Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

Habari wadau kama mtakua mnatembelea mitandao ya kijamii naamini Habari kubwa sasaiv ni Diamond na baba yake watu wamekua na maswal mengi kila mtu ameuliza lake na bila kupata Majibu Bali kubaki na maswali yalio zalishwa na swali

Mimi binafs niende moja kwa moja kwenye hoja. Na kusema kwa akil zangu timam nikiangalia situation ya maisha ya Mama Diamond anavyo ishi anavyo jiweka na maisha ya Baba Diamond Iman yangu inaniambia kua Mama kamlisha Sumu mbaya Sana Mwanae. Na kila siku inapo kucha Diamond anazid kuambiwa Mengi Tena kwa ukaribu Zaid na mama yake juu ya baba yake

Kwanini Diamond hataki kumsamehe Baba yake kumpa hata 10k kwa siku ili imsaidie?

Ni kosa gani kubwa kalifanya Baba Diamond wakat hakukataa Mimba ya Diamond na apo awal inaonyeaha wazi kabisa Diamond na baba yake na mama yake walikua ni Familia yenye furaha? Kipi kilitokea mpaka Leo hii Diamond hatak kumsaidia Baba yake? Mana sidhan kama mzaz hakukataa Mimba akailea mpaka uka kua Baada ya apo hakuna kosa lisilo sameheka kwa Baba au mama utamuukum kwa lip mzaz alie kulea mpaka ukakua na Kuanza kujieleza?

Wanawake kama mmepanda zao wote pamoja basi na kwenye mavuno iwe ivyo ivyo Pia ningependa kumshaur mama Diamond aache kuwapa watu Iman mbaya Zaid yake ya wao kufikiria kua yeye ndio sababu kwa mambo anayo yafanya na kuyaongea juzi Anamjibu mtu kwenye Mitandao ya kijamii kua nanukuu "kwani diamond ndio mtoto wake pekee si anamtoto mwingine mkubwa aende akamsaidie Kwan mpaka Diamond" dah Mama diamond muogope Mungu

Narudia Tena mimi Binafs sion dhambi kubwa ya mtoto kumtesa mzee Abdul vile kwa dam yake kama hakukataa mimba na kuitelekeka Familia

Mbaya Zaid Baba Diamond kafika mbali na kusema kua akifa Diamond asiendee kumzika hii sio poa kabisa Diamond Baba yako uyo embu fikiria pemben bila kumshirikisha mama yako alafu upime unacho fanya ni Sawa?

Diamond kama muislam halisi hakupaswa kumsikiliza mama yake pekee pia ilikuwa ni vyema pesa zake zingetumika katika kuwaunganisha tena upya baba na mama yake
 
Kabla sijawajua wanawake pengine ningekuwa na mtazamo tofauti na nilio nao sasa ila kwa kuwa ninaelewa ni ugumu kiasi gani kuishi na mwanamke under the same roof especially wenye midomo michafu niko upande wa baba yake Diamond.

Huyo bi. Sandra alikuwa mwanamke wa hovyo since then ila tu hakupata nafasi ya kuvimba. Sasahizi ndio anaonekana true colors zake ila so far hata chanzo cha ugomvi huenda ni infidelity issues pamoja na kiburi na domo lake chafu. Kwa mwanaume anaejiweza obvious lazma ataopt kujiweka pembeni au kuwa na mipango kando huku akiendelea kuishi na mwanamke mkorofi kulinda tu heshima ya familia.

Ila kwa bwana Abdul naona yeye aliamua kujitenga kabisa na huyo mwanamke na ndio akampa rum ya kummezesha sumu dogo diamond kuwa baba yako hatujali, ona anaendekeza umalaya tu ila kimsingi yeye ndio chanzo. Yani kwa kumtazama anaonekana ni wale wanawake wapenda ligi ya maneno mtabishana mwisho unamtia vitasa tu.
 
Diamond na babayake wote akili zinafanana, hakuna wa kumcheka mwenzake.

Binafsi sijalelewa na baba hivyo hayo machungu nayaelewa, ila unapomwacha baba yako kwa kukutelekeza then unalea kiben ten cha mama yako ambacho na chenyewe hakikuwa na msaada vile vile kwenye maisha yako ni UJUHA.

Labda ni masharti ya MGANGA maana waswahili wana mambo mengi.
1-Jamaa anamla Bi Mkubwa wake ,na moja ya magonvi yalokuwepo kati ya Bi mkubwa wake na Zari ni juu ya Diamond .

2-Mashariti alopewa .


Jamaa yupo tayari kugawa kondom bure, lkn hayupo tayri kumsaidia Mzee wake.
 
Mwanamke ambaye amezaa na watu tofauti tofauti ni dhahiri alikuwa mdangaji wa kiaina flani na si mtu wa kuridhika na matunzo ya mume. Sasa imagine na wewe kidume unajiweza si lazima uvimbe ili kumkata ngebe mwanamke jeuri. Kitu alikosea mzee abdul alitakiwa amtimue mama abakie na mtoto tu. Sema ujana nao ulikuwa umepamba moto ukizingatia alikuwa sukari ya warembo.
 
Hiyo picha haitoshi kuthibitisha kama mzee baba alikuwa anaipenda familia yake

Ukiangalia hiyo picha kwa umakini inaonyesha hapo Diamond na mama yake walienda nyumbani kwa mzee baba na inawezekana mama Diamond hapo alifuata pesa ya matunzo ya mtoto sijui kama alipewa au hakupewa

Pia inaonyesha mzee baba ana furaha lakini mama mond hana furaha yani hapo kuna kitu hakipo sawa

Lakini pia Diamond na mama yake walikuwa wanaishi Tandale na mzee baba alikuwa anaishi manzese ki uhalisia tandale na manzese ni eneo moja tu hivyo mzee baba alikuwa na nafasi ya kuonyesha upendo kwa mtoto wake

Ila ni bora hamsamehe tu maana ameshajifunza mengi sana
Mfano kama mama yake hakupewa pesa za matunzo ndy ashindwe kumsaidia baba yake?

Wewe baba yako aliweza kukupa kila ulichohitaji utotoni?

Je huwezi kumsaidia?

Lazima ujuwe jinsi ya kutofautisha kati ya kukosa pesa,,na kukataa kutoa pesa.
 
Mfano kama mama yake hakupewa pesa za matunzo ndy ashindwe kumsaidia baba yake?

Wewe baba yako aliweza kukupa kila ulichohitaji utotoni?

Je huwezi kumsaidia?

Lazima ujuwe jinsi ya kutofautisha kati ya kukosa pesa,,na kukataa kutoa pesa.
Yeah kuna tofauti kubwa sana, kuna ile mtu hana na hawezi kukusaidia ila kuna ile mtu anazo na ushahidi wa kimazingira upo kabisa ila hakupi.
 
1-Jamaa anamla Bi Mkubwa wake ,na moja ya magonvi yalokuwepo kati ya Bi mkubwa wake na Zari ni juu ya Diamond .

2-Mashariti alopewa .


Jamaa yupo tayari kugawa kondom bure, lkn hayupo tayri kumsaidia Mzee wake.
Hivi hii scandal ni kweli? Jamaa anamtafuna bi.mkubwa kama siri ya utajiri wake?
 
Kabla sijawajua wanawake pengine ningekuwa na mtazamo tofauti na nilio nao sasa ila kwa kuwa ninaelewa ni ugumu kiasi gani kuishi na mwanamke under the same roof especially wenye midomo michafu niko upande wa baba yake Diamond.

Huyo bi. Sandra alikuwa mwanamke wa hovyo since then ila tu hakupata nafasi ya kuvimba. Sasahizi ndio anaonekana true colors zake ila so far hata chanzo cha ugomvi huenda ni infidelity issues pamoja na kiburi na domo lake chafu. Kwa mwanaume anaejiweza obvious lazma ataopt kujiweka pembeni au kuwa na mipango kando huku akiendelea kuishi na mwanamke mkorofi kulinda tu heshima ya familia.

Ila kwa bwana Abdul naona yeye aliamua kujitenga kabisa na huyo mwanamke na ndio akampa rum ya kummezesha sumu dogo diamond kuwa baba yako hatujali, ona anaendekeza umalaya tu ila kimsingi yeye ndio chanzo. Yani kwa kumtazama anaonekana ni wale wanawake wapenda ligi ya maneno mtabishana mwisho unamtia vitasa tu.
Huyu mama anaonekana ni mzinzi,mpenda Shari,jeuri,kiburi,mwenye tabia ya kuweka kinyongo na asiyejiheshimu. Ni kweli inawezekana mzee alipiga chini kujiepusha na kero hizo
 
Habari wadau kama mtakua mnatembelea mitandao ya kijamii naamini Habari kubwa sasaiv ni Diamond na baba yake watu wamekua na maswal mengi kila mtu ameuliza lake na bila kupata Majibu Bali kubaki na maswali yalio zalishwa na swali

Mimi binafs niende moja kwa moja kwenye hoja. Na kusema kwa akil zangu timam nikiangalia situation ya maisha ya Mama Diamond anavyo ishi anavyo jiweka na maisha ya Baba Diamond Iman yangu inaniambia kua Mama kamlisha Sumu mbaya Sana Mwanae. Na kila siku inapo kucha Diamond anazid kuambiwa Mengi Tena kwa ukaribu Zaid na mama yake juu ya baba yake

Kwanini Diamond hataki kumsamehe Baba yake kumpa hata 10k kwa siku ili imsaidie?

Ni kosa gani kubwa kalifanya Baba Diamond wakat hakukataa Mimba ya Diamond na apo awal inaonyeaha wazi kabisa Diamond na baba yake na mama yake walikua ni Familia yenye furaha? Kipi kilitokea mpaka Leo hii Diamond hatak kumsaidia Baba yake? Mana sidhan kama mzaz hakukataa Mimba akailea mpaka uka kua Baada ya apo hakuna kosa lisilo sameheka kwa Baba au mama utamuukum kwa lip mzaz alie kulea mpaka ukakua na Kuanza kujieleza?

Wanawake kama mmepanda zao wote pamoja basi na kwenye mavuno iwe ivyo ivyo Pia ningependa kumshaur mama Diamond aache kuwapa watu Iman mbaya Zaid yake ya wao kufikiria kua yeye ndio sababu kwa mambo anayo yafanya na kuyaongea juzi Anamjibu mtu kwenye Mitandao ya kijamii kua nanukuu "kwani diamond ndio mtoto wake pekee si anamtoto mwingine mkubwa aende akamsaidie Kwan mpaka Diamond" dah Mama diamond muogope Mungu

Narudia Tena mimi Binafs sion dhambi kubwa ya mtoto kumtesa mzee Abdul vile kwa dam yake kama hakukataa mimba na kuitelekeka Familia

Mbaya Zaid Baba Diamond kafika mbali na kusema kua akifa Diamond asiendee kumzika hii sio poa kabisa Diamond Baba yako uyo embu fikiria pemben bila kumshirikisha mama yako alafu upime unacho fanya ni Sawa?

Hivi kwa nini msijichange Buku buku kama mna uchungu sana na huyo mzee kuliko kumwandama kila siku mtoto wa watu???

Hata ukiangalia mahojiano yake na vyombo vya habari mzee yupo very humble kuonesha yeye anatambua makosa yake.

Halafu ukifuatilia nyuzi za huyu mtoa mada ni timu kiba yaani baada ya kuachwa kwenye mziki ndio mnakuja kuvamia familia yake??? Unatia aibu mzee.
hivi ina maana hamjui ommy Dimpoz, mwana fa mbunge wametelekeza baba zao???
 
Back
Top Bottom