T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Uliwahi ona kibaka aliyesoma Marian Boys'?EMs zote zinazo tumia mtaala uchwara wa NECTA ni kayumba iliyo changamka tu,sema EM ni mabingwa kwenye kukalilisha basi tofauti na hapo hakuna jipya.
Mtu anaye weza kujitapa kuwa anampatia elimu bora mtoto wake elimu bora ni yule aliye mpeleka mtoto wake international School.
Matapeli wapoUliwahi ona kibaka aliyesoma Marian Boys'?
Kwa kweli shule em sasa wazazi naona wanaziacha na kurudi st.Kayumba daah ni hatariNdugu we sema hali yako ni ngumu kwa sasa.
Acha mambo ya kupigisha watu stori kwa kutunisha misuri ya typing fingers kuwa wanaosomesha em na international schools eti wana poteza muda.
Hata sisi tunapigika na "njaa-nuary" hii ila hauwezi kuta tunageuza wali kuwa ugali humu.
Sawa, Ngoja tusubirie wajukuu wa bakhresa waje mikorochini praimari
WamejanjarukaKwa kweli shule em sasa wazazi naona wanaziacha na kurudi st.Kayumba daah ni hatari
100% FactEMs zote zinazo tumia mtaala uchwara wa NECTA ni kayumba iliyo changamka tu,sema EM ni mabingwa kwenye kukalilisha basi tofauti na hapo hakuna jipya.
Mtu anaye weza kujitapa kuwa anampatia elimu bora mtoto wake elimu bora ni yule aliye mpeleka mtoto wake international School.
Lakini sio vibaka. Utapeli hata international arena upo, tena wanaotapeliwa hasa ni hao mbumbumbu waliosoma kayumba wakala zero na four ya mwisho hawajui kusoma hata terms za contracts, lugha chenga.Matapeli wapo
Kama huna kipato kikubwa usijitutumue kusomesha em.Hizi shule za em hazimsaidii mtoto wa maskini kujifunza kupambana na mazingira yake.Mwenye akili timamu hawezi kuzisifua shule za serikali hata kidogo.wengi wetu tumesoma hizo shule tunazijua matatizo lukuki ya shule za umma ndiyo maana huwezi kumuona mtoto wa mkuu wa mkoa,wilaya,mkurugenzi,afisa elimu,waziri,rais au mfanyabiashara mkubwa kama gsm au Mohamed dewj.Lakini kapuku waliopauka wanajifariji eti mtoto kusoma Kwa shida ndiyo akili!Hawa wanajifariji elimu mbovu ya umma ndiyo wanaendekeza kizazi Cha kutumikishwa na watawala na siyo kujikomboa vizazi vyao.
Kina nani wataje majina. Waliosoma international schools ndio hawa kina Benjamin Fernandez.
Mbona inawezekana waliosoma shule za kawaida kupeana connection, kuna ugumu gani waliosoma EM na IS kupeana connection. Sasa wanajuana kupitia wapi kama sio shule na vyuo, yani hawa waitane kwenye ubodaboda na kupaka kucha rangi ila wale washindwe kuitana kwenye partnership?
We mrundi rudi kwenu,umufundishe ndiyo nini?Na bado kuna mengine๐คฃ๐คฃ
Wataanza kusema tena elimu haina maana tena bora umufundishie mtoto nyumbani
Wanaoongoza kujiuza ni Hawa waliosoma shule za serikali.fanya utafiti sehemu wanazojiuza Malaya Nchi nzima.EM ni muhimi maana kiingereza hakikwepeki Kwa mtu mchakalikaji.Kama huna kipato kikubwa usijitutumue kusomesha em.Hizi shule za em hazimsaidii mtoto wa maskini kujifunza kupambana na mazingira yake.
Mtoto anasoma kama tajiri lakini akirudi mtaani anatakiwa kupambana kama maskini.Hii inawapa shida sana watoto ndio maana wengi wanageuka kuwa malaya na mashoga wakijiuza mitandaoni kwa wazungu
Mbona umesoma wewe bladifaken wahed,aya aya nyie wasomi uchwara bwana๐๐๐๐-Unapoandika, jitahidi kuweka aya ili maandishi yako yasomeke.
-Panaitwa Maneromango, siyo Mwanarumango.
-Naomba nipumzike, jinsi unavyoandika ni kama mtu aliyepagawa na pepo. Unaweka mizuka badala ya hoja. Mara connections, mara MO!
Ila Kuku hana makalio.Wahenga wana msemo "acha upepo uvume tuone Makalio ya kuku" ๐ฅถ
Ni nani kasoma International School ambaye kwao hawana uchumi?Unajua uchumi aliokuwa nao baba yake benjamin fernandez?
Familia ya kina fernandez ni ya kishua kitambo. Miaka ya 90 tayari kwao wana pesa za kumwaga. Kakulia kwenye Bonge la jumba mbezi beach
Baba yake amemiliki kampuni ya vingamuzi vya ting, wana kumbi za harusi. Na sadaka wamekula sana kwenye kanisa lao kubwa.
Benjamin fernandez hatoki familia ya kuunga unga. Hajawai kusoma shule za necta kabisa
Sasa wewe unayetoka familia ya kutegemea mshahara wa kuajiriwa unaanzia wapi kujilinganisha na benjamin wa nala
Hela amezikuta kwao. Amesomeshwa heaven of peace na chuo marekani sio kwa ajili ya kugombania ajira za utumishi.
Kabla hujampeleka mwanao shule za gharama..tafuta utajiri kwanza wa mwanao aje kuuendeleza
Wanaoongoza kuwa na maziwa yaliyolala ni hawa wanaodandiwa na bodaboda na vinyozi wa saluni kwa kuhongwa chips kuku.Wanaoongoza kujiuza ni Hawa waliosoma shule za serikali.fanya utafiti sehemu wanazojiuza Malaya Nchi nzima.EM ni muhimi maana kiingereza hakikwepeki Kwa mtu mchakalikaji.
Cha ajabu watoto wa hao viongozi uliowataja hawasomi kayumba ulishawahi jiuliza hilo swaliHivi unafikiri hao decision makers wengi wao walisoma English Medium au International Schools? Angalia historia ya viongozi wengi wa serikali wengi wao wamesomea vijijini.
Mwanaume hutakiwi uogope changamato au vitu vigumukaribu mkuu,
Shida watu wanaishi kwa kuigana na wanaendeshwa na wanawake zao.Sahivi kumeibuka mashindano ya wanawake huku mitaani kupeleka watoto hizi EM๐๐๐๐sasa kwa wanaume wasio na dira wanajikuta wamenasa mtego na wanapukutisha pesa kuzikimbiza huko EM.
HahahahahhahaUliwahi ona kibaka aliyesoma Marian Boys'?