawa, Ngoja tusubirie wajukuu wa bakhresa waje mikorochini praimari
 
🤣🤣 ndugu we sema hali yako ni ngumu kwa sasa.

Acha mambo ya kupigisha watu stori kuwa kutunisha misuri ya typing fingers kuwa wanaosomesha em na intl schools eti wana poteza muda.

Hata sisi tunapigika na "njaa-nuary" hii ila hauwezi kuta tunageuza wali kuwa ugali humu.

Sawa, Ngoja tusubirie wajukuu wa bakhresa waje mikorochini praimari
Wajukuu wa Bakhresa hawasomi English Medium, wanasoma International School of Tanganyika. Halafu wakimaliza hawaendi kulilia boom pale Mlimani au SAUT wanaenda kwenye vyuo bora duniani na icing on the cake wakimaliza hawatafuti ajira.

Acha kabisa kujilinganisha na jina Bakhresa na watu kama hao.
 
🤣🤣 ndugu we sema hali yako ni ngumu kwa sasa.

Acha mambo ya kupigisha watu stori kuwa kutunisha misuri ya typing fingers kuwa wanaosomesha em na intl schools eti wana poteza muda.

Hata sisi tunapigika na "njaa-nuary" hii ila hauwezi kuta tunageuza wali kuwa ugali humu.

Sawa, Ngoja tusubirie wajukuu wa bakhresa waje mikorochini praimari

Wajukuu wa bakhresa hawasomi mtaala wa necta, chuo hawasomi udsm na hawaombi ajira za utumishi.
 
Back
Top Bottom