The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Yapi hayo niliyoyachagua tangu mwanzo? ulifikiri ukija na lugha za kipumbavu ningekuchekea Eeeh! Wewe una point gani ya maana uliyoileta zaidi ya kujifanya mjuaji wakati huna ujualo,unashindwa kusoma comment ya mtu na kuielewa amekusudia nini ila unakuja na argument zako za Darasa la pili tu.Hayo ndio uliyoyaacha tangu mwanzo, lakini huna pointi yoyote ya maana.
Yapi hayo niliyoyachagua tangu mwanzo? ulifikiri ukija na lugha za kipumbavu ningekuchekea Eeeh! Wewe una point gani ya maana uliyoileta zaidi ya kujifanya mjuaji wakati huna ujualo,unashindwa kusoma comment ya mtu na kuielewa amekusudia nini ila unakuja na argument zako za Darasa la pili tu.
Aisee! Eti unamuweka mtu akiba ili uje utukane siku nyingine!Mimi sio najifanya, mimi najua. Sasa hivi siko kwenye mood ya matusi, ngoja nikuweke akiba tu.
Aisee! Eti unamuweka mtu akiba ili uje utukane siku nyingine!
Hivi wewe ni timamu kweli?
Lugha chafu uliianza wewe,mimi nimeendeleza tu ulipoishia wewe,Kwasababu unalugha chafu, ndio.
Lugha chafu uliianza wewe,mimi nimeendeleza tu ulipoishia wewe,
soma comment yako ya kwanza uliyonijibu ulitumia lugha safi?
nakushauri hiyo siku uliyoichagua uje umejipanga kisawasawa.
Daribini zetu zinasema kwamba,,,So vipi kama jamaa aliwafukuza mtoto na mamake kama mbwa na matusi juu?..lazima tujue kuna kitu kikubwa kilitokea ambacho hakisemwi
Dah mkuu, kama huna uhakika wa haya ni vyema kuyaepusha kakaIle kumwita uncle ni kuhalalisha haramu..
Yaani Diamond fala sana,,nasikia hata vumbi la congo anamnunulia huyo uncle ili amsuguwe vizuri mama yake.
Yanayozungumzwa mitaani mkuu.
Uzi ufungweUkiiangalia kwa makini hyo picha inaonyesha huyo mama alikuwa na njaa sana,,
Na huyo baba diamond alikuwa yupo vzr kimaisha.
Inaonyesha huyo mama alikuwa mpenda pesa sana,,
Na alipenda maisha ya starehe lakini hakuyapata kwa wakati huo.
Ndy maana kinachomsumbuwa sasa ni ushamba na ulimbukeni wa kukosa maisha mazuri ujanani.
Huyo mama aliyaota hayo maisha toka zamani na kayapata ..anaona hata akirudiana na mzee wake wa nini?Mwanamke ambaye amezaa na watu tofauti tofauti ni dhahiri alikuwa mdangaji wa kiaina flani na si mtu wa kuridhika na matunzo ya mume. Sasa imagine na wewe kidume unajiweza si lazima uvimbe ili kumkata ngebe mwanamke jeuri. Kitu alikosea mzee abdul alitakiwa amtimue mama abakie na mtoto tu. Sema ujana nao ulikuwa umepamba moto ukizingatia alikuwa sukari ya warembo.
Tatizo anahis na baba diamond atapata dogo dogo alafu yawe mashindanoHuyo mama aliyaota hayo maisha toka zamani na kayapata ..anaona hata akirudiana na mzee wake wa nini?
Anataka asuguliwe na kijana/kibenten huku pesa ipo kwa mwanae kazi yake kula bata na kupakuliwa kipimo cha nguvu na jamaa ...!
Apewe nini tena? Mzee Abdul anaona atamtilia nuksi tu.
Ukiachana na mkeo chukua mtoto kama unaweza
Mbona baba Diamond tayari ana mke na watoto kama wawili,kaiangalie interview aliyofanya na Soudybrown utawaona watoto wake wengine.Tatizo anahis na baba diamond atapata dogo dogo alafu yawe mashindano
Mbona fasta tu hachelewiTatizo anahis na baba diamond atapata dogo dogo alafu yawe mashindano
Naunga mkono hoja.Ila zingatia matumizi sahihi ya lugha yetu adhimu ya kiswahili.Habari wadau kama mtakua mnatembelea mitandao ya kijamii naamini Habari kubwa sasaiv ni Diamond na baba yake watu wamekua na maswal mengi kila mtu ameuliza lake na bila kupata Majibu Bali kubaki na maswali yalio zalishwa na swali
Mimi binafs niende moja kwa moja kwenye hoja. Na kusema kwa akil zangu timam nikiangalia situation ya maisha ya Mama Diamond anavyo ishi anavyo jiweka na maisha ya Baba Diamond Iman yangu inaniambia kua Mama kamlisha Sumu mbaya Sana Mwanae. Na kila siku inapo kucha Diamond anazid kuambiwa Mengi Tena kwa ukaribu Zaid na mama yake juu ya baba yake
Kwanini Diamond hataki kumsamehe Baba yake kumpa hata 10k kwa siku ili imsaidie?
Ni kosa gani kubwa kalifanya Baba Diamond wakat hakukataa Mimba ya Diamond na apo awal inaonyeaha wazi kabisa Diamond na baba yake na mama yake walikua ni Familia yenye furaha? Kipi kilitokea mpaka Leo hii Diamond hatak kumsaidia Baba yake? Mana sidhan kama mzaz hakukataa Mimba akailea mpaka uka kua Baada ya apo hakuna kosa lisilo sameheka kwa Baba au mama utamuukum kwa lip mzaz alie kulea mpaka ukakua na Kuanza kujieleza?
Wanawake kama mmepanda zao wote pamoja basi na kwenye mavuno iwe ivyo ivyo Pia ningependa kumshaur mama Diamond aache kuwapa watu Iman mbaya Zaid yake ya wao kufikiria kua yeye ndio sababu kwa mambo anayo yafanya na kuyaongea juzi Anamjibu mtu kwenye Mitandao ya kijamii kua nanukuu "kwani diamond ndio mtoto wake pekee si anamtoto mwingine mkubwa aende akamsaidie Kwan mpaka Diamond" dah Mama diamond muogope Mungu
Narudia Tena mimi Binafs sion dhambi kubwa ya mtoto kumtesa mzee Abdul vile kwa dam yake kama hakukataa mimba na kuitelekeka Familia
Mbaya Zaid Baba Diamond kafika mbali na kusema kua akifa Diamond asiendee kumzika hii sio poa kabisa Diamond Baba yako uyo embu fikiria pemben bila kumshirikisha mama yako alafu upime unacho fanya ni Sawa?
Kwani kuachana naye ndio anakuwa siye baba wa Diamond?Mbona baba Diamond tayari ana mke na watoto kama wawili,kaiangalie interview aliyofanya na Soudybrown utawaona watoto wake wengine.
Alivyo achana na Mama yake Diamond akavuta jiko jingine.
Baba anaweza kuzaa watoto wengi,Ila mtoto hawezi kuzaliwa na baba zaidi ya mmoja. Hivyo Diamond na wengine wenye tabia Kama hizo waache mara moja.Usiposamehe husamehewi na mwenyezi Mungu.Habari wadau kama mtakua mnatembelea mitandao ya kijamii naamini Habari kubwa sasaiv ni Diamond na baba yake watu wamekua na maswal mengi kila mtu ameuliza lake na bila kupata Majibu Bali kubaki na maswali yalio zalishwa na swali
Mimi binafs niende moja kwa moja kwenye hoja. Na kusema kwa akil zangu timam nikiangalia situation ya maisha ya Mama Diamond anavyo ishi anavyo jiweka na maisha ya Baba Diamond Iman yangu inaniambia kua Mama kamlisha Sumu mbaya Sana Mwanae. Na kila siku inapo kucha Diamond anazid kuambiwa Mengi Tena kwa ukaribu Zaid na mama yake juu ya baba yake
Kwanini Diamond hataki kumsamehe Baba yake kumpa hata 10k kwa siku ili imsaidie?
Ni kosa gani kubwa kalifanya Baba Diamond wakat hakukataa Mimba ya Diamond na apo awal inaonyeaha wazi kabisa Diamond na baba yake na mama yake walikua ni Familia yenye furaha? Kipi kilitokea mpaka Leo hii Diamond hatak kumsaidia Baba yake? Mana sidhan kama mzaz hakukataa Mimba akailea mpaka uka kua Baada ya apo hakuna kosa lisilo sameheka kwa Baba au mama utamuukum kwa lip mzaz alie kulea mpaka ukakua na Kuanza kujieleza?
Wanawake kama mmepanda zao wote pamoja basi na kwenye mavuno iwe ivyo ivyo Pia ningependa kumshaur mama Diamond aache kuwapa watu Iman mbaya Zaid yake ya wao kufikiria kua yeye ndio sababu kwa mambo anayo yafanya na kuyaongea juzi Anamjibu mtu kwenye Mitandao ya kijamii kua nanukuu "kwani diamond ndio mtoto wake pekee si anamtoto mwingine mkubwa aende akamsaidie Kwan mpaka Diamond" dah Mama diamond muogope Mungu
Narudia Tena mimi Binafs sion dhambi kubwa ya mtoto kumtesa mzee Abdul vile kwa dam yake kama hakukataa mimba na kuitelekeka Familia
Mbaya Zaid Baba Diamond kafika mbali na kusema kua akifa Diamond asiendee kumzika hii sio poa kabisa Diamond Baba yako uyo embu fikiria pemben bila kumshirikisha mama yako alafu upime unacho fanya ni
Habari wadau kama mtakua mnatembelea mitandao ya kijamii naamini Habari kubwa sasaiv ni Diamond na baba yake watu wamekua na maswal mengi kila mtu ameuliza lake na bila kupata Majibu Bali kubaki na maswali yalio zalishwa na swali
Mimi binafs niende moja kwa moja kwenye hoja. Na kusema kwa akil zangu timam nikiangalia situation ya maisha ya Mama Diamond anavyo ishi anavyo jiweka na maisha ya Baba Diamond Iman yangu inaniambia kua Mama kamlisha Sumu mbaya Sana Mwanae. Na kila siku inapo kucha Diamond anazid kuambiwa Mengi Tena kwa ukaribu Zaid na mama yake juu ya baba yake
Kwanini Diamond hataki kumsamehe Baba yake kumpa hata 10k kwa siku ili imsaidie?
Ni kosa gani kubwa kalifanya Baba Diamond wakat hakukataa Mimba ya Diamond na apo awal inaonyeaha wazi kabisa Diamond na baba yake na mama yake walikua ni Familia yenye furaha? Kipi kilitokea mpaka Leo hii Diamond hatak kumsaidia Baba yake? Mana sidhan kama mzaz hakukataa Mimba akailea mpaka uka kua Baada ya apo hakuna kosa lisilo sameheka kwa Baba au mama utamuukum kwa lip mzaz alie kulea mpaka ukakua na Kuanza kujieleza?
Wanawake kama mmepanda zao wote pamoja basi na kwenye mavuno iwe ivyo ivyo Pia ningependa kumshaur mama Diamond aache kuwapa watu Iman mbaya Zaid yake ya wao kufikiria kua yeye ndio sababu kwa mambo anayo yafanya na kuyaongea juzi Anamjibu mtu kwenye Mitandao ya kijamii kua nanukuu "kwani diamond ndio mtoto wake pekee si anamtoto mwingine mkubwa aende akamsaidie Kwan mpaka Diamond" dah Mama diamond muogope Mungu
Narudia Tena mimi Binafs sion dhambi kubwa ya mtoto kumtesa mzee Abdul vile kwa dam yake kama hakukataa mimba na kuitelekeka Familia
Mbaya Zaid Baba Diamond kafika mbali na kusema kua akifa Diamond asiendee kumzika hii sio poa kabisa Diamond Baba yako uyo embu fikiria pemben bila kumshirikisha mama yako alafu upime unacho fanya ni Sawa?
Kwani kuachana naye ndio anakuwa siye baba wa Diamond?
Sehemu gani nimesema si baba yake?,kabla hujaitagi hii comment ungejitahidi kujua nimeanzia wapi.Kwani kuachana naye ndio anakuwa siye baba wa Diamond?