Huu ushaidi unaonyesha kabisa baba Diamond hakustahili haya na huenda mama ndio akawa mbaya

[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848].
Kweli ulisema
 
Hebu wana jf muanzishieni uzi baba diamond
Ya kukaa kimya asiongee na media yoyote mpka wampe hela maana inaelekea hajuwi thamani yake.
Sana sana anawapa tu media content
Mshana Jr

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Umeandika vizuri
 
Na kwanini apangiwe sehemu ya kupata msaada ikiwa yeye anaona sehemu anayostahili kuupata msaada huo?

Hili pekee ni tatizo, linafikirisha kwa mengi
Mtoa pesa au msaada ana haki ya kumchagua wa kumsadia
 
Hàpo umepigilia msumari mkuu
 
Nani amesema kutelekezwa ni sawa. Wewe ndo unaforce vinyongo. Na ukristu haifundishi hv. Baba ameona alikokosea. Ametamani kujiunga na familia yake tena. Kosa liko wapi. Mama ndo hataki baba kupewa maupendo. Kwangu ana ushetani
Sasa hatajiungaje wakati mama dangote ana mume tayari ?
 
Dua za kuku hizo! Na kosa lake ni kutumika na media! Lakini yote kwa yote, tuache unafiki wa kujifanya mnamhurumia sana huyo mzee!!
Watu wanafiki sana , kwann hawamchangia pesa Mzee Abdul Kama wanampenda ? Porojo nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…