KAMA alimtelekeza mama yake na Diamond alikuwa anaishi na mama yake basi aliwatelekeza wote wawili labda kama alikuwa amemuwekea Diamond order ya kula kwa mama ntilie peke yake.
Hivi mkuu naujuwa ugomvi wa huyo mama na mzee Abdul?
Huyo mama mzinguaji tangu zamani.
Inasemekana huyo mama tabia ya kuishi na mabwana nyumbani kwake haikuanza Leo.
Tabia unazomuona nazo Leo huyo mama akiwa na umri wa miaka 53,,
Mfano::
-- kuvaa vimini.
-- kuvaa dera bila chupi.
-- kuvaa jeans skinny.
-- kutembea na vivulana vidogo.
Hivi umewahi kujiuliza alipokuwa ana umri wa under 25 alikuwa ni msichana wa aina gani?
Huyo mama alikuwa mdangaji sana tangu zamani,,,
Alizaa na muhindi mmoja mtoto wake wa kwanza asma,,,,,yule muhindi nae alimtosa,,
Baadae akaja kuishi na baba diamond hapo kwa akina mama diamond nyumbani kwao tandale,,
Inasemekana huyo mama alimtupia virago mzee Abdul,,baada ya kupata bwana mwingine,,check bob sana zaidi ya mzee Abdul.
Kama uwajuavyo wanawake wa kiswahili ukigombana nae ataropoka upuuzi mtupu..
Mfano..
--Huna uwezo wa kunipa mimba wewe.
--Kwenye wanaume na wewe mwanaume?
--Kwanza haisimami hadi nikusaidie kwa vidole.
--Kwenda lofa mkubwa wewe..
---Takataka tu..
--Mwanaume suruali tu..
--Toa pumbu zako hapa,,hata Mbuzi anazo hapa pochi tu.
Maneno kama hayo kwa mwanaume mwenye akili hayavumiliki kuambiwa na mwanamke.
Huyo mzee akashika hamsini zake.
Hyo picha inajieleza ni kila kitu.
-- baba diamond yupo kwenye furaha kubwa baada ya mama diamond kujutia yale aliyoyafanya.
--Mama diamond anaonyesha hali ya kuomba msamaha.
Na kumleta na mtoto.
Sasa ulitaka baba diamond aendelee kutukanwa ukweni?
Aliamua kujiondokea kulinda heshima yake.
Anachokifanya huyo mama leo ni kutompa nafasi diamond kujuwa sababu iliyofanya baba diamond kupelekea kugombana na huyo mama,
Kulinda dhambi zake.
Na kulinda chuki binafsi kwa baba diamond ,,
Na kuendeleza uchoyo wake,,
ni kama vile anataka anufaike peke yake na diamond.
Haingii akilini kwamba kila diamond akizidi kupata mafanikio ndy anazidi kuwa tofauti na baba yake.
Mbona wakati hana kitu kuna picha mbali mbali zinaonyesha alikuwa akimfata baba yake?
Sasa Leo iweje aonekane walikuwa hawapatani wala kujuliana hali?
Huyo diamond yatamkuta kama yanavyomkuta huyo mzee Leo,,MUNGU hadhihakiwi,,,
--Kama Mungu alishasema watiini wazazi wenu wawili,,
Kwani wao ndio sababu za kupatikana kwenu,,
Na yeye anamnyanyapaa baba yake,,,,basi atalipwa tu kwa hayo anayoyafanya..
Ngoja Mzee atangulie mbele za haki.
Ni jambo la muda tu...