Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

Haja guess ameuliza maswali kutokana na sababu ulizozitoa wewe na majibu ya hayo maswali ndiyo yataonyesha kama mwenye matatizo alikuwa huyo baba au hao wanawake.
Kwanini tuguess mkuu? Wao kushindwana ni kawaida. Hapa tunaongelea hizi chuki. Kwani wangapi wanaachana na still wanaishi vizuri tu? Usimchukie baba wala mama. Hawana mbadala
 
Kwa nini ni mama wa ajabu ajabu?
Shamte ni mtu mzima na mama yake Diamond ni mtu mzima.
Yule mama ukimuangalia ni mama flani wa ajabu ajabu. Lazima Diamond kalishwa maneno sana, mama mstaarabu hawezi kudate na yule kijana anayekaribia kulingana na mwanae
 
Kuna watu wana uwezo mdogo sana wa kufikiri, wasamehe tu uwezo wa ubongo wao kuchakata mambo ndipo unapoishia hapo.
Huwa nawashangaa wanaosema wanalishwa simu na mama zao,
Mimi na mama hatukuwahi kujadili chochote kuhusu baba,

Ila nafsi yangu imemkataa mpaka kesho
 
Kuna wanaume wengi wanafikiri kuwa baba ni kumpa mwanamke mimba tu, wanasababisha matatizo makubwa sana kwa watoto halafu huko mbeleni wanabaki kujilalamisha tu.
Acheni please kusema uongo kuwa masingle maza huwa wanalisha sumu watoto wao. Ni hiviii mtoto anaanza ku recognise his/her parents from early stage in life; few months old and second tunaanza ku form memories from the tender age of 3, sasa wewe kama Baba usi create a bond na mwanao from this age, ukamwachia mwanao good memories usitegemee afanye tofauti akiwa mkubwa! Ulikua non-existing in his life ama memories ulizoacha ni chapombe,umalaya na vipigo kwa mama yake, mtoto anakua mkubwa siku zote akitaka kumprotect mama yake , kumuonyesha upendo mama yake, sasa nyie mnatafsiri analishwa sumu, atakusaidia wewe Baba as a favour au ni ubinadamu tu kusaidia lakini Moyoni mwake kuna resentment ambayo ni ngumu kidogo kufutika. Kiukweli wababa humu muweke efforts kuweka bond na watoto wenu tangia wadogo, Hata mtu akisema baya kuhusu nyie halita affect chochote since mtoto ana good memories of you. Na lazima akutafute akiwa mkubwa kwa sababu umeacha alama katika Maisha yake kwa kuwa na bond strong alivyokua mdogo...
 
KAMA alimtelekeza mama yake na Diamond alikuwa anaishi na mama yake basi aliwatelekeza wote wawili labda kama alikuwa amemuwekea Diamond order ya kula kwa mama ntilie peke yake.
Hivi mkuu naujuwa ugomvi wa huyo mama na mzee Abdul?

Huyo mama mzinguaji tangu zamani.

Inasemekana huyo mama tabia ya kuishi na mabwana nyumbani kwake haikuanza Leo.

Tabia unazomuona nazo Leo huyo mama akiwa na umri wa miaka 53,,
Mfano::
-- kuvaa vimini.
-- kuvaa dera bila chupi.
-- kuvaa jeans skinny.
-- kutembea na vivulana vidogo.

Hivi umewahi kujiuliza alipokuwa ana umri wa under 25 alikuwa ni msichana wa aina gani?

Huyo mama alikuwa mdangaji sana tangu zamani,,,
Alizaa na muhindi mmoja mtoto wake wa kwanza asma,,,,,yule muhindi nae alimtosa,,

Baadae akaja kuishi na baba diamond hapo kwa akina mama diamond nyumbani kwao tandale,,

Inasemekana huyo mama alimtupia virago mzee Abdul,,baada ya kupata bwana mwingine,,check bob sana zaidi ya mzee Abdul.

Kama uwajuavyo wanawake wa kiswahili ukigombana nae ataropoka upuuzi mtupu..

Mfano..
--Huna uwezo wa kunipa mimba wewe.
--Kwenye wanaume na wewe mwanaume?
--Kwanza haisimami hadi nikusaidie kwa vidole.
--Kwenda lofa mkubwa wewe..
---Takataka tu..
--Mwanaume suruali tu..
--Toa pumbu zako hapa,,hata Mbuzi anazo hapa pochi tu.

Maneno kama hayo kwa mwanaume mwenye akili hayavumiliki kuambiwa na mwanamke.
Huyo mzee akashika hamsini zake.

Hyo picha inajieleza ni kila kitu.

-- baba diamond yupo kwenye furaha kubwa baada ya mama diamond kujutia yale aliyoyafanya.

--Mama diamond anaonyesha hali ya kuomba msamaha.
Na kumleta na mtoto.

Sasa ulitaka baba diamond aendelee kutukanwa ukweni?
Aliamua kujiondokea kulinda heshima yake.

Anachokifanya huyo mama leo ni kutompa nafasi diamond kujuwa sababu iliyofanya baba diamond kupelekea kugombana na huyo mama,
Kulinda dhambi zake.
Na kulinda chuki binafsi kwa baba diamond ,,
Na kuendeleza uchoyo wake,,

ni kama vile anataka anufaike peke yake na diamond.

Haingii akilini kwamba kila diamond akizidi kupata mafanikio ndy anazidi kuwa tofauti na baba yake.

Mbona wakati hana kitu kuna picha mbali mbali zinaonyesha alikuwa akimfata baba yake?
Sasa Leo iweje aonekane walikuwa hawapatani wala kujuliana hali?

Huyo diamond yatamkuta kama yanavyomkuta huyo mzee Leo,,MUNGU hadhihakiwi,,,

--Kama Mungu alishasema watiini wazazi wenu wawili,,
Kwani wao ndio sababu za kupatikana kwenu,,

Na yeye anamnyanyapaa baba yake,,,,basi atalipwa tu kwa hayo anayoyafanya..

Ngoja Mzee atangulie mbele za haki.

Ni jambo la muda tu...
 
Huo "mushkeli" katika suala la mimba uliisha Diamond akiwa na umri gani na uliishaje?
Alianza lini kumtambua Diamond kama mtoto wake na alikuwa akimhudumia kama mtoto wake?
Kabla Diamond hajapata pesa na hajawa maarufu mahusiano yao kama baba na mtoto yalikuaje?
Hakukuwa na mushkel wowote mkuu,,,

Huyo diamond anaitwa naseeb Abdul..

Huyo mzee ndy mzee Abdul naseeb..

Sasa kama angekuwa sio mwanae angempa jina la baba yake?

Huyo mama ndy muasisi wa sarakasi , mazingaombwe na maroroso yote yanayohusu ugomvi wa mzee Abdul..
Vitu vyote ni vya kutengeneza tu,,ili ahalalishe udhalimu wake.

Mama huyo ni zaidi ya koboko,,,,

Ndy maana hata leo hasiti kuionyesha jamii makunyanzi yake ya kizee hadharani,
.sababu ya kuwa na uso wa Mbuzi.
 
Wanawake wachache uliowajua hawewezi kuwa uwakilishi halusi wa mamilioni ya wanawake katika nchi hii.
Haiwezekani mkamuhukumu mama yake Diamond mkiwa hamjui shida ya Diamond na baba yake ni ipi.
Mpaka sasa hakuna mtu anayeweza kuelezea hasa chanzo cha mgogoro wa huyo baba na familia yake.
Na pia mtoto kuhudumia wazazi wake ni hisani tu,hakuna sheria au ulazima wowote wa yeye kulea wazazi wake.Wazazi kuhudumia watoto ndio lazima na wajibu wao.Ingekuwa hoja ya maana kama Diamond angekuwa anamkashifu, anamtukana au anamuharibia maisha baba yake vingenivyo ni watu kutaka kujipa tu umuhimu katika maisha ya wengine.
Hivi mfano wewe ndy baba diamond sasa ungekuwa na hali gani?

-Unatembeza viatu vya mitumba,,jua lako mvua yako,,

-Miguu inakusumbuwa.

- kula inakusumbuwa.

Huku ukiona mzazi mwenzio anapewa kila kitu hadi uncle shamte mahari kalipiwa na diamond,,
Na cheo cha le boss juu.
.ungefurahi?
 
Wengi mnaomtetea baba yake Diamond inaonyesha hampendi tu lifestyle ya mama yake Diamond na mnakerwa na ukaribu wa Diamond na mama yake, zaidi ya hapo hamna hoja yoyote yenye mashiko.
Hakukuwa na mushkel wowote mkuu,,,

Huyo diamond anaitwa naseeb Abdul..

Huyo mzee ndy mzee Abdul naseeb..

Sasa kama angekuwa sio mwanae angempa jina la baba yake?

Huyo mama ndy muasisi wa sarakasi , mazingaombwe na maroroso yote yanayohusu ugomvi wa mzee Abdul..
Vitu vyote ni vya kutengeneza tu,,ili ahalalishe udhalimu wake.

Mama huyo ni zaidi ya koboko,,,,

Ndy maana hata leo hasiti kuionyesha jamii makunyanzi yake ya kizee hadharani,
.sababu ya kuwa na uso wa Mbuzi.
 
Sio kweli kwamba kila mwanamke anayezaa na wanaume tofauti ni mdangaji. Kuna wanaume hawawezi kuwa baba walezi, kuna wanaume wakatili, kuna wanaume wanabadilika baada ya kumzalisha mwanamke, kuna watu wanachokana kabisa baada ya kuishi pamoja kwa muda mrefu
Mmh ila kwa mzee Abdul sidhan kama ni hivyo
 
Huwa sifurahi hata nikiona watoto wametelekezwa barabarani wanaomba omba huku kuna watu wengi matajiri wanaweza kuwachukuwa na kuwapa maisha mazuri anayostahili binadamu. Hata hivyo kutofurahi kwangu hakubadilishi kitu chochote na hakubadilishi ukweli kwamba kuna watu wengi wanazaa ila hawakupaswa kufanya hivyo.
Hivi mfano wewe ndy baba diamond sasa ungekuwa na hali gani?

-Unatembeza viatu vya mitumba,,jua lako mvua yako,,

-Miguu inakusumbuwa.

- kula inakusumbuwa.

Huku ukiona mzazi mwenzio anapewa kila kitu hadi uncle shamte mahari kalipiwa na diamond,,
Na cheo cha le boss juu.
.ungefurahi?
 
Habari wadau kama mtakua mnatembelea mitandao ya kijamii naamini Habari kubwa sasaiv ni Diamond na baba yake watu wamekua na maswal mengi kila mtu ameuliza lake na bila kupata Majibu Bali kubaki na maswali yalio zalishwa na swali

Mimi binafs niende moja kwa moja kwenye hoja. Na kusema kwa akil zangu timam nikiangalia situation ya maisha ya Mama Diamond anavyo ishi anavyo jiweka na maisha ya Baba Diamond Iman yangu inaniambia kua Mama kamlisha Sumu mbaya Sana Mwanae. Na kila siku inapo kucha Diamond anazid kuambiwa Mengi Tena kwa ukaribu Zaid na mama yake juu ya baba yake

Kwanini Diamond hataki kumsamehe Baba yake kumpa hata 10k kwa siku ili imsaidie?

Ni kosa gani kubwa kalifanya Baba Diamond wakat hakukataa Mimba ya Diamond na apo awal inaonyeaha wazi kabisa Diamond na baba yake na mama yake walikua ni Familia yenye furaha? Kipi kilitokea mpaka Leo hii Diamond hatak kumsaidia Baba yake? Mana sidhan kama mzaz hakukataa Mimba akailea mpaka uka kua Baada ya apo hakuna kosa lisilo sameheka kwa Baba au mama utamuukum kwa lip mzaz alie kulea mpaka ukakua na Kuanza kujieleza?

Wanawake kama mmepanda zao wote pamoja basi na kwenye mavuno iwe ivyo ivyo Pia ningependa kumshaur mama Diamond aache kuwapa watu Iman mbaya Zaid yake ya wao kufikiria kua yeye ndio sababu kwa mambo anayo yafanya na kuyaongea juzi Anamjibu mtu kwenye Mitandao ya kijamii kua nanukuu "kwani diamond ndio mtoto wake pekee si anamtoto mwingine mkubwa aende akamsaidie Kwan mpaka Diamond" dah Mama diamond muogope Mungu

Narudia Tena mimi Binafs sion dhambi kubwa ya mtoto kumtesa mzee Abdul vile kwa dam yake kama hakukataa mimba na kuitelekeka Familia

Mbaya Zaid Baba Diamond kafika mbali na kusema kua akifa Diamond asiendee kumzika hii sio poa kabisa Diamond Baba yako uyo embu fikiria pemben bila kumshirikisha mama yako alafu upime unacho fanya ni Sawa?

Mkuu ogopa sana kiumbe kinachoitwa ''MWANAMKE''

1. Mwanamke yuko tayari kumfanyia dawa mwanae ili asimthamini baba yake.

2. Mwanamke yuko tayari kumwambia mwanae mambo yakutisha ili tu asimthamini baba yake. Kama vile baba yako anataka kukuua eti anasema umechukua nyota yake, baba yako hakuwahi kukununulia hata kalamu wakati unasoma. Pesa yake alikuwa akimalizia kwa malaya nk

3.Mwanamke yuko tayari kutumia kila mbinu anayoiweza kuhakikisha baba na wanae hawapatani kabisa. Hasa mme akiwa na mke zaidi ya m1 au kama baba na mama wameachana.

HAO VIUMBE NI HATARI ZAIDI YA COVID19
 
Kwa nini ni mama wa ajabu ajabu?
Shamte ni mtu mzima na mama yake Diamond ni mtu mzima.
Kazi ya Uncle Shamte ni kupiga mashine na kuhakikisha mama Dangote anafurahia.
 
Unaye mama aliyekuzaa?
Mama yako alifanya au anaweza kufanya hayo uliyoyasema?
Umewahi kusoma au kusikia madhila ambayo baadhi ya wanawake wameyapitia kutoka kwa wanaume? Unafahamu kuna wanawake ni vilema kabisa na wamepatiwa ulemavu huo na wanaume? Unafahamu kuna wanaume wametelekeza kabisa watoto wao ili "kulinda ndoa" zao?
Mkuu ogopa sana kiumbe kinachoitwa ''MWANAMKE''

1. Mwanamke yuko tayari kumfanyia dawa mwanae ili asimthamini baba yake.

2. Mwanamke yuko tayari kumwambia mwanae mambo yakutisha ili tu asimthamini baba yake. Kama vile baba yako anataka kukuua eti anasema umechukua nyota yake, baba yako hakuwahi kukununulia hata kalamu wakati unasoma. Pesa yake alikuwa akimalizia kwa malaya nk

3.Mwanamke yuko tayari kutumia kila mbinu anayoiweza kuhakikisha baba na wanae hawapatani kabisa. Hasa mme akiwa na mke zaidi ya m1 au kama baba na mama wameachana.

HAO VIUMBE NI HATARI ZAIDI YA COVID19
 
Ushahidi wako uko wapi sasa?
Mbona hakuna ushahidi wowote uliouweka zaidi ya malalamiko na matamanio yako tu!
Naona baba levo umetumwa Kuja kumtetea boss wako ila mkumbushe kua hata yeye aliwah kulia kwenye midia kua zary anawalisha sum wanae ili wamuone mbaya kwa kuwaambia maneno ambayo sio ya kweli
 
Sawa chawa wa mzee Abdul,ujumbe wako utafika.
Naona baba levo umetumwa Kuja kumtetea boss wako ila mkumbushe kua hata yeye aliwah kulia kwenye midia kua zary anawalisha sum wanae ili wamuone mbaya kwa kuwaambia maneno ambayo sio ya kweli
 
SISI WATU WA ELIMU ZA JUU TUNAJUA MENGI SANA "WAKATI MWINGINE SIRI YA KUPATA NA KUFURAHI SANA NI LAZIMA MWINGINE AUMIE KWA NAMNA YOYOTE ILE SHETANI HATOI BURE HATA SIKU MOJA WENZETU HUTENGENEZA MAZEZETA WENGINE HUWAADHIBU WAZAZI WAO VIKALI SANA BILA YA HURUMA ALI MRADI KUKAMILISHA SPECIFIC TARGET FULANI"UNAWIRI NA FAHARI YA DUNIA HII NDIO KAZI WANAYOIFANYA WALE MALAIKA WALIOTUPWA NA MUUMBA DUNIANI MAANA WALIJUA MADINI NA DHAHABU VYOTE NI VYA MUNGU KWA UKAIDI WAO WALIPOTUPWA TU CHA KWANZA KUIKALIA NI MALI YOOTE YA ULIMWENGU WAKIJUA TAMAA YA MWANADAMU IPO KWENYE MALI SASA ATAKAPOITAKA MALI HII NI LAZIMA ATATUFUATA SIS NA SISI BILA AJIZI TUTAMPA MASHARTI YETU ADHIMU ALI MRADI TU TUMPOTEZE NA USO WA MUNGU,
SOMENI SANA VITU MBALIMBALI MPATE KUJUA NA KUIEPUKA MITEGO YA IBILISI
 
Elimu ya juu tunayoijua rasmi haifundishi mambo ya uchawi na tunguli, wewe hii elimu yako ya juu uliipata wapi?
SISI WATU WA ELIMU ZA JUU TUNAJUA MENGI SANA "WAKATI MWINGINE SIRI YA KUPATA NA KUFURAHI SANA NI LAZIMA MWINGINE AUMIE KWA NAMNA YOYOTE ILE SHETANI HATOI BURE HATA SIKU MOJA WENZETU HUTENGENEZA MAZEZETA WENGINE HUWAADHIBU WAZAZI WAO VIKALI SANA BILA YA HURUMA ALI MRADI KUKAMILISHA SPECIFIC TARGET FULANI"UNAWIRI NA FAHARI YA DUNIA HII NDIO KAZI WANAYOIFANYA WALE MALAIKA WALIOTUPWA NA MUUMBA DUNIANI MAANA WALIJUA MADINI NA DHAHABU VYOTE NI VYA MUNGU KWA UKAIDI WAO WALIPOTUPWA TU CHA KWANZA KUIKALIA NI MALI YOOTE YA ULIMWENGU WAKIJUA TAMAA YA MWANADAMU IPO KWENYE MALI SASA ATAKAPOITAKA MALI HII NI LAZIMA ATATUFUATA SIS NA SISI BILA AJIZI TUTAMPA MASHARTI YETU ADHIMU ALI MRADI TU TUMPOTEZE NA USO WA MUNGU,
SOMENI SANA VITU MBALIMBALI MPATE KUJUA NA KUIEPUKA MITEGO YA IBILISI
 
Back
Top Bottom