Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

Honestly tukisema ni mambo ya familia na huyu diamond ni kioo cha jamii tukisema tukae kimya haitasaidia maana tunajifunza.

Honestly najisikia vibaya sana kama mwanamke. Naumia kutoka moyoni kuona ukatili wa mama kama hivi. Hapa mtu asijitokeze aseme kwamba sijui hatujui uchungu wa kuwa single mothers. Hapa majority tuko raised na mama zetu. Watu tuna mikasa na baba zetu sana sana sana na sababu siyo sisi. Ni mama zetu pia. Sisi wanawake most of times tunapenda sana kuplay victim. Tunazingua sana. Tusipende all the time tuwatupia wanaume lawama. Katika mahusiano mtu akikuelezea madhaifu ya partner wake tu na yete akajiweka katika hali ya usafi jua kuna shida. Hakunaga mahusiano perfect unless mmoja wapo hajapenda kweli ama wote mnachezeana drammar. Sisi wanawake hatupendagi kabisa kuweka madhaifu yetu hadharani.

Sasa mama dai nakumbuka amewahi kushutumiwa na baba dai kwamba kipindi wako pamoja amewahi msaliti. Alimfumania. Kuna maisha huyu mama alikua akiyapenda na kutaman kuyaishi. So alipopata mwanaume mwenye hela akameona kama baba dai hana thamani. Basi baba dai akatembea mbele. Hata suala la mimba lilikua na mushkeli.
Kwamba mama dai alikua akiyapenda maisha ya juu sana. Ana ulimbukeni. Mshamba. Hata kama unafurahia maisha ya mwanao na mafanikio siyo kihivyo. Mbaya zaidi ndo hivyo analelea viben ten. Watu.mnaweza sema sijui ni maisha ya watu lakini kumbukeni na sisi tuna watoto. Yataturudia. Sidhan kama kuna mwanamke atatamani mwanae wa kiume aje kuishi maisha ya shamte.

Wamama wanawalisha sana sumu watoto wao. Wamejawa na ubinafsi sana. Yuko rafiki yetu mama yake na baba yake kila mmoja sasa hv anaishi nyumba yake. Mama kajitenga. Kajitoa kwa nyumba kubwa kahamia nyumba ya mtoto wake wa kiume ya nje. Mama anajipia na mama anajipia kivyake. Baba aliparalyse[emoji26] anaendelea poa kwa sasa. Nyimba ya baba ni chafu balaa. Cha kuhuzunisha saaa.. mama hataki mtoto ampe baba yake hata sumni. Hata mtoto amnunilie babake sijui saa sijui nn. Chochote hataki. Si uchawi huo jamani? Uzuri ni vile mwanae anasimamia uanaume. Siyo kama dai na ujinga wake. Dai siyo mtoto. Ni mpumbavu. Anakosa baraka za baba hivihivj. Na hata baba angekua amekosea kiasi gani, bado ndo baba. Anastahili upendo. Baba ni huyohuyo. Kuna siku atamtafuta amkose hata asipokiri kwa halaiki. Haimaanishi kwamba wababa hawazingui lakini kusambaza chuki itatutafina sana wanawake. Waacheni watoto wakue wajionee wenyewe maana siku hizi watoto wadogo wanaelewa kila kitu. Watafanya maamuzi wenyewe.

Halaf dai anasahau karma never misses address. Anayofanya na yeye ni baba. Hatoamini watoto watakapofungamana na mama yao wamtenge pia kama anavyomfanyia babake.
I love you babangu. Mungu akulinde kwa kila hatua.
 
Honestly tukisema ni mambo ya familia na huyu diamond ni kioo cha jamii tukisema tukae kimya haitasaidia maana tunajifunza.

Honestly najisikia vibaya sana kama mwanamke. Naumia kutoka moyoni kuona ukatili wa mama kama hivi. Hapa mtu asijitokeze aseme kwamba sijui hatujui uchungu wa kuwa single mothers. Hapa majority tuko raised na mama zetu. Watu tuna mikasa na baba zetu sana sana sana na sababu siyo sisi. Ni mama zetu pia. Sisi wanawake most of times tunapenda sana kuplay victim. Tunazingua sana. Tusipende all the time tuwatupia wanaume lawama. Katika mahusiano mtu akikuelezea madhaifu ya partner wake tu na yete akajiweka katika hali ya usafi jua kuna shida. Hakunaga mahusiano perfect unless mmoja wapo hajapenda kweli ama wote mnachezeana drammar. Sisi wanawake hatupendagi kabisa kuweka madhaifu yetu hadharani.

Sasa mama dai nakumbuka amewahi kushutumiwa na baba dai kwamba kipindi wako pamoja amewahi msaliti. Alimfumania. Kuna maisha huyu mama alikua akiyapenda na kutaman kuyaishi. So alipopata mwanaume mwenye hela akameona kama baba dai hana thamani. Basi baba dai akatembea mbele. Hata suala la mimba lilikua na mushkeli.
Kwamba mama dai alikua akiyapenda maisha ya juu sana. Ana ulimbukeni. Mshamba. Hata kama unafurahia maisha ya mwanao na mafanikio siyo kihivyo. Mbaya zaidi ndo hivyo analelea viben ten. Watu.mnaweza sema sijui ni maisha ya watu lakini kumbukeni na sisi tuna watoto. Yataturudia. Sidhan kama kuna mwanamke atatamani mwanae wa kiume aje kuishi maisha ya shamte.

Wamama wanawalisha sana sumu watoto wao. Wamejawa na ubinafsi sana. Yuko rafiki yetu mama yake na baba yake kila mmoja sasa hv anaishi nyumba yake. Mama kajitenga. Kajitoa kwa nyumba kubwa kahamia nyumba ya mtoto wake wa kiume ya nje. Mama anajipia na mama anajipia kivyake. Baba aliparalyse[emoji26] anaendelea poa kwa sasa. Nyimba ya baba ni chafu balaa. Cha kuhuzunisha saaa.. mama hataki mtoto ampe baba yake hata sumni. Hata mtoto amnunilie babake sijui saa sijui nn. Chochote hataki. Si uchawi huo jamani? Uzuri ni vile mwanae anasimamia uanaume. Siyo kama dai na ujinga wake. Dai siyo mtoto. Ni mpumbavu. Anakosa baraka za baba hivihivj. Na hata baba angekua amekosea kiasi gani, bado ndo baba. Anastahili upendo. Baba ni huyohuyo. Kuna siku atamtafuta amkose hata asipokiri kwa halaiki. Haimaanishi kwamba wababa hawazingui lakini kusambaza chuki itatutafina sana wanawake. Waacheni watoto wakue wajionee wenyewe maana siku hizi watoto wadogo wanaelewa kila kitu. Watafanya maamuzi wenyewe.

Halaf dai anasahau karma never misses address. Anayofanya na yeye ni baba. Hatoamini watoto watakapofungamana na mama yao wamtenge pia kama anavyomfanyia babake.
I love you babangu. Mungu akulinde kwa kila hatua.
Vipi Queen Darleen naye,mama yake naye alikuwa mcharuko? au alikuwa anapenda maisha ya juu? au naye alikuwa anapenda viben ten?

Umezalisha mwanamke wa kwanza ukamtelekeza,wa pili naye umezalisha ukatelekeza,still mpaka hapo bado una mlaumu huyo Mama,yaani wanawake wawili wote wawe na matatizo,hilo haliwezekani.
 
Vipi Queen Darleen naye,mama yake alikuwa mcharuko? au alikuwa anapenda maisha ya juu? au naye alikuwa anapenda viben ten?

Umezalisha mwanamke wa kwanza ukamtelekeza,wa pili naye umezalisha ukatelekeza,still mpaka hapo bado una mlaumu huyo Mama,yaani wanawake wawili wote wawe na matatizo,hilo haliwezekani.
Kwanini tuguess mkuu? Wao kushindwana ni kawaida. Hapa tunaongelea hizi chuki. Kwani wangapi wanaachana na still wanaishi vizuri tu? Usimchukie baba wala mama. Hawana mbadala
 
Kwanini tuguess mkuu? Wao kushindwana ni kawaida. Hapa tunaongelea hizi chuki. Kwani wangapi wanaachana na still wanaishi vizuri tu? Usimchukie baba wala mama. Hawana mbadala

Nimekuuliza hujanibu kuhusu mama yake Queen Darleen?

Hata wana saikolojia wanasisitiza hamna kitu kibaya kama kumfanyia ubaya mtoto wako akiwa anaona,ni sawa na kumpiga muhuri wa moto kwenye moyo.

Bora hata Diamond ana msaidia baba yake,japo mzee anataka apewe nafasi kama ya mama na Diamond hajawahi kabisa kumzungumzia vibaya mzee wake,ila kuna wengine kama Ommy na Mwana Fa hawa ndio kabisa hawataki hata kuwasikia baba zao.

Wewe kubali mzee alikuwa bingwa wa kutia mimba na kuacha na kama Mondi angekuwa anaendaelea kuuza mitumba sizani kama angemtafuta.
 
Nimekuuliza hujanibu kuhusu mama yake Queen Darleen?

Hata wana saikolojia wanasisitiza hamna kitu kibaya kama kumfanyia ubaya mtoto wako akiwa anaona,ni sawa na kumpiga muhuri wa moto kwenye moyo.

Bora hata Diamond ana msaidia baba yake,japo mzee anataka apewe nafasi kama ya mama na Diamond hajawahi kabisa kumzungumzia vibaya mzee wake,ila kuna wengine kama Ommy na Mwana Fa hawa ndio kabisa hawataki hata kuwasikia baba zao.

Wewe kubali mzee alikuwa bingwa wa kutia mimba na kuacha na Mondi angekuwa anaendaelea kuuza mitumba sizani kama angemtafuta.
Naomba wewe utuambie mama Queen alifanyiwa kibaya kipi. Na mbona queen na baba yake wanaelewana vizuri sana mkuu?
Kwamba watu wakiachana sababu jamaa ni anakua mtia mimba tu? Si kweli. Mama queen alishafariki. Na maisha yameendelea.

Na utasemaje baba mbaya wakati mpaka form 2 baba analea? Mama dai hapo ukimuangalia unaona kbs ni shankupe.

Kuhusu hao unaowataja sijui kwakua sijaona issue zao na hazijawa raised kwa extent ya baba dai.

Wewe ni mkristu kweli?.
Maandiko yanasemaje jui ya wazazi wetu?
Na vipi juu ya kisasi?
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Izi tabia niza watoto wa kike Mwanaume unaacha kufanya kazi zako kufatilia familia za watu kisa tu wana umaarufu.

Labda Mr.Mbea nikuulize Mzee Abdul anawatotk wangapi?

Watoto wake wengine wao wanashughulikaje na Baba yao unafahamu?

Makubaliano ya Baba na Mwanae wanapopeana pesa uwa unakuepo?

Nliwai kuona baadhi ya Clip mzee akiwa na Demu kijana inamaana yeye pia anamaisha yake na utafutaji wake maana alikua anazunguka kupiga show za nyimbo ya Jujulayuyu.

nikisema labda mzee anasaidiwa ila anatumia umaarufu au kipato cha mtoto wake kumkomoa ntakua nakosea?

Unafahamu mzee anamtoto mkubwa zaidi ata ya Diamond na hii nliijua baada ya masakamo ya watu kwa Mama wa Diamond je uyu mkubwa anaplay part gani kwa mzee?

Unafahamu familia ngingi zikiona mtu flan amefanikiwa sasa wao ndo wanaanza msakama kwa misaada mwisho wa siku atafel tu na hii ndo inasababisha kitu inaitwa “Vicious cycle of povert”

Ukijibu maswali yangu kiufasaha na kwa hoja ntakuona umeelika zaidi ya apo acha shobo na familia za watu wewe pia kuna ndugu zako uko ata Mama mdogo wako unakaa ata miezi 5 haumjulii hali na still halalamiki
 
Naomba wewe utuambie mama Queen alifanyiwa kibaya kipi. Na mbona queen na baba yake wanaelewana vizuri sana mkuu?
Kwamba watu wakiachana sababu jamaa ni anakua mtia mimba tu? Si kweli. Mama queen alishafariki. Na maisha yameendelea.

Na utasemaje baba mbaya wakati mpaka form 2 baba analea? Mama dai hapo ukimuangalia unaona kbs ni shankupe.

Kuhusu hao unaowataja sijui kwakua sijaona issue zao na hazijawa raised kwa extent ya baba dai.

Wewe ni mkristu kweli?.
Maandiko yanasemaje jui ya wazazi wetu?
Na vipi juu ya kisasi?
Umeyataja mabaya ya mama Chibu,ndio chanzo cha kumtelekeza mtoto ndio nika kuuliza ina maana mama yake Darleen naye alukuwa mcharuko,hujanijibu?

Hivi ushawahi kusikia mahojiano aliyo yafanya Queen Darleen na Baba yake kwenye kipindi cha Shelawadu miaka 3 iliyopita,sikiliza ndio utapata picha halisi huyo mzee alimfanya nini Mama yake Queen Darleen.


Mpaka form 2 ulikuwepo?

Alafu sio kwamba issues zao hazijawa raised ila hawataki kuelezea magumu waliyo pitia,anaona kama ana liongelea shetani.

Maandiko hayo hayo kwa sisi wakristo ambayo aliya tamka Yesu.wenyewe yanasema,ANAYE KATAA KUBEBA MSALABA WAKE HANIFAI,sasa jiulize baba yake Diamond alibeba msalaba wake wa kuwatunza na kulea watoto wake wote wawili.

Alafu sio hamsaidii Diamond wana msaidia mzee,ila mzee anataka,apewe hadi kama ya mama.Sikufichi watoto wanapenda kumsaidia mzee ila mzee ndiye anawavunja nguvu. kwa kupenda kuwa kwenye makamera kila siku,tizama hii video
 
Vipi Queen Darleen naye,mama yake naye alikuwa mcharuko? au alikuwa anapenda maisha ya juu? au naye alikuwa anapenda viben ten?

Umezalisha mwanamke wa kwanza ukamtelekeza,wa pili naye umezalisha ukatelekeza,still mpaka hapo bado una mlaumu huyo Mama,yaani wanawake wawili wote wawe na matatizo,hilo haliwezekani.
Sasa unafikir qween Darleen atamchekea baba yake wakat anategemea Kila kitu kwa diamond
 
Umeyataja mabaya ya mama Chibu,ndio chanzo cha kumtelekeza mtoto ndio nika kuuliza ina maana mama yake Darleen naye alukuwa mcharuko,hujanijibu?

Hivi ushawahi kusikia mahojiano aliyo yafanya Queen Darleen na Baba yake kwenye kipindi cha Shelawadu miaka 3 iliyopita,sikiliza ndio utapata picha halisi huyo mzee alimfanya nini Mama yake Queen Darleen.


Mpaka form 2 ulikuwepo?

Alafu sio kwamba issues zao hazijawa raised ila hawataki kuelezea magumu waliyo pitia,anaona kama ana liongelea shetani.

Maandiko hayo hayo kwa sisi wakristo ambayo aliya tamka Yesu.wenyewe yanasema,ANAYE KATAA KUBEBA MSALABA WAKE HANIFAI,sasa jiulize baba yake Diamond alibeba msalaba wake wa kuwatunza na kulea watoto wake wote wawili.

Alafu sio hamsaidii Diamond wana msaidia mzee,ila mzee anataka,apewe hadi kama ya mama.Sikufichi watoto wanapenda kumsaidia mzee ila mzee ndiye anawavunja nguvu. kwa kupenda kuwa kwenye makamera kila siku,tizama hii video
Uyo chawa tu hawezi kua Upande wa baba yake uyo si ndie alie Sema kua diamond ndio baba yake
 
Yule mama ukimuangalia ni mama flani wa ajabu ajabu. Lazima Diamond kalishwa maneno sana, mama mstaarabu hawezi kudate na yule kijana anayekaribia kulingana na mwanae
 
Umeyataja mabaya ya mama Chibu,ndio chanzo cha kumtelekeza mtoto ndio nika kuuliza ina maana mama yake Darleen naye alukuwa mcharuko,hujanijibu?

Hivi ushawahi kusikia mahojiano aliyo yafanya Queen Darleen na Baba yake kwenye kipindi cha Shelawadu miaka 3 iliyopita,sikiliza ndio utapata picha halisi huyo mzee alimfanya nini Mama yake Queen Darleen.


Mpaka form 2 ulikuwepo?

Alafu sio kwamba issues zao hazijawa raised ila hawataki kuelezea magumu waliyo pitia,anaona kama ana liongelea shetani.

Maandiko hayo hayo kwa sisi wakristo ambayo aliya tamka Yesu.wenyewe yanasema,ANAYE KATAA KUBEBA MSALABA WAKE HANIFAI,sasa jiulize baba yake Diamond alibeba msalaba wake wa kuwatunza na kulea watoto wake wote wawili.

Alafu sio hamsaidii Diamond wana msaidia mzee,ila mzee anataka,apewe hadi kama ya mama.Sikufichi watoto wanapenda kumsaidia mzee ila mzee ndiye anawavunja nguvu. kwa kupenda kuwa kwenye makamera kila siku,tizama hii video
Mkuu, naona umejipa kazi ya Mungu kuhukumu aisee. Hata angempa kama ya mama hake still sioni shida.

Au mpaka tuanze andika ya baba zetu humu ndo muelewe madhaifu ya upande wa pili ya sisi wanawake? Haya mambo ya visasi mabaya sana. Wamama tunapenda sana visasi. Wewe usiongee ukayamaliza yote. Bado tunaishi mkuu. Haya maisha yaache tu. Wamama wamebeba siri nyingi viduani mwao wanatembea na siri zao.
 
Mkuu, naona umejipa kazi ya Mungu kuhukumu aisee. Hata angempa kama ya mama hake still sioni shida.

Au mpaka tuanze andika ya baba zetu humu ndo muelewe madhaifu ya upande wa pili ya sisi wanawake? Haya mambo ya visasi mabaya sana. Wamama tunapenda sana visasi. Wewe usiongee ukayamaliza yote. Bado tunaishi mkuu. Haya maisha yaache tu. Wamama wamebeba siri nyingi viduani mwao wanatembea na siri zao.
Sija hukumu au wewe sio mkristu maneno yapo kwenye masomo ya ijili, Yesu mwenye alisema ASIYE KUBALI KUUBEBA MSALABA WAKE HANIFAI,sijamuhukumu ila alichokifanya kina reflect alicho kiongea Yesu.

Wamama ndio wanapenda visasi LAKINI HAIWEZEKANI WAMAMA WAWILI WAWE WOTE WANAPENDA KISASI,manake ni kama umemweka mzee Abdul kwenye kundi la malaika,pamoja na kulirudia kosa moja mara mbili kwa wanawake wawili tofauti.
 
Back
Top Bottom