Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kwanza niweke wazi tu Mimi kwenye riziki ya mtu huwa sina mtimanyongo lakini kwa usajili wa Luis Miquisone unaleta mashaka makubwa sana.
Mtakumbuka Miquison aliondoka Tanzania akiwa kwenye peak lakini ushindani uliopo Al Ahaly akashindwa kuonesha uwezo wake, siamini kama ni ubaguzi maana yupo Msouth Africa pale Tau ni mchezaji tegemeo, kwahiyo in short ameshindwa kuonesha uwezo.
Sasa miaka mitatu bila Miquison kucheza soka la ushindani leo Simba wanampa mkataba wa miaka mitatu, je akicheza chini ya kiwango si itabidi Simba imlipe pesa za kuvunja mkataba?
Hapa ndio nanusa harufu ya wapiga madili kumbe huwa wanategeshea hadi kwenye kuvunja mikataba kote huko wapige pesa.
Namtakia heri kijana arudi na kiwango chake aweze kuonekana kwenye mashindano ya CAF.
Mtakumbuka Miquison aliondoka Tanzania akiwa kwenye peak lakini ushindani uliopo Al Ahaly akashindwa kuonesha uwezo wake, siamini kama ni ubaguzi maana yupo Msouth Africa pale Tau ni mchezaji tegemeo, kwahiyo in short ameshindwa kuonesha uwezo.
Sasa miaka mitatu bila Miquison kucheza soka la ushindani leo Simba wanampa mkataba wa miaka mitatu, je akicheza chini ya kiwango si itabidi Simba imlipe pesa za kuvunja mkataba?
Hapa ndio nanusa harufu ya wapiga madili kumbe huwa wanategeshea hadi kwenye kuvunja mikataba kote huko wapige pesa.
Namtakia heri kijana arudi na kiwango chake aweze kuonekana kwenye mashindano ya CAF.