Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Ndio ila wasianze kudiss vitu ni vibaya kwa sababu tu hawawezi kuvimuduJikune mkono unapofikia !
100% Fact. Mtoa Mada ameshindwa kufikiria kuhusu hili.Wazazi wengi wakishapiga hesabu ya kwamba anamsomesha mtoto kwa gharama alafu mwishowe anakosa ajira na status yake inakuwa sawa na aliyesoma Kayumba ndo huchukua maamuzi ya kuwapeleka watoto wao Kayumba.
Na kusomesha mtoto kayumba sio kipimo cha "financial management"100% Fact. Mtoa Mada ameshindwa kufikiria kuhusu hili.
Kusomesha EM Sio kipimo cha utajiri
Nilijua nimesikia vyote 😅😅😅Wahenga wana msemo "acha upepo uvume tuone Makalio ya kuku" 🥶
Wajukuu wa Bakhresa hawasomi English Medium, wanasoma International School of Tanganyika. Halafu wakimaliza hawaendi kulilia boom pale Mlimani au SAUT wanaenda kwenye vyuo bora duniani na icing on the cake wakimaliza hawatafuti ajira.🤣🤣 ndugu we sema hali yako ni ngumu kwa sasa.
Acha mambo ya kupigisha watu stori kuwa kutunisha misuri ya typing fingers kuwa wanaosomesha em na intl schools eti wana poteza muda.
Hata sisi tunapigika na "njaa-nuary" hii ila hauwezi kuta tunageuza wali kuwa ugali humu.
Sawa, Ngoja tusubirie wajukuu wa bakhresa waje mikorochini praimari
Mi mwenyewe nimeisikia leo hiyo sijui wahenga wa wapi hao.Nilijua nimesikia vyote 😅😅😅
Hakika🤣🤣Naunga mkono hoja
Hakika.Wazazi wengi wa Tz wanafocus tu kwenye kumpa mtoto elimu bora lakini hawafocus kwenye kuensure survival ya mtoto baada ya masomo.
🤣🤣 ndugu we sema hali yako ni ngumu kwa sasa.
Acha mambo ya kupigisha watu stori kuwa kutunisha misuri ya typing fingers kuwa wanaosomesha em na intl schools eti wana poteza muda.
Hata sisi tunapigika na "njaa-nuary" hii ila hauwezi kuta tunageuza wali kuwa ugali humu.
Sawa, Ngoja tusubirie wajukuu wa bakhresa waje mikorochini praimari
Kaka bolotoba unaupiga mwingiWahenga wana msemo "acha upepo uvume tuone Makalio ya kuku" 🥶