Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

Wale wa karibu tumwambie diamond dunian tunapita ,Leo mzima kesho hatakuwepo afanye kumsaidia babake mzaz kama anavyofanya kwa mamake mzaz,sie tuliezika wazazi wetu wote wawili tunajua uchungu wa mzaz .unafurahia kumuona hata kama ni chizi ,kikongwe,mlevi n.k ilaa yupo unamuona

Hizi hela yeye sie wa kwanza kuzipata na sie wengine tunazo ilaa tunataman wazaz wetu wangekuwepo tutumie nao kwa pamoja wafurahi ilaaa ndo hivyo tena hawapo
Very good.Mimi huwa nasema,bora hata ukimsamehe tu mzazi wako,angalau unamsaidia ili aendelee kuwa hai, yaani kumsaidia kwenye ugonjwa n.k.
Hivi unaombaje msamaha kwa Muumba wetu,ikiwa wewe huwezi kusamehe?
 
Very good.Mimi huwa nasema,bora hata ukimsamehe tu mzazi wako,angalau unamsaidia ili aendelee kuwa hai, yaani kumsaidia kwenye ugonjwa n.k.
Hivi unaombaje msamaha kwa Muumba wetu,ikiwa wewe huwezi kusamehe?
Yupo kawaida sababu wazaz wake wote wapo siku yule mzaz anayempenda mungu akimpenda zaidi ataumia sanaa nakukumbuka wazaz ni muhimu kuwaona wanaishi
 
Kabla sijawajua wanawake pengine ningekuwa na mtazamo tofauti na nilio nao sasa ila kwa kuwa ninaelewa ni ugumu kiasi gani kuishi na mwanamke under the same roof especially wenye midomo michafu niko upande wa baba yake Diamond.

Huyo bi. Sandra alikuwa mwanamke wa hovyo since then ila tu hakupata nafasi ya kuvimba. Sasahizi ndio anaonekana true colors zake ila so far hata chanzo cha ugomvi huenda ni infidelity issues pamoja na kiburi na domo lake chafu. Kwa mwanaume anaejiweza obvious lazma ataopt kujiweka pembeni au kuwa na mipango kando huku akiendelea kuishi na mwanamke mkorofi kulinda tu heshima ya familia.

Ila kwa bwana Abdul naona yeye aliamua kujitenga kabisa na huyo mwanamke na ndio akampa rum ya kummezesha sumu dogo diamond kuwa baba yako hatujali, ona anaendekeza umalaya tu ila kimsingi yeye ndio chanzo. Yani kwa kumtazama anaonekana ni wale wanawake wapenda ligi ya maneno mtabishana mwisho unamtia vitasa tu.
[emoji23][emoji23]
 
😀😀😀Nimecheka vile mnachambua maudhui ya picha.
Wale tuliosoma geography paper 2 topographic features tuko vizuri😀😀😀😀
 
Nakuhakikishia mkuu,,

Kama hutambui umuhimu wa mzazi utauona siku akiondoka duniani..

Naamini siku huyo mzee akifariki diamond atakuwa kwenye wakati mgumu kuliko wowote tangu aumbwe na MUNGU.

Fafanua mkuu. Atamkumbuka kwa lipi na kivipi?
 
1-Jamaa anamla Bi Mkubwa wake ,na moja ya magonvi yalokuwepo kati ya Bi mkubwa wake na Zari ni juu ya Diamond .

2-Mashariti alopewa .


Jamaa yupo tayari kugawa kondom bure, lkn hayupo tayri kumsaidia Mzee wake.

Astakafirulah x3😲
 
Hivi kwa nini msijichange Buku buku kama mna uchungu sana na huyo mzee kuliko kumwandama kila siku mtoto wa watu???

Hata ukiangalia mahojiano yake na vyombo vya habari mzee yupo very humble kuonesha yeye anatambua makosa yake.

Halafu ukifuatilia nyuzi za huyu mtoa mada ni timu kiba yaani baada ya kuachwa kwenye mziki ndio mnakuja kuvamia familia yake??? Unatia aibu mzee.
hivi ina maana hamjui ommy Dimpoz, mwana fa mbunge wametelekeza baba zao???

Kibamia anaingiaje humu??
 
Fafanua mkuu. Atamkumbuka kwa lipi na kivipi?
Hivi mtu ambaye hukumtaka wala kumjali wakati yupo hai.
Na ukasimamia msimamo wako kwamba humtaki huyo mzee.

--Je ,,mzee akifariki diamond atakwenda pale nyumbani kama nani?
--Je na jamii especially ndugu na jamaa wa mzee Abdul watamuangalia kwa Jicho gani?

Hayo ni maswali magumu yatakayomumiza kichwa siku atakapoondoka mzee Abdul.
 
Hivi mtu ambaye hukumtaka wala kumjali wakati yupo hai.
Na ukasimamia msimamo wako kwamba humtaki huyo mzee.

--Je ,,mzee akifariki diamond atakwenda pale nyumbani kama nani?
--Je na jamii especially ndugu na jamaa wa mzee Abdul watamuangalia kwa Jicho gani?

Hayo ni maswali magumu yatakayomumiza kichwa siku atakapoondoka mzee Abdul.

Kama kweli Diamond ana lalamiko la haki kwa baba yake, na ikiwa pia diamond anashindwa kushikamana na baba kwa kuwa baba hakumjali utotoni, basi hayo hawezi kuumia Wala kujali pindi mzee akifa.

Ni principle: ukimjali mtoto utotoni, atakujali uzeeni.

Ninadhani haijawahi kukutokea au hujawahi kuona.
 
Kama kweli Diamond ana lalamiko la haki kwa baba yake, na ikiwa pia diamond anashindwa kushikamana na baba kwa kuwa baba hakumjali utotoni, basi hayo hawezi kuumia Wala kujali pindi mzee akifa.

Ni principle: ukimjali mtoto utotoni, atakujali uzeeni.

Ninadhani haijawahi kukutokea au hujawahi kuona.
Hivi ni kama watoto wote waliotengwa na wazazi wao wangekuwa wanawatupa wazazi wao kama diamond ingekuwaje?

Hata kama baba yake hakumtunza akiwa mdogo,

Je huyo uncle shamte anayekula pesa za diamond alimtunza kwa lipi?
 
Hivi ni kama watoto wote waliotengwa na wazazi wao wangekuwa wanawatupa wazazi wao kama diamond ingekuwaje?

Hata kama baba yake hakumtunza akiwa mdogo,

Je huyo uncle shamte anayekula pesa za diamond alimtunza kwa lipi?
Kwani kuna ubaya gani Uncle Shamte kula hela za Diamond.

Hata huyo mzee alivyo muacha Mama Diamond akaenda kwa mwanamke mwengine anaye kaa nae sasa hivi na kumzalisha watoto watatu,so mda huo hela za baba Diamond alikuwa anakula huyo mke wake mpya pamoja na watoto,huku Diamond na Mama yake wakipitia msoto.

Acha Diamond asapoti kinacho mpa furaha mama yake kama mama yake alivyo msapoti katika kumlea na kukuza kipaji chake,baada ya huzuni na mateso makubwa waliyo ya pitia na uzuri wamehalalishwa kidini ndoa yao.
 
Hivi ni kama watoto wote waliotengwa na wazazi wao wangekuwa wanawatupa wazazi wao kama diamond ingekuwaje?

Hata kama baba yake hakumtunza akiwa mdogo,

Je huyo uncle shamte anayekula pesa za diamond alimtunza kwa lipi?

Ndiyo hapo sasa ujue ngoma ukiicheza ndiyo utafahamu utamu wake
 
Kwani kuna ubaya gani Uncle Shamte kula hela za Diamond.

Hata huyo mzee alivyo muacha Mama Diamond akaenda kwa mwanamke mwengine anaye kaa nae sasa hivi na kumzalisha watoto watatu,so mda huo hela za baba Diamond alikuwa anakula huyo mke wake mpya pamoja na watoto,huku Diamond na Mama yake wakipitia msoto.

Acha Diamond asapoti kinacho mpa furaha mama yake kama mama yake alivyo msapoti katika kumlea na kukuza kipaji chake,baada ya huzuni na mateso makubwa waliyo ya pitia na uzuri wamehalalishwa kidini ndoa yao.
Sawa mkuu,,

Ila nilichojifunza ktk sakata zima la ugomvi wa baba diamond na diamond,,ni ufukara wa baba diamond alionao

Hivyo basi tunapaswa kutafuta pesa kwa wingi,,
kwani hakuna baba Tajiri aliyekataliwa na mwanae..
hata akatae mimba,,bado atakumbatiwa kwa mapenzi makubwa na mwanae.
 
Sawa mkuu,,

Ila nilichojifunza ktk sakata zima la ugomvi wa baba diamond na diamond,,ni ufukara wa baba diamond alionao

Hivyo basi tunapaswa kutafuta pesa kwa wingi,,
kwani hakuna baba Tajiri aliyekataliwa na mwanae..
hata akatae mimba,,bado atakumbatiwa kwa mapenzi makubwa na mwanae.
Hivi Diamond angekuwa fukara huyo mzee ange mtafuta.

Baba yake Ommy kaonekana baada ya Ommy kuwa vizuri kifedha.

Baba Mwana Fa nae hivyo,je hao kama wangekuwa mafukara wangejitokeza?

Baba Diamond hakuwa fukara bali ujinga wake mwenyewe na ndio maana alivyo mwacha mama diamond akaenda kuzaa na mwanamke mwengine,sasa huwezi kusema huyu alikuwa masikini bali ujinga wake mwenyewe.

Siku zote mtoto humjali mzazi wake haijalishi ana hali gani,hata ukiwa na mia hakikisha unakula na mwanao,kwani hicho hicho kidogo kinaacha alama kubwa ya upendo na ukumbusho kwa watoto na mke wako kwani wanaona.Yaani hakikisha uwe na hali nzuri au ngumu zote unapitia pamoja na watoto wako,NAKUHAKIKISHIA UKIFANYA HIVYO WATOTO ZAKO HAWATO KUACHA KAMWE.

Cristian Ronaldo mpaka kesho anamkumbuka baba yake,pamoja walikuwa na ufukara wa kutupa lkn mzee wao hajawaacha na haja ikimbia familia.

Daniel Alves yule kapitia magumu pamoja ya wazazi wake,baba yake hakuwaacha familia yake pamoja na ufukara wake hajawahi kuwaacha watoto wake,Dan alikuwa anatembea km kibao kwenda kucheza mpira,baba yake alimsapoti kwa kile alicho jaliwa.Leo hii wanakula matunda ya mtoto wao.

Timiza wajibu wako mtoto wako hatokuacha uzeeni au unapo pitia magumu kiuchumi.
 
Back
Top Bottom