Huu usajili wa Luis Miquisone ni ishara Simba hawajui walifanyalo, au wapigaji wapo kazini

Umeanza kujamba mapema sana
 
Hizi phd siku hizi zinatolewa tu kama njugu bila kuangalia mtu anayepewa sasa al ahly wanasajili wachezaji kutoka league kuu ya ENGLAND unataka miquisoni apate namba mara kwa mara team inasajili wachezaji kutoka league kuu ya Turkey na France unataka mchezaji wa kutoka league kuu Tanzania acheze halafu kocha aliyemsajili alishaondoka tayari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…