Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

Ukizaa kutunza mtoto ni wajibu wako wewe mzazi uliyeleta kiumbe duniani ila wewe kutunzwa na mtoto baadaye ni hisani tu, unaweza usiipate na hakuna kosa lolote hapo pia . Wote wenye watoto au mnaotarajia kuwa na watoto hili mnapaswa kulifahamu vizuri, ni jambo la aibu sana kulilia kutunzwa na watoto wako.
Inafikirisha sana.Mtu unamtunza vyema mama kabla hajazaa na baada,then ukikorofishana na huyo mama,unakomolewa na wote,yaani mama na mtoto.
 
Baba diamond, x wako kamwaga mboga wewe mwaga ugali. Mtwange laana huyo dogo ili mkose wote ndio mtaheshimiana.
 
Ukiangalia wanaoteseka juu ya Mondi na Baba yake ni hao hao wanaowasema Single Moms,

Story ya Mondi+Mama yake+Baba yake iwe fundisho kwa nyote mnaokimbia watoto wenu kwa magomvi yenu ninyi wazazi na pia iwe fundisho kumcheka na kumnyanyasa single mom,

Muacheni Mama afaidi matunda ya mwanae, wakati anazurura nae kwenye Bars na Clubs akipambania mwanae atoke kimziki hadi kuuza pete yake ya dhahabu ili mwamba arecord wimbo huyo baba alikua wapi?

Na kama mna uchungu sana, mchangieni ninyi kwani ni sadaka yenu hiyo.
 
Hakukuwa na mushkel wowote mkuu,,,

Huyo diamond anaitwa naseeb Abdul..

Huyo mzee ndy mzee Abdul naseeb..

Sasa kama angekuwa sio mwanae angempa jina la baba yake?

Huyo mama ndy muasisi wa sarakasi , mazingaombwe na maroroso yote yanayohusu ugomvi wa mzee Abdul..
Vitu vyote ni vya kutengeneza tu,,ili ahalalishe udhalimu wake.

Mama huyo ni zaidi ya koboko,,,,

Ndy maana hata leo hasiti kuionyesha jamii makunyanzi yake ya kizee hadharani,
.sababu ya kuwa na uso wa Mbuzi.
Amekuuliza swali zuri sana,

Kabla Mondi hajapata pesa na umaarufu uhusiano wake yeye na baba yake ulikuaje?

Nadhani ungejibu hilo.
 
Masingle mother wengi wanawaBrain wash sana watoto zao. Uenda ikawa ni mawenge ya wakina mama ila wanapandikiza chuki
 
Amekuuliza swali zuri sana,

Kabla Mondi hajapata pesa na umaarufu uhusiano wake yeye na baba yake ulikuaje?

Nadhani ungejibu hilo.
Uhusiano ulikuwa powa tu,,

Na ukumbuke siku zote hakuna mtoto atakayemkana baba yake kama mtoto hana kitu,,au hana mali..

Kuna pch hapo inamuonyesha baba diamond yupo na sepetu na mondi mwenyewe,,
Miaka kama 8 iliyopita.

Hapo kabla diamond hajachanganya kupesa,,
Kadiri anavyozidi kupaa ndipo mama anapozidi kuweka sumu za koboko.
 
Huwa sifurahi hata nikiona watoto wametelekezwa barabarani wanaomba omba huku kuna watu wengi matajiri wanaweza kuwachukuwa na kuwapa maisha mazuri anayostahili binadamu. Hata hivyo kutofurahi kwangu hakubadilishi kitu chochote na hakubadilishi ukweli kwamba kuna watu wengi wanazaa ila hawakupaswa kufanya hivyo.
Huyo mzee katengenezewa zengwe ambalo linaweza kumpata mwanaume yeyote yule.

Hata mtoto umsomeshe na kumpa kila kitu,,
Ikatokea siku moja amepewa sumu na mwanamke type ya huyo mama mondi,,

Hesabu umeumia mkuu..

Wanawake wana sumu Kali sana.
 
Wengi mnaomtetea baba yake Diamond inaonyesha hampendi tu lifestyle ya mama yake Diamond na mnakerwa na ukaribu wa Diamond na mama yake, zaidi ya hapo hamna hoja yoyote yenye mashiko.
Na nyie wanaume mnamotetea mama diamond ni wale wanaume aina ya uncle shamte,,

Baba marioo wa diamond.

Hakuna hoja yeyote.
 
Baba yake Diamond alikosa pesa au alishindwa kutoa pesa/alitelekeza familia?
hapo mwanzo huyo Mwanamke alimfukuza baba diamond kwao tandale.
Na huyo mama alikataa Mzee kuondoka na mondi,,

Kama unavyojuwa wanawake wengi hukimbilia kuchukuwa watoto pindi utokeapo ugomvi baina ya wazazi wawili.

Baada ya maisha kumchapa akamleta mtoto kwa mzee.

Huyo mzee alikuwa lofa tu,,na tangu mwanzo hana kitu,
Huyo mama maisha yake ni ya starehe kama unavyomuona sasa,

Mama anapiga virungu kila siku kwa jamaa..
Jamaa akisema leo sina inakuwa kesi.

Baada ya diamond kuanza kufanikiwa kimaisha akazidisha sumu kwa mtoto,,

Hata hyo pch unayoiona ni kumbukumbu aliyotoa baba diamond ,,

huyo mama hyo picha anaichukia kama covid 20.
Hataki hata kuitizama.
 
Uhusiano ulikuwa powa tu,,

Na ukumbuke siku zote hakuna mtoto atakayemkana baba yake kama mtoto hana kitu,,au hana mali..

Kuna pch hapo inamuonyesha baba diamond yupo na sepetu na mondi mwenyewe,,
Miaka kama 8 iliyopita.

Hapo kabla diamond hajachanganya kupesa,,
Kadiri anavyozidi kupaa ndipo mama anapozidi kuweka sumu za koboko.
Wengi humu mnaijua hiyo familia kwa picha na kusikia, hampo karibu nayo na hamjui lolote,
Lakini pia Mondi alishasema jinsi baba yake alivyokua hana habari nae hadi ikapelekea aishindwe kuendelea na masomo ya sekondari, wakati baba anaitwa 'baharia' anakula bata tu Magomeni,

Kusema kua mama yake amlisha sumu ni kumuonea huyo mama sababu Mondi amekua akiyashuhudia manyanyaso ya baba yake,

Mondi ni zao la single mom, muacheni mama yake ajidai nae, wakati mnawatukana single moms na kuwabeza kua ni malaya wasiojitambua hamkujua kua wanawalelea watoto wenu mliowakataa?

Leo mtoto katusua unajileta, hell No, kila mtu apambane na hali yake.
 
Nimeona kwenye mitandao ya wakenya wanajadili hii issue ya Diamond na babaake. Wale watu wako na opinion tofauti na wabongo. Aidha wabongo wengi ni vilaza au wanachuki binafsi na Diamond.
 
Ni moja ya vitu vinamfanya Diamond afanikiwe,

Wakipatana si kila Jambo litaharibika
 
Nimeona kwenye mitandao ya wakenya wanajadili hii issue ya Diamond na babaake. Wale watu wako na opinion tofauti na wabongo. Aidha wabongo wengi ni vilaza au wanachuki binafsi na Diamond.
Sababu wababa wa kibongo wanaona ni fashion kutelekeza familia zao, wanapuyanga huko baadae wanarudi kwenye wheelchair na kuanza kusumbua watu wale wale aliowatelekeza,
 
Aseee kwahiyo mama wa Queen na wa Diamond hawakuona mwanaume mwingine wa kuwalelea watoto wao wakampelekea huyu mzee abdul kwa makubaliano? TUMIA AKILI BASI

Soma vizuri kwa makini utaelewa hiyo message nliyoandika. Kuna fumbo hapo.
 
Sasa kosa lake nn hata Kama anaita media kupeleka ujumbe kwa diamond?

Huyo mtoto hana adabu,,

Mwache dunia itamfunza one day.
Dua za kuku hizo! Na kosa lake ni kutumika na media! Lakini yote kwa yote, tuache unafiki wa kujifanya mnamhurumia sana huyo mzee!!
 
Wengi humu mnaijua hiyo familia kwa picha na kusikia, hampo karibu nayo na hamjui lolote,
Lakini pia Mondi alishasema jinsi baba yake alivyokua hana habari nae hadi ikapelekea aishindwe kuendelea na masomo ya sekondari, wakati baba anaitwa 'baharia' anakula bata tu Magomeni,

Kusema kua mama yake amlisha sumu ni kumuonea huyo mama sababu Mondi amekua akiyashuhudia manyanyaso ya baba yake,

Mondi ni zao la single mom, muacheni mama yake ajidai nae, wakati mnawatukana single moms na kuwabeza kua ni malaya wasiojitambua hamkujua kua wanawalelea watoto wenu mliowakataa?

Leo mtoto katusua unajileta, hell No, kila mtu apambane na hali yake.
Sawa single mom,,tumekusikia.
 
Muangalie vzr huyo mama sura yake,,na hizo nguo zake,,utagunduwa kitu kilichomo moyoni mwake.

Alikuwa na njaa sana halafu anapenda vinono.

Halafu angalia hata mikono yake alivyoiweka ni kama ananyenyekea kitu fulani,,
Au kama kaomba kitu fulani sasa anakitilia msisitizo apewe.

Hapo itakuwa alikuja kupiga kizinga tu kwa mzazi mwenzie hakuna kingine.
Inaonyesha hyo diamond ameletwa tu hapo,,
lakini hakai hapo na huyo Mzee.
We jamaa ni noma kwa kung'amua kwa picha.
 
Back
Top Bottom