Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

Kuna siku utakua na ukweli utaujua kwanini baba yako nikutupe wakati wewe ni damu yangu mwenyewe .Huu mstali Banana aliimba sana kwa sababu mara nyingi tunapoachana wakina mama hukimbilia kuondoka na watoto na hapo ndio Sumu huanza kulishwa mtoto hivyo inawezekana Sumu ya maneno aliyolishwa diamond na mama yake kwa baba bado hajakaa akatambua ukweli uko vipi mana tabia ya mama au baba hujionyesha tu ila kwa mambo ya Mama dangote kama anavyojiita nina wasiwasi tangu zamani alikuwa mapepe sana.Neno la mwisho kwa wanaume wenzangu ogopa sana ogopa sana mwanamke anayevaa pete aina ya feyluz au hakik mwogope sana mwangalie mama daimond pete anayovaa kidole kinachofata baada ya dole gumba
 
Habari wadau kama mtakua mnatembelea mitandao ya kijamii naamini Habari kubwa sasaiv ni Diamond na baba yake watu wamekua na maswal mengi kila mtu ameuliza lake na bila kupata Majibu Bali kubaki na maswali yalio zalishwa na swali

Mimi binafs niende moja kwa moja kwenye hoja. Na kusema kwa akil zangu timam nikiangalia situation ya maisha ya Mama Diamond anavyo ishi anavyo jiweka na maisha ya Baba Diamond Iman yangu inaniambia kua Mama kamlisha Sumu mbaya Sana Mwanae. Na kila siku inapo kucha Diamond anazid kuambiwa Mengi Tena kwa ukaribu Zaid na mama yake juu ya baba yake

Kwanini Diamond hataki kumsamehe Baba yake kumpa hata 10k kwa siku ili imsaidie?

Ni kosa gani kubwa kalifanya Baba Diamond wakat hakukataa Mimba ya Diamond na apo awal inaonyeaha wazi kabisa Diamond na baba yake na mama yake walikua ni Familia yenye furaha? Kipi kilitokea mpaka Leo hii Diamond hatak kumsaidia Baba yake? Mana sidhan kama mzaz hakukataa Mimba akailea mpaka uka kua Baada ya apo hakuna kosa lisilo sameheka kwa Baba au mama utamuukum kwa lip mzaz alie kulea mpaka ukakua na Kuanza kujieleza?

Wanawake kama mmepanda zao wote pamoja basi na kwenye mavuno iwe ivyo ivyo Pia ningependa kumshaur mama Diamond aache kuwapa watu Iman mbaya Zaid yake ya wao kufikiria kua yeye ndio sababu kwa mambo anayo yafanya na kuyaongea juzi Anamjibu mtu kwenye Mitandao ya kijamii kua nanukuu "kwani diamond ndio mtoto wake pekee si anamtoto mwingine mkubwa aende akamsaidie Kwan mpaka Diamond" dah Mama diamond muogope Mungu

Narudia Tena mimi Binafs sion dhambi kubwa ya mtoto kumtesa mzee Abdul vile kwa dam yake kama hakukataa mimba na kuitelekeka Familia

Mbaya Zaid Baba Diamond kafika mbali na kusema kua akifa Diamond asiendee kumzika hii sio poa kabisa Diamond Baba yako uyo embu fikiria pemben bila kumshirikisha mama yako alafu upime unacho fanya ni Sawa?

ndo mana machoko hawaishi mjini.
 
Ushahidi wako uko wapi sasa?
Mbona hakuna ushahidi wowote uliouweka zaidi ya malalamiko na matamanio yako tu!
Habari wadau kama mtakua mnatembelea mitandao ya kijamii naamini Habari kubwa sasaiv ni Diamond na baba yake watu wamekua na maswal mengi kila mtu ameuliza lake na bila kupata Majibu Bali kubaki na maswali yalio zalishwa na swali

Mimi binafs niende moja kwa moja kwenye hoja. Na kusema kwa akil zangu timam nikiangalia situation ya maisha ya Mama Diamond anavyo ishi anavyo jiweka na maisha ya Baba Diamond Iman yangu inaniambia kua Mama kamlisha Sumu mbaya Sana Mwanae. Na kila siku inapo kucha Diamond anazid kuambiwa Mengi Tena kwa ukaribu Zaid na mama yake juu ya baba yake

Kwanini Diamond hataki kumsamehe Baba yake kumpa hata 10k kwa siku ili imsaidie?

Ni kosa gani kubwa kalifanya Baba Diamond wakat hakukataa Mimba ya Diamond na apo awal inaonyeaha wazi kabisa Diamond na baba yake na mama yake walikua ni Familia yenye furaha? Kipi kilitokea mpaka Leo hii Diamond hatak kumsaidia Baba yake? Mana sidhan kama mzaz hakukataa Mimba akailea mpaka uka kua Baada ya apo hakuna kosa lisilo sameheka kwa Baba au mama utamuukum kwa lip mzaz alie kulea mpaka ukakua na Kuanza kujieleza?

Wanawake kama mmepanda zao wote pamoja basi na kwenye mavuno iwe ivyo ivyo Pia ningependa kumshaur mama Diamond aache kuwapa watu Iman mbaya Zaid yake ya wao kufikiria kua yeye ndio sababu kwa mambo anayo yafanya na kuyaongea juzi Anamjibu mtu kwenye Mitandao ya kijamii kua nanukuu "kwani diamond ndio mtoto wake pekee si anamtoto mwingine mkubwa aende akamsaidie Kwan mpaka Diamond" dah Mama diamond muogope Mungu

Narudia Tena mimi Binafs sion dhambi kubwa ya mtoto kumtesa mzee Abdul vile kwa dam yake kama hakukataa mimba na kuitelekeka Familia

Mbaya Zaid Baba Diamond kafika mbali na kusema kua akifa Diamond asiendee kumzika hii sio poa kabisa Diamond Baba yako uyo embu fikiria pemben bila kumshirikisha mama yako alafu upime unacho fanya ni Sawa?

 
Wanawake wachache uliowajua hawewezi kuwa uwakilishi halusi wa mamilioni ya wanawake katika nchi hii.
Haiwezekani mkamuhukumu mama yake Diamond mkiwa hamjui shida ya Diamond na baba yake ni ipi.
Mpaka sasa hakuna mtu anayeweza kuelezea hasa chanzo cha mgogoro wa huyo baba na familia yake.
Na pia mtoto kuhudumia wazazi wake ni hisani tu,hakuna sheria au ulazima wowote wa yeye kulea wazazi wake.Wazazi kuhudumia watoto ndio lazima na wajibu wao.Ingekuwa hoja ya maana kama Diamond angekuwa anamkashifu, anamtukana au anamuharibia maisha baba yake vingenivyo ni watu kutaka kujipa tu umuhimu katika maisha ya wengine.
Kabla sijawajua wanawake pengine ningekuwa na mtazamo tofauti na nilio nao sasa ila kwa kuwa ninaelewa ni ugumu kiasi gani kuishi na mwanamke under the same roof especially wenye midomo michafu niko upande wa baba yake Diamond.

Huyo bi. Sandra alikuwa mwanamke wa hovyo since then ila tu hakupata nafasi ya kuvimba. Sasahizi ndio anaonekana true colors zake ila so far hata chanzo cha ugomvi huenda ni infidelity issues pamoja na kiburi na domo lake chafu. Kwa mwanaume anaejiweza obvious lazma ataopt kujiweka pembeni au kuwa na mipango kando huku akiendelea kuishi na mwanamke mkorofi kulinda tu heshima ya familia.

Ila kwa bwana Abdul naona yeye aliamua kujitenga kabisa na huyo mwanamke na ndio akampa rum ya kummezesha sumu dogo diamond kuwa baba yako hatujali, ona anaendekeza umalaya tu ila kimsingi yeye ndio chanzo. Yani kwa kumtazama anaonekana ni wale wanawake wapenda ligi ya maneno mtabishana mwisho unamtia vitasa tu.
 
Kwanza Uislamu halisi haukubali muziki anaoimba Diamond, ni haramu.
Diamond kama muislam halisi hakupaswa kumsikiliza mama yake pekee pia ilikuwa ni vyema pesa zake zingetumika katika kuwaunganisha tena upya baba na mama yake
 
Huyo mzee kawalea tu kina mondi baada ya tukio fulani kutokea, so akasimama kama mlezi kwa makubaliano na mama mondi ila sio baba yao halisi.
Aseee kwahiyo mama wa Queen na wa Diamond hawakuona mwanaume mwingine wa kuwalelea watoto wao wakampelekea huyu mzee abdul kwa makubaliano? TUMIA AKILI BASI
 
Swagger hazileti pesa,huenda kipaji cha muziki kimetoka kwa mama.
Alafu Diamond swagger na kipaji karithi kwa baba....

Ila upumbavu kulea kibenten Cha mama, eti anamwita Uncle Shamte
 
Sio kweli kwamba kila mwanamke anayezaa na wanaume tofauti ni mdangaji. Kuna wanaume hawawezi kuwa baba walezi, kuna wanaume wakatili, kuna wanaume wanabadilika baada ya kumzalisha mwanamke, kuna watu wanachokana kabisa baada ya kuishi pamoja kwa muda mrefu
Mwanamke ambaye amezaa na watu tofauti tofauti ni dhahiri alikuwa mdangaji wa kiaina flani na si mtu wa kuridhika na matunzo ya mume. Sasa imagine na wewe kidume unajiweza si lazima uvimbe ili kumkata ngebe mwanamke jeuri. Kitu alikosea mzee abdul alitakiwa amtimue mama abakie na mtoto tu. Sema ujana nao ulikuwa umepamba moto ukizingatia alikuwa sukari ya warembo.
 
Baba yake Diamond alikosa pesa au alishindwa kutoa pesa/alitelekeza familia?
Mfano kama mama yake hakupewa pesa za matunzo ndy ashindwe kumsaidia baba yake?

Wewe baba yako aliweza kukupa kila ulichohitaji utotoni?

Je huwezi kumsaidia?

Lazima ujuwe jinsi ya kutofautisha kati ya kukosa pesa,,na kukataa kutoa pesa.
 
Baba yake Diamond ndiye aliyesema hivyo?
Huyu mama anaonekana ni mzinzi,mpenda Shari,jeuri,kiburi,mwenye tabia ya kuweka kinyongo na asiyejiheshimu. Ni kweli inawezekana mzee alipiga chini kujiepusha na kero hizo
 
Masharti ya pesa za uchawi, lwanda magere amekwisha litolea ufafanuzi hili mapema haiingi akilini mama ale maisha ilihali baba kula yake ni ya kuunga unga....
 
KAMA alimtelekeza mama yake na Diamond alikuwa anaishi na mama yake basi aliwatelekeza wote wawili labda kama alikuwa amemuwekea Diamond order ya kula kwa mama ntilie peke yake.
Mkuu naona umevama gheto la mabaharia na khanga hata chupi hukuvaa.

Hivi inakuingia akilini kisa mama yake diamond alitelekezwa na mzazi mwenzie,,?

matokeo yake ahamishie ugomvi wao kwa mtoto?

Tunachomlaumu diamond ni kutomjali baba yake,
Na asijiingize ktk ugomvi wa wazazi wake.
 
Back
Top Bottom