LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
100% FactWazazi wengi wa Tz wanafocus tu kwenye kumpa mtoto elimu bora lakini hawafocus kwenye kuensure survival ya mtoto baada ya masomo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100% FactWazazi wengi wa Tz wanafocus tu kwenye kumpa mtoto elimu bora lakini hawafocus kwenye kuensure survival ya mtoto baada ya masomo.
Aki Dunia ina Mengi hii 😅😅😅😅Mi mwenyewe nimeisikia leo hiyo sijui wahenga wa wapi hao.
ExactlyPia watu wamejanjaruka
Kwamba Sasa lamomy hujawah sikia huu msemoNilijua nimesikia vyote 😅😅😅
Tuulize saint kayumba tunavyoteseka, ukiingia interview room kiingereza kinabaki njee kikikusubiria hadi utoke, wakati huo ushakosa opportunity 😁tuliosoma english medium sijui tutaweka wapi sura zetu tusipokuwa matajiri madiaspora
Na bado kuna mengine🤣🤣Aki Dunia ina Mengi hii 😅😅😅😅
Mambo vipi hukoKaka bolotoba unaupiga mwingi
Nakuambia ukweli kabisa ndo leo 😅😅😅😅Kwamba Sasa lamomy hujawah sikia huu msemo
Mdogo wangu we kama unataka kumrudisha mtoto wako Kayumba wewe mrudishe tu hujachelewa na Hakuna ubaya wowote . Na mtoto wako atafika Hadi Chuo kikuu,sema AmenNa kusomesha mtoto kayumba sio kipimo cha "financial management"
Achana na hawa watu mkuu.Tuulize saint kayumba tunavyoteseka, ukiingia interview room kiingereza kinabaki njee kikikusubiria hadi utoke, wakati huo ushakosa opportunity 😁
Kumbe hujaona 😅wameishasema tayariNa bado kuna mengine🤣🤣
Wataanza kusema tena elimu haina maana tena bora umufundishie mtoto nyumbani
Safii Kaka njaa tu niazime buku basMambo vipi huko
Hawa watu eti nipeleke mtoto majohe praimari akaiibiwe na wanaoza viungo vya watootoo🤣🤣🤣Kumbe hujaona 😅wameishasema tayari
Wazazi wengi wakishapiga hesabu ya kwamba anamsomesha mtoto kwa gharama alafu mwishowe anakosa ajira na status yake inakuwa sawa na aliyesoma Kayumba ndo huchukua maamuzi ya kuwapeleka watoto wao Kayumba.