Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

Hivi kwa nini msijichange Buku buku kama mna uchungu sana na huyo mzee kuliko kumwandama kila siku mtoto wa watu???

Hata ukiangalia mahojiano yake na vyombo vya habari mzee yupo very humble kuonesha yeye anatambua makosa yake.

Halafu ukifuatilia nyuzi za huyu mtoa mada ni timu kiba, hivi ina maana hamjui ommy Dimpoz, mwana fa mbunge wametelekeza baba zao???
Baba zao hawana njaa pia kuhusu omy nasikia ni mzee ndio kakataa msaada kwa omy na kumkana kwa sababu ya Ile skendo ya nanii na mzee ni sheghe
 
Muangalie vzr huyo mama sura yake,,na hizo nguo zake,,utagunduwa kitu kikichomo moyoni mwake.

Alikuwa na njaa sana halafu anapenda vinono.

Hapo itakuwa alikuja kupiga kizinga kwa mzazi mwenzie..
Inaonyesha hyo diamond ameletwa tu hapo,,
lakini hakai hapo na huyo Mzee.
Et eee,inawezekana,siku hyo walikuwa wamemtembelea huyo baba
 
Kwani huyo mzee ana mtoto mmoja tu au kuna mwingine? Na je kama kuna wengine kwanini alaumiwe diamond pekee yake?
Na kwanini apangiwe sehemu ya kupata msaada ikiwa yeye anaona sehemu anayostahili kuupata msaada huo?

Hili pekee ni tatizo, linafikirisha kwa mengi
 
Baba zao hawana njaa pia kuhusu omy nasikia ni mzee ndio kakataa msaada kwa omy na kumkana kwa sababu ya Ile skendo ya nanii na mzee ni sheghe
Sio kwamba hawana njaa hawalii kwenye vyombo vya habari kama huyo mzee anayependa kamera na kuhojiwa hovyo hovyo,Baba wa Ommy Dimpoz pamoja na kuzeeka anaendesha bajaj sasa jiulize na uzee ule kukimbizana barabarani manake hana mtoto wa kumtunza ,Baba wa Mwana Fa yeye kaamua kukaza tu naona anajijua ana makosa.Ila Mwana Fa na Ommy ndio kabisa hawataki kabisa kujibu maswali yanayo husu baba zao,inavyo onekana hawataki hata kuwasikia.

Huyu mzee kama ingekuwa kwa mtoto mmoja ningesema kidogo aliteleza lkn alifanya hivyo hivyo kwa Queen Darleen haiwezekani ufanye kitu kimoja kwa watoto wako wote wawili alafu wanawake wote wa wawili wawe na matatizo,inaonekana yy tabia yake ni kutia mimba na kuacha.

Misaada anapewa ila mzee anataka treatment kama anayopata mama Dangote,hapo sasa ndipo panapokuwa pagumu.
 
Ile kumwita uncle ni kuhalalisha haramu..

Yaani Diamond fala sana,,nasikia hata vumbi la congo anamnunulia huyo uncle ili amsuguwe vizuri mama yake.
Kwani wewe hili linakuhusu nini?Unapata maumivu gani huyu Mama kusuguliwa vizuri?
Kama alitelekezwa badala ya kupewa Raha,acha mkongo ufanye kazi.
Unaumia mwenzio anapata Raha alionyimwa na huyo shoga wa zamani.
 
Habari wadau kama mtakua mnatembelea mitandao ya kijamii naamini Habari kubwa sasaiv ni Diamond na baba yake watu wamekua na maswal mengi kila mtu ameuliza lake na bila kupata Majibu Bali kubaki na maswali yalio zalishwa na swali

Mimi binafs niende moja kwa moja kwenye hoja. Na kusema kwa akil zangu timam nikiangalia situation ya maisha ya Mama Diamond anavyo ishi anavyo jiweka na maisha ya Baba Diamond Iman yangu inaniambia kua Mama kamlisha Sumu mbaya Sana Mwanae. Na kila siku inapo kucha Diamond anazid kuambiwa Mengi Tena kwa ukaribu Zaid na mama yake juu ya baba yake

Kwanini Diamond hataki kumsamehe Baba yake kumpa hata 10k kwa siku ili imsaidie?

Ni kosa gani kubwa kalifanya Baba Diamond wakat hakukataa Mimba ya Diamond na apo awal inaonyeaha wazi kabisa Diamond na baba yake na mama yake walikua ni Familia yenye furaha? Kipi kilitokea mpaka Leo hii Diamond hatak kumsaidia Baba yake? Mana sidhan kama mzaz hakukataa Mimba akailea mpaka uka kua Baada ya apo hakuna kosa lisilo sameheka kwa Baba au mama utamuukum kwa lip mzaz alie kulea mpaka ukakua na Kuanza kujieleza?

Wanawake kama mmepanda zao wote pamoja basi na kwenye mavuno iwe ivyo ivyo Pia ningependa kumshaur mama Diamond aache kuwapa watu Iman mbaya Zaid yake ya wao kufikiria kua yeye ndio sababu kwa mambo anayo yafanya na kuyaongea juzi Anamjibu mtu kwenye Mitandao ya kijamii kua nanukuu "kwani diamond ndio mtoto wake pekee si anamtoto mwingine mkubwa aende akamsaidie Kwan mpaka Diamond" dah Mama diamond muogope Mungu

Narudia Tena mimi Binafs sion dhambi kubwa ya mtoto kumtesa mzee Abdul vile kwa dam yake kama hakukataa mimba na kuitelekeka Familia

Mbaya Zaid Baba Diamond kafika mbali na kusema kua akifa Diamond asiendee kumzika hii sio poa kabisa Diamond Baba yako uyo embu fikiria pemben bila kumshirikisha mama yako alafu upime unacho fanya ni Sawa?

Diamond ana watoto

Na most likely watamfsnyia anachomfanyia Baba yake
 
Et eee,inawezekana,siku hyo walikuwa wamemtembelea huyo baba
Lazima iwe hivyo..

Ukiona mwanamke wa kiswahili kavaa hivyo maana yake ametoka out,,hayupo home.

Hata diamond inaonyesha alivalishwa kwa kutoka out.

Mtoto wa kiswahili ni ngumu kuvaa hivyo akiwa home,,tena tandale..
 
Roho zetu zinatofautiana sanaa,

Nina mtoto wa nje namjali kwa kila hali mamake nishamwambia kama mapenz yangu mm ma yeye yalishindikana aache mtoto akue na akil zake asisimulie mabaya yangu asimulie na mazur yang akiamua kifanya hivyo maana yeye ndo anaishi nae

Mwisho kwa mtizamo wangu Diamond ana akili zake sahv lawama zimwendee yeye mwenyew sio mamake na ashukuliwe Mungu yeye ni wa kiume ipo siku atakuja kuwajua wanawake vizur kuwa wanakuona unafaa ukiwa nacho ukikosa wanakuona hufai ndo yaliyomkuta babake .
Je, nani alimuacha mwenzake? Mwanamke kama bado anakupenda wewe ukamuacha. Piga ua hata kama unalipa hata chakula anachokila kwa mama yake, hii ya Baba yake na Diamond inakuhusu. Ila kama yeye ndiye alikuacha, hapo mambo poa. tumekuwa wahanga wa hili ingawa tunasomesha hao watoto kwa zaidi ya million 5 kwa mwaka. Kisa tuliacha hatukuachwa
 
Kwani wewe hili linakuhusu nini?Unapata maumivu gani huyu Mama kusuguliwa vizuri?
Kama alitelekezwa badala ya kupewa Raha,acha mkongo ufanye kazi.
Unaumia mwenzio anapata Raha alionyimwa na huyo shoga wa zamani.
Mkuu naona umevama gheto la mabaharia na khanga hata chupi hukuvaa.

Hivi inakuingia akilini kisa mama yake diamond alitelekezwa na mzazi mwenzie,,?

matokeo yake ahamishie ugomvi wao kwa mtoto?

Tunachomlaumu diamond ni kutomjali baba yake,
Na asijiingize ktk ugomvi wa wazazi wake.
 
Sio kwamba hawana njaa hawalii kwenye vyombo vya habari kama huyo mzee anayependa kamera na kuhojiwa hovyo hovyo,baba Ommy Dimpoz pamoja na kuzeeka anaendesha bajaj sasa jiulize na uzee ule kukimbizana barabarani manake hana mtoto wa kumtunza ,baba Mwana Fa yeye kaamua kukaza tu naona anajijua ana makosa.Ila Mwana Fa na Ommy ndio kabisa hawataki kabisa kujibu maswali yanayo husu baba zao,inavyo onekana hawataki hata kuwasikia.

Huyu mzee kama ingekuwa kwa mtoto ningesema kidogo aliteleza lkn alifanya hivyo hivyo kwa Queen Darleen haiwezekani wanawake wote wa wawili wawe na matatizo,inaonekana yy tabia yake ni kutia mimba na kuacha.

Misaada anapewa ila mzee anataka treatment kama anayopata mama Dangote,hapo sasa ndipo panapokuwa pagumu.
Halafu mzee sio kama anapenda kulia, media kila siku zinamfuata mmoja baada ya mwingine na mzee yupo very humble. Si unajua ukitaka kusikika bongo ripoti chochote kinachohusiana na Diamond.
 
Diamond ajitathimini sana, mzazi huwa hakosei kwa mtoto.
 
Alafu Diamond swagger na kipaji karithi kwa baba....

Ila upumbavu kulea kibenten Cha mama, eti anamwita Uncle Shamte
Afadhali amlee na kumuita uncle Shamte, maza alikua anatoka na vijana age ya Diamond kabla ya Shamte.
 
Habari wadau kama mtakua mnatembelea mitandao ya kijamii naamini Habari kubwa sasaiv ni Diamond na baba yake watu wamekua na maswal mengi kila mtu ameuliza lake na bila kupata Majibu Bali kubaki na maswali yalio zalishwa na swali

Mimi binafs niende moja kwa moja kwenye hoja. Na kusema kwa akil zangu timam nikiangalia situation ya maisha ya Mama Diamond anavyo ishi anavyo jiweka na maisha ya Baba Diamond Iman yangu inaniambia kua Mama kamlisha Sumu mbaya Sana Mwanae. Na kila siku inapo kucha Diamond anazid kuambiwa Mengi Tena kwa ukaribu Zaid na mama yake juu ya baba yake

Kwanini Diamond hataki kumsamehe Baba yake kumpa hata 10k kwa siku ili imsaidie?

Ni kosa gani kubwa kalifanya Baba Diamond wakat hakukataa Mimba ya Diamond na apo awal inaonyeaha wazi kabisa Diamond na baba yake na mama yake walikua ni Familia yenye furaha? Kipi kilitokea mpaka Leo hii Diamond hatak kumsaidia Baba yake? Mana sidhan kama mzaz hakukataa Mimba akailea mpaka uka kua Baada ya apo hakuna kosa lisilo sameheka kwa Baba au mama utamuukum kwa lip mzaz alie kulea mpaka ukakua na Kuanza kujieleza?

Wanawake kama mmepanda zao wote pamoja basi na kwenye mavuno iwe ivyo ivyo Pia ningependa kumshaur mama Diamond aache kuwapa watu Iman mbaya Zaid yake ya wao kufikiria kua yeye ndio sababu kwa mambo anayo yafanya na kuyaongea juzi Anamjibu mtu kwenye Mitandao ya kijamii kua nanukuu "kwani diamond ndio mtoto wake pekee si anamtoto mwingine mkubwa aende akamsaidie Kwan mpaka Diamond" dah Mama diamond muogope Mungu

Narudia Tena mimi Binafs sion dhambi kubwa ya mtoto kumtesa mzee Abdul vile kwa dam yake kama hakukataa mimba na kuitelekeka Familia

Mbaya Zaid Baba Diamond kafika mbali na kusema kua akifa Diamond asiendee kumzika hii sio poa kabisa Diamond Baba yako uyo embu fikiria pemben bila kumshirikisha mama yako alafu upime unacho fanya ni Sawa?

Ukiweka mimba mahali mtoto akizaliwa lea. Kuja kutulilialilia humu baada ya kugomewa matunzo na toka kwa watoto mliowatelekeza mkome. Diamond shikilia hapo hapo hadi hawa Makanjanja wa mimba watie adabu.
 
Ni Queen darin tu,, kama kuna mwingine sijuwi..

Ila hata kama huyo mzee aligombana na mama diamond,,,

Yeye diamond hayamuhusu,,,,

Wale wote ni wazazi wake, hapaswi kubagua.
Wakati huyo Bwana anagombana na mkewe (mama Diamond), Diamond alihusikaje?
 
Back
Top Bottom