Huu usajili wa Luis Miquisone ni ishara Simba hawajui walifanyalo, au wapigaji wapo kazini

Huu usajili wa Luis Miquisone ni ishara Simba hawajui walifanyalo, au wapigaji wapo kazini

Kwanza niweke wazi tu Mimi kwenye riziki ya mtu huwa sina mtimanyongo lakini kwa usajili wa Luis Miquisone unaleta mashaka makubwa sana.

Mtakumbuka Miquison aliondoka Tanzania akiwa kwenye peak lakini ushindani uliopo Al Ahaly akashindwa kuonesha uwezo wake, siamini kama ni ubaguzi maana yupo Msouth Africa pale Tau ni mchezaji tegemeo, kwahiyo in short ameshindwa kuonesha uwezo.

Sasa miaka mitatu bila Miquison kucheza soka la ushindani leo Simba wanampa mkataba wa miaka mitatu, je akicheza chini ya kiwango si itabidi Simba imlipe pesa za kuvunja mkataba?

Hapa ndio nanusa harufu ya wapiga madili kumbe huwa wanategeshea hadi kwenye kuvunja mikataba kote huko wapige pesa.

Namtakia heri kijana arudi na kiwango chake aweze kuonekana kwenye mashindano ya CAF.
Umeanza kujamba mapema sana
 
Hizi phd siku hizi zinatolewa tu kama njugu bila kuangalia mtu anayepewa sasa al ahly wanasajili wachezaji kutoka league kuu ya ENGLAND unataka miquisoni apate namba mara kwa mara team inasajili wachezaji kutoka league kuu ya Turkey na France unataka mchezaji wa kutoka league kuu Tanzania acheze halafu kocha aliyemsajili alishaondoka tayari.
 
Back
Top Bottom