Huu usajili wa Luis Miquisone ni ishara Simba hawajui walifanyalo, au wapigaji wapo kazini

Unaongelea Miquison au Josee yupi? Kama ni Miquison Al Ahaly wenyewe walimuona Simba na Simba na Al Ahaly zilikutana klabu bingwa, kwahiyo Al Ahaly walinunuwa bidhaa wanayoijuwa vizuri tu si Kwa kuingizwa mkenge na scout.
Ndio walimuona, je usajili ule uliwalipa?
 
nimesubiria comments za kazumari kwenye hili sijaona popote
 
nimesubiria comments za kazumari kwenye hili sijaona popote
Yule tutusa anawashwa na issue za Yanga tu, nasikia alitoswa nafasi ya kuwa msemaji wa Yanga badala yake kapewa nafasi hiyo katoto kadogo tu Ally Kamwe, ni dharau iliyoje ndio maana ana hasira na Yanga siyo za nchi hii.
 
Kwahyo walitengeneza jersey wakiwa sehemu moja,manake navyojua jersey za simba ziliwahi kutangazwa kuwa zimefika kabla ya azam,wangekuwa wameiga kama zingezinduliwa week baada ya azam kuzindua,au hilo hukuwaza??
 
Chama naye ilikuwaje aliporejea?
 
Kwani mchezaji akishindwa timu moja ndio basi hawezi kucheza vizuri timu nyingine?
 
Yule tutusa anawashwa na issue za Yanga tu, nasikia alitoswa nafasi ya kuwa msemaji wa Yanga badala yake kapewa nafasi hiyo katoto kadogo tu Ally Kamwe, ni dharau iliyoje ndio maana ana hasira na Yanga siyo za nchi hii.
Unaonaje kiwango cha Ally Kamwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…