Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Very good.Mimi huwa nasema,bora hata ukimsamehe tu mzazi wako,angalau unamsaidia ili aendelee kuwa hai, yaani kumsaidia kwenye ugonjwa n.k.Wale wa karibu tumwambie diamond dunian tunapita ,Leo mzima kesho hatakuwepo afanye kumsaidia babake mzaz kama anavyofanya kwa mamake mzaz,sie tuliezika wazazi wetu wote wawili tunajua uchungu wa mzaz .unafurahia kumuona hata kama ni chizi ,kikongwe,mlevi n.k ilaa yupo unamuona
Hizi hela yeye sie wa kwanza kuzipata na sie wengine tunazo ilaa tunataman wazaz wetu wangekuwepo tutumie nao kwa pamoja wafurahi ilaaa ndo hivyo tena hawapo
Yupo kawaida sababu wazaz wake wote wapo siku yule mzaz anayempenda mungu akimpenda zaidi ataumia sanaa nakukumbuka wazaz ni muhimu kuwaona wanaishiVery good.Mimi huwa nasema,bora hata ukimsamehe tu mzazi wako,angalau unamsaidia ili aendelee kuwa hai, yaani kumsaidia kwenye ugonjwa n.k.
Hivi unaombaje msamaha kwa Muumba wetu,ikiwa wewe huwezi kusamehe?
[emoji23][emoji23]Kabla sijawajua wanawake pengine ningekuwa na mtazamo tofauti na nilio nao sasa ila kwa kuwa ninaelewa ni ugumu kiasi gani kuishi na mwanamke under the same roof especially wenye midomo michafu niko upande wa baba yake Diamond.
Huyo bi. Sandra alikuwa mwanamke wa hovyo since then ila tu hakupata nafasi ya kuvimba. Sasahizi ndio anaonekana true colors zake ila so far hata chanzo cha ugomvi huenda ni infidelity issues pamoja na kiburi na domo lake chafu. Kwa mwanaume anaejiweza obvious lazma ataopt kujiweka pembeni au kuwa na mipango kando huku akiendelea kuishi na mwanamke mkorofi kulinda tu heshima ya familia.
Ila kwa bwana Abdul naona yeye aliamua kujitenga kabisa na huyo mwanamke na ndio akampa rum ya kummezesha sumu dogo diamond kuwa baba yako hatujali, ona anaendekeza umalaya tu ila kimsingi yeye ndio chanzo. Yani kwa kumtazama anaonekana ni wale wanawake wapenda ligi ya maneno mtabishana mwisho unamtia vitasa tu.
Nakuhakikishia mkuu,,
Kama hutambui umuhimu wa mzazi utauona siku akiondoka duniani..
Naamini siku huyo mzee akifariki diamond atakuwa kwenye wakati mgumu kuliko wowote tangu aumbwe na MUNGU.
Sasa umeuliza au umetoa la moyon?????
1-Jamaa anamla Bi Mkubwa wake ,na moja ya magonvi yalokuwepo kati ya Bi mkubwa wake na Zari ni juu ya Diamond .
2-Mashariti alopewa .
Jamaa yupo tayari kugawa kondom bure, lkn hayupo tayri kumsaidia Mzee wake.
Diamond anatunza DUME lingine LINALOMUANGUSHA mama yake kwa sasa. Hawezi kutunza MADUME MAWILI!
Hivi kwa nini msijichange Buku buku kama mna uchungu sana na huyo mzee kuliko kumwandama kila siku mtoto wa watu???
Hata ukiangalia mahojiano yake na vyombo vya habari mzee yupo very humble kuonesha yeye anatambua makosa yake.
Halafu ukifuatilia nyuzi za huyu mtoa mada ni timu kiba yaani baada ya kuachwa kwenye mziki ndio mnakuja kuvamia familia yake??? Unatia aibu mzee.
hivi ina maana hamjui ommy Dimpoz, mwana fa mbunge wametelekeza baba zao???
🤣🤣🤣🤣🤣Kuandika kwenyewe mtihani, unataka kuwa mpatanishi utaweza?
Hivi mtu ambaye hukumtaka wala kumjali wakati yupo hai.Fafanua mkuu. Atamkumbuka kwa lipi na kivipi?
Hivi mtu ambaye hukumtaka wala kumjali wakati yupo hai.
Na ukasimamia msimamo wako kwamba humtaki huyo mzee.
--Je ,,mzee akifariki diamond atakwenda pale nyumbani kama nani?
--Je na jamii especially ndugu na jamaa wa mzee Abdul watamuangalia kwa Jicho gani?
Hayo ni maswali magumu yatakayomumiza kichwa siku atakapoondoka mzee Abdul.
Hivi ni kama watoto wote waliotengwa na wazazi wao wangekuwa wanawatupa wazazi wao kama diamond ingekuwaje?Kama kweli Diamond ana lalamiko la haki kwa baba yake, na ikiwa pia diamond anashindwa kushikamana na baba kwa kuwa baba hakumjali utotoni, basi hayo hawezi kuumia Wala kujali pindi mzee akifa.
Ni principle: ukimjali mtoto utotoni, atakujali uzeeni.
Ninadhani haijawahi kukutokea au hujawahi kuona.
Kwani kuna ubaya gani Uncle Shamte kula hela za Diamond.Hivi ni kama watoto wote waliotengwa na wazazi wao wangekuwa wanawatupa wazazi wao kama diamond ingekuwaje?
Hata kama baba yake hakumtunza akiwa mdogo,
Je huyo uncle shamte anayekula pesa za diamond alimtunza kwa lipi?
Hivi ni kama watoto wote waliotengwa na wazazi wao wangekuwa wanawatupa wazazi wao kama diamond ingekuwaje?
Hata kama baba yake hakumtunza akiwa mdogo,
Je huyo uncle shamte anayekula pesa za diamond alimtunza kwa lipi?
Sawa mkuuNdiyo hapo sasa ujue ngoma ukiicheza ndiyo utafahamu utamu wake
Sawa mkuu,,Kwani kuna ubaya gani Uncle Shamte kula hela za Diamond.
Hata huyo mzee alivyo muacha Mama Diamond akaenda kwa mwanamke mwengine anaye kaa nae sasa hivi na kumzalisha watoto watatu,so mda huo hela za baba Diamond alikuwa anakula huyo mke wake mpya pamoja na watoto,huku Diamond na Mama yake wakipitia msoto.
Acha Diamond asapoti kinacho mpa furaha mama yake kama mama yake alivyo msapoti katika kumlea na kukuza kipaji chake,baada ya huzuni na mateso makubwa waliyo ya pitia na uzuri wamehalalishwa kidini ndoa yao.
Hivi Diamond angekuwa fukara huyo mzee ange mtafuta.Sawa mkuu,,
Ila nilichojifunza ktk sakata zima la ugomvi wa baba diamond na diamond,,ni ufukara wa baba diamond alionao
Hivyo basi tunapaswa kutafuta pesa kwa wingi,,
kwani hakuna baba Tajiri aliyekataliwa na mwanae..
hata akatae mimba,,bado atakumbatiwa kwa mapenzi makubwa na mwanae.