Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

abdulhamis

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
1,436
Reaction score
2,296
Habari wadau kama mtakua mnatembelea mitandao ya kijamii naamini Habari kubwa sasaiv ni Diamond na baba yake watu wamekua na maswal mengi kila mtu ameuliza lake na bila kupata Majibu Bali kubaki na maswali yalio zalishwa na swali

Mimi binafs niende moja kwa moja kwenye hoja. Na kusema kwa akil zangu timam nikiangalia situation ya maisha ya Mama Diamond anavyo ishi anavyo jiweka na maisha ya Baba Diamond Iman yangu inaniambia kua Mama kamlisha Sumu mbaya Sana Mwanae. Na kila siku inapo kucha Diamond anazid kuambiwa Mengi Tena kwa ukaribu Zaid na mama yake juu ya baba yake

Kwanini Diamond hataki kumsamehe Baba yake kumpa hata 10k kwa siku ili imsaidie?

Ni kosa gani kubwa kalifanya Baba Diamond wakat hakukataa Mimba ya Diamond na apo awal inaonyeaha wazi kabisa Diamond na baba yake na mama yake walikua ni Familia yenye furaha? Kipi kilitokea mpaka Leo hii Diamond hatak kumsaidia Baba yake? Mana sidhan kama mzaz hakukataa Mimba akailea mpaka uka kua Baada ya apo hakuna kosa lisilo sameheka kwa Baba au mama utamuukum kwa lip mzaz alie kulea mpaka ukakua na Kuanza kujieleza?

Wanawake kama mmepanda zao wote pamoja basi na kwenye mavuno iwe ivyo ivyo Pia ningependa kumshaur mama Diamond aache kuwapa watu Iman mbaya Zaid yake ya wao kufikiria kua yeye ndio sababu kwa mambo anayo yafanya na kuyaongea juzi Anamjibu mtu kwenye Mitandao ya kijamii kua nanukuu "kwani diamond ndio mtoto wake pekee si anamtoto mwingine mkubwa aende akamsaidie Kwan mpaka Diamond" dah Mama diamond muogope Mungu

Narudia Tena mimi Binafs sion dhambi kubwa ya mtoto kumtesa mzee Abdul vile kwa dam yake kama hakukataa mimba na kuitelekeka Familia

Mbaya Zaid Baba Diamond kafika mbali na kusema kua akifa Diamond asiendee kumzika hii sio poa kabisa Diamond Baba yako uyo embu fikiria pemben bila kumshirikisha mama yako alafu upime unacho fanya ni Sawa?

Screenshot_20210102_073000.jpg

 
Roho zetu zinatofautiana sanaa,

Nina mtoto wa nje namjali kwa kila hali mamake nishamwambia kama mapenz yangu mm ma yeye yalishindikana aache mtoto akue na akil zake asisimulie mabaya yangu asimulie na mazur yang akiamua kifanya hivyo maana yeye ndo anaishi nae

Mwisho kwa mtizamo wangu Diamond ana akili zake sahv lawama zimwendee yeye mwenyew sio mamake na ashukuliwe Mungu yeye ni wa kiume ipo siku atakuja kuwajua wanawake vizur kuwa wanakuona unafaa ukiwa nacho ukikosa wanakuona hufai ndo yaliyomkuta babake .
 
Roho zetu zinatofautiana sanaa,

Nina mtoto wa nje namjali kwa kila hali mamake nishamwambia kama mapenz yangu mm ma yeye yalishindikana aache mtoto akue na akil zake asisimulie mabaya yangu asimulie na mazur yang akiamua kifanya hivyo maana yeye ndo anaishi nae

Mwisho kwa mtizamo wangu Diamond ana akili zake sahv lawama zimwendee yeye mwenyew sio mamake na ashukuliwe Mungu yeye ni wa kiume ipo siku atakuja kuwajua wanawake vizur kuwa wanakuona unafaa ukiwa nacho ukikosa wanakuona hufai ndo yaliyomkuta babake .
Mkuu naomba nikuulize hiyo avatar yako uliyoweka utafanya sisi tuchanganyikiwe
 
Habari wadau kama mtakua mnatembelea mitandao ya kijamii naamini Habari kubwa sasaiv ni Diamond na baba yake watu wamekua na maswal mengi kila mtu ameuliza lake na bila kupata Majibu Bali kubaki na maswali yalio zalishwa na swali

Mimi binafs niende moja kwa moja kwenye hoja. Na kusema kwa akil zangu timam nikiangalia situation ya maisha ya Mama Diamond anavyo ishi anavyo jiweka na maisha ya Baba Diamond Iman yangu inaniambia kua Mama kamlisha Sumu mbaya Sana Mwanae. Na kila siku inapo kucha Diamond anazid kuambiwa Mengi Tena kwa ukaribu Zaid na mama yake juu ya baba yake

Kwanini Diamond hataki kumsamehe Baba yake kumpa hata 10k kwa siku ili imsaidie?

Ni kosa gani kubwa kalifanya Baba Diamond wakat hakukataa Mimba ya Diamond na apo awal inaonyeaha wazi kabisa Diamond na baba yake na mama yake walikua ni Familia yenye furaha? Kipi kilitokea mpaka Leo hii Diamond hatak kumsaidia Baba yake? Mana sidhan kama mzaz hakukataa Mimba akailea mpaka uka kua Baada ya apo hakuna kosa lisilo sameheka kwa Baba au mama utamuukum kwa lip mzaz alie kulea mpaka ukakua na Kuanza kujieleza?

Wanawake kama mmepanda zao wote pamoja basi na kwenye mavuno iwe ivyo ivyo Pia ningependa kumshaur mama Diamond aache kuwapa watu Iman mbaya Zaid yake ya wao kufikiria kua yeye ndio sababu kwa mambo anayo yafanya na kuyaongea juzi Anamjibu mtu kwenye Mitandao ya kijamii kua nanukuu "kwani diamond ndio mtoto wake pekee si anamtoto mwingine mkubwa aende akamsaidie Kwan mpaka Diamond" dah Mama diamond muogope Mungu

Narudia Tena mimi Binafs sion dhambi kubwa ya mtoto kumtesa mzee Abdul vile kwa dam yake kama hakukataa mimba na kuitelekeka Familia

Mbaya Zaid Baba Diamond kafika mbali na kusema kua akifa Diamond asiendee kumzika hii sio poa kabisa Diamond Baba yako uyo embu fikiria pemben bila kumshirikisha mama yako alafu upime unacho fanya ni Sawa?

Ukiiangalia kwa makini hyo picha inaonyesha huyo mama alikuwa na njaa sana,,
Na huyo baba diamond alikuwa yupo vzr kimaisha.

Inaonyesha huyo mama alikuwa mpenda pesa sana,,
Na alipenda maisha ya starehe lakini hakuyapata kwa wakati huo.

Ndy maana kinachomsumbuwa sasa ni ushamba na ulimbukeni wa kukosa maisha mazuri ujanani.
 
Ukiiangalia kwa makini hyo picha inaonyesha huyo mama alikuwa na njaa sana,,
Na huyo baba diamond alikuwa yupo vzr kimaisha.

Inaonyesha alikuwa mpenda pesa sana,,
Na alipenda maisha ya starehe lakini hakuyapata kwa wakati huo.

Ndy maana kinachomsumbuwa sasa ni ushamba na ulimbukeni wa kukosa maisha mazuri ujanani.
Dah wasoma saikoloj mko vizur [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah wasoma saikoloj mko vizur [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Muangalie vzr huyo mama sura yake,,na hizo nguo zake,,utagunduwa kitu kilichomo moyoni mwake.

Alikuwa na njaa sana halafu anapenda vinono.

Halafu angalia hata mikono yake alivyoiweka ni kama ananyenyekea kitu fulani,,
Au kama kaomba kitu fulani sasa anakitilia msisitizo apewe.

Hapo itakuwa alikuja kupiga kizinga tu kwa mzazi mwenzie hakuna kingine.
Inaonyesha hyo diamond ameletwa tu hapo,,
lakini hakai hapo na huyo Mzee.
 
Kwani huyo mzee ana mtoto mmoja tu au kuna mwingine? Na je kama kuna wengine kwanini alaumiwe diamond pekee yake?
Nakuhakikishia mkuu,,

Kama hutambui umuhimu wa mzazi utauona siku akiondoka duniani..

Naamini siku huyo mzee akifariki diamond atakuwa kwenye wakati mgumu kuliko wowote tangu aumbwe na MUNGU.
 
Kuna watu wana ukichaa wa kurithi na huyo Babake Diamond anaweza kuwa ni mgonjwa wa akili, acha kuingilia mambo ya ndani ya watu usiowajua, haujui kilichojili, ...
 
Nakuhakikishia mkuu,,

Kama hutambui umuhimu wa mzazi utauona siku akiondoka duniani..

Naamini siku huyo mzee akifariki diamond atakuwa kwenye wakati mgumu kuliko wowote tangu aumbwe na MUNGU.
Huyo mzee hana watoto wengine ?
 
Habari wadau kama mtakua mnatembelea mitandao ya kijamii naamini Habari kubwa sasaiv ni Diamond na baba yake watu wamekua na maswal mengi kila mtu ameuliza lake na bila kupata Majibu Bali kubaki na maswali yalio zalishwa na swali

Mimi binafs niende moja kwa moja kwenye hoja. Na kusema kwa akil zangu timam nikiangalia situation ya maisha ya Mama Diamond anavyo ishi anavyo jiweka na maisha ya Baba Diamond Iman yangu inaniambia kua Mama kamlisha Sumu mbaya Sana Mwanae. Na kila siku inapo kucha Diamond anazid kuambiwa Mengi Tena kwa ukaribu Zaid na mama yake juu ya baba yake

Kwanini Diamond hataki kumsamehe Baba yake kumpa hata 10k kwa siku ili imsaidie?

Ni kosa gani kubwa kalifanya Baba Diamond wakat hakukataa Mimba ya Diamond na apo awal inaonyeaha wazi kabisa Diamond na baba yake na mama yake walikua ni Familia yenye furaha? Kipi kilitokea mpaka Leo hii Diamond hatak kumsaidia Baba yake? Mana sidhan kama mzaz hakukataa Mimba akailea mpaka uka kua Baada ya apo hakuna kosa lisilo sameheka kwa Baba au mama utamuukum kwa lip mzaz alie kulea mpaka ukakua na Kuanza kujieleza?

Wanawake kama mmepanda zao wote pamoja basi na kwenye mavuno iwe ivyo ivyo Pia ningependa kumshaur mama Diamond aache kuwapa watu Iman mbaya Zaid yake ya wao kufikiria kua yeye ndio sababu kwa mambo anayo yafanya na kuyaongea juzi Anamjibu mtu kwenye Mitandao ya kijamii kua nanukuu "kwani diamond ndio mtoto wake pekee si anamtoto mwingine mkubwa aende akamsaidie Kwan mpaka Diamond" dah Mama diamond muogope Mungu

Narudia Tena mimi Binafs sion dhambi kubwa ya mtoto kumtesa mzee Abdul vile kwa dam yake kama hakukataa mimba na kuitelekeka Familia

Mbaya Zaid Baba Diamond kafika mbali na kusema kua akifa Diamond asiendee kumzika hii sio poa kabisa Diamond Baba yako uyo embu fikiria pemben bila kumshirikisha mama yako alafu upime unacho fanya ni Sawa?

Hiyo picha haitoshi kuthibitisha kama mzee baba alikuwa anaipenda familia yake

Ukiangalia hiyo picha kwa umakini inaonyesha hapo Diamond na mama yake walienda nyumbani kwa mzee baba na inawezekana mama Diamond hapo alifuata pesa ya matunzo ya mtoto sijui kama alipewa au hakupewa

Pia inaonyesha mzee baba ana furaha lakini mama mond hana furaha yani hapo kuna kitu hakipo sawa

Lakini pia Diamond na mama yake walikuwa wanaishi Tandale na mzee baba alikuwa anaishi manzese ki uhalisia tandale na manzese ni eneo moja tu hivyo mzee baba alikuwa na nafasi ya kuonyesha upendo kwa mtoto wake

Ila ni bora hamsamehe tu maana ameshajifunza mengi sana
 
Back
Top Bottom